mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
Mkuu kaa nae mueleze maujinga yake then msikiliza atasema nini then uendelee na maisha...
Kuna mengi ya kufanya kwenye maisha zaidi ya kulia kwenye mapenzi na isitoshe una watoto tayari..
Akikaza kichwa,,,Fyekelea mbaliiii
Hizi italics ndo point
Atafte pesa ya maisha yake na wanae huyo gwiji wa mahaba mjini amkabidhi kwao ili apate uhuru wa kutosha kufanya hicho alichokichagua.

poa mkuu..