Hii ngumu kumeza

Hii ngumu kumeza

Status
Not open for further replies.
Aisee tena bora angekulwa na wa mbali hata usiye mjua,rafiki yako mwe!!! Amekukosea sana,.me nakushauri fanya hivi; kabla hamjaitana kwenye vikao na familia muulize kwanza wakati unamgegeda,.mkaze kwelikweli halafu ndio umuulize hayo mambo katikati ya mgegedo hakikisha kila unavyomuuliza na speed unaiongeza na usiutoe nje mgegedo usiruhusu kabisaa hewa kupita,.

Shenztaip!!!!
amuulize wkt anafanyajee??
 
hili jibu ninaliafiki, naomba utulize kichwa, ongea naye, na usiishie tu kuongea naye bali umwite na huyo mhusika myamalize, haina haja kumwacha kwani wanawake karibu wote wanafanana tu
Naunga mkono hoja.. Sis wenyew tunavumilia mengi mnooo lkn ndoa haivunjiki
Naamin akimkanya sidhan kama atarudia
Kibinadamu ni ngumu lkn Mungu ampe roho tu ya kusamehe
 
Kwanza kabisa napingana na hao wanaokataa kuchunguza simu au mawasiliano ya wenza wao, huyo ni mkeo /mumeo wa ndoa,hivyo kufuatilia chochote kile kwake ni 'wajibu'... 'sio wawili tena bali ni mwili mmoja',maana athari zozote zikitokea, ni shared.

Mimi ilikuwa ni msg, nadhani zilisahaulika kufutwa,nikachukulia poa tu kwa ule ujinga eti tusifuatilie simu zitatuvunjia ndoa. Baadye nikaamua kufuatilia karibu mawasiliano ya ile namba, nililenga kujua muda anaopigiwa na how long wanazungumza.

Nikaja kuthibitisha pasipo shaka kuwa waliwahi kuwa katika wahusiano pindi nikiwa masomoni ila wakaja tengana miezi 5 kabla ya mie kurejea masomoni. Uchunguzi huu ulichukua takribani miezi 3 tangu kustukia mawasiliano hayo.

Nilipothibitisha, nikamwomba MUNGU anipe subra, maana ni 'NGUMU KUMESA'. Cha kwanza nikawa tayari kumsamehe, ila nikaweka nadhili kwa muumba wake kuwa, nitamuhoji mara 3 kwa vipindi ni siku tofauti, akikana zote mara 3,ndio ungekuwa mwisho.

Nikaandaa Questionnaire zangu kwa ustadi wa hali ya juu sana na umakini mkubwa kuepuka kuhisi kuwa kuna kitu akistukie, ila swali la mwisho nakumbuka lilimbabaisha na 'akapoteana'.

Ile ya mwisho alikili na akaeleza yote tangu siku ya kwanza hadi walipoamua ku break up, na sababu.

Nilimwambia ampigie jamaa simu na amuite aje nyumbani kwangu, jamaa akazingua, nikampigia nikwambie ndani ya masaa 4 aje kwangu, lasivyo......!! Jamaa alikubali kuja.

Yeye alilia na kueleza kila kitu... Aliomba msamaha nikawasamehe wote. Japo mgoni wangu aliogopa sana baada ya kutoka kwangu alienda kuomba likizo na baadaye uhamisho, nasikia alirudi mkoani kwao maana roho ya hatia ilikuwa ikimwandama. Mke nae kabadilika ajabu, hakutarajia kilichotokea.

Nadhani ndugu yangu huenda ukapata cha kujifunza hapo, japo sikushauri ufuate ufuate njia niliyoifuata, maana kila mtu ni wa pekee. Kuacha nalo wazo zuri, tatizo utayemleta naye hauna uhakika naye. Huo ndio uzoefu nilioupitia.
Hongera kwa roho ya kusamehe ..naamin sahv maisha yenu safi na amejirekebisha
 
Kiongozi kuna mambo ya kuvumilia na kuna ya kutoyavumilia.
Muonyeshe mkeo ulichokikuta ktk simu yake, wajulishe wazazi wake na wako (kujivua lawama), muonyeshe/mtumie jamaa hiyo kitu na umshukuru kwa kukuvurugia familia yako usimpe kitisho chochote, fanya juu chini kama jamaa ana wazazi wajue.(kisaikolojia itawavuruga familia nzima)
Tafutia wanao shule boarding au njia nzuri ya kuishi nao kisha bila matusi, kipigo au ugomvi wa aina yoyote mwambie mwanamke akahangaikie maisha yake anapoona panamfaa.
Utateseka kwa muda ila kumbuka kila jambo lina mwisho.
Huyu mwanamke anaweza kukuletea maradhi ndani mkawaacha watoto yatima kisa umalaya tu wa mtu mmoja. Bora nusu shari kuliko shari kamili. Elekeza nguvu zako kutafuta maisha ya wanao wanawake wana ushetani ndani yao unaweza kukugharimu pasipo sababu.
 
So sad...kama n mm mkuu yaan hapo talaka ataikuta nyumban yy atafata na mizigo
 
Kiongozi kuna mambo ya kuvumilia na kuna ya kutoyavumilia.
Muonyeshe mkeo ulichokikuta ktk simu yake, wajulishe wazazi wake na wako (kujivua lawama), muonyeshe/mtumie jamaa hiyo kitu na umshukuru kwa kukuvurugia familia yako usimpe kitisho chochote, fanya juu chini kama jamaa ana wazazi wajue.(kisaikolojia itawavuruga familia nzima)
Tafutia wanao shule boarding au njia nzuri ya kuishi nao kisha bila matusi, kipigo au ugomvi wa aina yoyote mwambie mwanamke akahangaikie maisha yake anapoona panamfaa.
Utateseka kwa muda ila kumbuka kila jambo lina mwisho.
Huyu mwanamke anaweza kukuletea maradhi ndani mkawaacha watoto yatima kisa umalaya tu wa mtu mmoja. Bora nusu shari kuliko shari kamili. Elekeza nguvu zako kutafuta maisha ya wanao wanawake wana ushetani ndani yao unaweza kukugharimu pasipo sababu.
Umemaliza yote aisee
 
Acha nae huyo maana mwanamke akishachepuka ujue wewe si wa maana tena kwake, hata wakati mnado tendo la ndoa anakuenjoy tu kwa kuwa wao tendo la ndoa ni upendo hivyo upendo upo kwa huyo jamaa mpya.

Hata maandiko yanakulinda katika hilo
👇
Mathayo 19
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom