Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
NdiyooAisee
NdiyooAisee
Ninajua unayopitia kaka, nakuomba usiue wala kujiua, angalia namna bora zaidi ila isiwe kumsamehe mzinzi.Nawashukuru wakuu kwa kampani....nyie laleni mnaolala...usiku sana sasa.
Binafsi sina usingizi kabisa mpaka nitakapoitapika hii nyongo.
Ngoja niendelee kufanya majumuisho ya ushauri mnaonipa....ili niondoke na moja.
Mambo mengine hata kumwambia Mtu moja kwa moja ni aibu yani......hapa ni kufanya maamuzi tu.
NANGA WA DEPONANGA WA DEPO
Mwanamke akianza kuchepuka jua kuwa kifo chako kimekaribia cheza karata zako vizuri kwa hatma ya watoto
Mimi nilitafuta wa kunizalia still akanipiga chenga ya Pele, kabeba mimba vizuri tu kumbe mimba wala siyo yangu nikaishia kuchunwa kulea mimba na mtoto ambae siyo wangu!Hatar aisee,ngoja nitafute wakunizalia mtt then nitulie tu.
Mleta hoja magnify ujumbe niliou quote.kama mna miaka Zaidi ya kumi ktk ndoa ,na jamaa kamchukua mke kwa mwezi tuu ,usijali endelea tuu na mkeo miaka 10 sio sawa na miezi ,ila mwambie mkeo aende kwa jamaa mara ya mwisho then AKOME abaki na wewe
hili jibu ninaliafiki, naomba utulize kichwa, ongea naye, na usiishie tu kuongea naye bali umwite na huyo mhusika myamalize, haina haja kumwacha kwani wanawake karibu wote wanafanana tuMkuu kaa nae mueleze maujinga yake then msikiliza atasema nini then uendelee na maisha...
Kuna mengi ya kufanya kwenye maisha zaidi ya kulia kwenye mapenzi na isitoshe una watoto tayari..
Akikaza kichwa,,,Fyekelea mbaliiii
seriously???Mbona hamna shida hapo.
Kumbe😂Jaman mke haachwi kwa kosa moja lol....
Yes.seriously???
Hakuna aliye msafi .. ..... .....endelelea tu kupanic mkuu.......nakuuliza tena unataka ushauri gani??
Ntaoaga kweli kwa hali hii jamani?![]()