Hii ngumu kumeza

Hii ngumu kumeza

Status
Not open for further replies.
Nawashukuru wakuu kwa kampani....nyie laleni mnaolala...usiku sana sasa.
Binafsi sina usingizi kabisa mpaka nitakapoitapika hii nyongo.

Ngoja niendelee kufanya majumuisho ya ushauri mnaonipa....ili niondoke na moja.

Mambo mengine hata kumwambia Mtu moja kwa moja ni aibu yani......hapa ni kufanya maamuzi tu.
Pole sana ndugu, Mungu akusimamie!
 
Nawashukuru wakuu kwa kampani....nyie laleni mnaolala...usiku sana sasa.
Binafsi sina usingizi kabisa mpaka nitakapoitapika hii nyongo.

Ngoja niendelee kufanya majumuisho ya ushauri mnaonipa....ili niondoke na moja.

Mambo mengine hata kumwambia Mtu moja kwa moja ni aibu yani......hapa ni kufanya maamuzi tu.


Nakuomba tu usije ukampiga au kumtamkia maneno ya vitisho ukageuka mkosaji mbele ya sheria!
 
Nawashukuru wakuu kwa kampani....nyie laleni mnaolala...usiku sana sasa.
Binafsi sina usingizi kabisa mpaka nitakapoitapika hii nyongo.

Ngoja niendelee kufanya majumuisho ya ushauri mnaonipa....ili niondoke na moja.

Mambo mengine hata kumwambia Mtu moja kwa moja ni aibu yani......hapa ni kufanya maamuzi tu.
Aiseeh...mwenye upele hapewi kucha.
Pole sana mkuu
 
Write your reply...Pole mkuu, wote wanaokushauri sijui utoke out kukaa nae kumdadisi ni kwa sababu hii hali haijawakuta. Hakuna kitu kinacho umiza kama mwanamke wa ndoa unaemtimizia kila kitu na akakusaliti na mbaya zaidi kwa staff mwenzako, ni dharau ilioje.

Nakushauri kama ni jasiri mruhusu aende zake bila kujali sijui watoto, angalia njia sahihi za kuwatunza. Nakupa ushauri huu kwa sababu hutokaa umwamini mkeo tena, na mbaya zaidi unaweza kuja kufanya vitendo vitakavyo hatarisha maisha yako ukaishia sehemu pabaya na kushindwa kuwatunza hata hao watoto.
 
Mkuu umesema ulikuwa chuo,same he tu hakuna namna ,amin katika facts and realistic
 
Usije ukamuacha mkeo ukidhani utapata afadhali utajuta. Dialogue ni muhimu kutatua hilo tatizo. Pole sana kwa yaliyokukuta.
 
Kuna uzi humu unasema usiguse simu ya mwanaume/ mwanamke kuna privacy zake.

Nilikuwa nawaza sana hizo privacy ni zipi, hatimae nimejua kwa nini hawataki washikiwe simu zao.

Nasema hivi, huyo kesha kuwa mke wa stuff mate hata ukikomaa utagongewa hadi mnazeeka nakuomba umwachie jamaa aoe.

Kwa vile ushahidi upo nenda kamkabidhishe kwao uendelee na maisha yako.

Ukiilazimisha hiyo ndoa itakugharimu maisha yako( huyo yuko radhi akuue ili aendelee na huyo jamaa, sio kwa kitendo hicho alichokifanya).
Jaman mke haachwi kwa kosa moja lol....
 
Aisee tena bora angekulwa na wa mbali hata usiye mjua,rafiki yako mwe!!! Amekukosea sana,.me nakushauri fanya hivi; kabla hamjaitana kwenye vikao na familia muulize kwanza wakati unamgegeda,.mkaze kwelikweli halafu ndio umuulize hayo mambo katikati ya mgegedo hakikisha kila unavyomuuliza na speed unaiongeza na usiutoe nje mgegedo usiruhusu kabisaa hewa kupita,.

Shenztaip!!!!
 
Kama bado hujaongea nae kuna mambo kadhaa ya kufanya mkuu, japo nahisi nimekujua
1. Lazima utafute namna wote wajue kuwa umefahamu (mke na mchepuko)
2. Don't give a room for conversation to both of them
3. Kama una pesa na una sehemu ya kwenda kupumzika angalau mwezi au siku 40, just do it na huko find friends and a girl/woman wa kukuliwaza. Shortly uwe na kampani
4. After that time urudi back to your family ready for another life of less love. Haihitaji kujadili hilo mkuu vinginevyo utasababisha madhara makubwa zaidi, na utajuta.

N.B i)Kumwacha mke mwenye watoto wawili itakutesa maisha yako yote, unachotakiwa kujua ni uko nae kwa sababu ya watoto wako.
ii) Hapa ndipo inapoonekana faida ya kuwa na mpenzi wa pembeni, awe wa kudumu au temporal. Japo wengi tunakuwa nao kwa ajili ya tamaa ila cha msingi ujue wanasaidia sana.
iii) Pole sana ila usimwamini mwanamke kiasi cha kutokuwa na mchepuko. Otherwise ni dm mimi rafiki yako...
 
Wakati mwingine ni vizuri kusimama kama "mwanaume". Jambo la kwanza ningetoka na mke na kwenda nae sehemu tulivu, huko ningemsomea mashitaka yake na kusikia atanijibu nini. Kwenye kusoma mashitaka ningemwambia bayana,"Unatembea na fulani na tayari ninao ushahidi wa kutosha juu ya jambo hilo". Kama ataonyesha kujuta basi inaandaliwa siku ya kukutana na mkeo, mgoni wako na wewe. Hakikisha unatoa onyo kali kwa "Hao wakora" kisha faili lao liweke pembeni.

Kufanya hivi kuna faida kwako. Mosi wahusika watajirudi na kuacha uchafu wao. Mkeo atakuwa mnyenyekevu kwako na atajiepusha kukufanyia lolote baya lenye maudhi au kukera. Tatu unaweza kuitumia fursa hii kufanya maendeleo kwa maana majukumu madogo madogo kama bill mbalimbali na chakula atawajibika kuvigharamia huku wewe kipato chako ukikielekeza kwenye uwekezaji.

Kwa kuwa hii ni mara ya kwanza kumkamata na upuuzi huo jaribu kusamehe. Utao na kuacha sana ukiamua kumwacha. Wake za watu wengi wamekuwa,"nyama ya hamu"
 
Cha ajabu humu jf niliona wake za watu wanasupport kwenda nje ya ndoa zao na wala hawajutii wanaonesha kufurahishwa kabisa.
 
Aisee tena bora angekulwa na wa mbali hata usiye mjua,rafiki yako mwe!!! Amekukosea sana,.me nakushauri fanya hivi; kabla hamjaitana kwenye vikao na familia muulize kwanza wakati unamgegeda,.mkaze kwelikweli halafu ndio umuulize hayo mambo katikati ya mgegedo hakikisha kila unavyomuuliza na speed unaiongeza na usiutoe nje mgegedo usiruhusu kabisaa hewa kupita,.

Shenztaip!!!!
Aisee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom