Hii ngozi ina makosa gani jamani?

Hii ngozi ina makosa gani jamani?

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,663
doggie-driver.jpg
 
Dah! inasikitisha sana, lakini nikirudi kuisoma Biblia nakuta kuwa hiyo hadhi Mzungu kapewa na Bwana Yesu (kama ni kweli hayo yalioandikwa humo ni maneno ya Yesu na Biblia haijachakachuliwa), soma kisa cha huyu mama Mkanaani (Wakanaani kwa mujibu wa wasomi wa Biblia ni Waafrika weusi):

Matayo 15:22-26

Neno: Bibilia Takatifu (SNT) [SUP]22 [/SUP]Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu hizo akaja kwake, akamlilia, akasema, Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa na pepo na anasumbuka sana. [SUP]23 [/SUP]Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi wanafunzi wake wakamwendea wakamwomba, Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele. [SUP]24 [/SUP]Akajibu, Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea. [SUP]25 [/SUP]Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu akasema, Bwana, nisaidie! [SUP]26 [/SUP]Yesu akajibu, Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.

Kwa mafundisho hayo, kwanini tumlaumu huyo Mzungu na hali kitabu hicho ndio cha ibada na kinafundishwa na kuhubiriwa makanisani? Kwa kusoma hicho kitabu hajaiona tofauti kwani Wakanaani wameitwa na "Mungu" kuwa ni mbwa.
 
Dah! inasikitisha sana, lakini nikirudi kuisoma Biblia nakuta kuwa hiyo hadhi Mzungu kapewa na Bwana Yesu (kama ni kweli hayo yalioandikwa humo ni maneno ya Yesu na Biblia haijachakachuliwa), soma kisa cha huyu mama Mkanaani (Wakanaani kwa mujibu wa wasomi wa Biblia ni Waafrika weusi):

Matayo 15:22-26

Neno: Bibilia Takatifu (SNT) [SUP]22 [/SUP]Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu hizo akaja kwake, akamlilia, akasema, Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa na pepo na anasumbuka sana. [SUP]23 [/SUP]Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi wanafunzi wake wakamwendea wakamwomba, Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele. [SUP]24 [/SUP]Akajibu, Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea. [SUP]25 [/SUP]Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu akasema, Bwana, nisaidie! [SUP]26 [/SUP]Yesu akajibu, Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.

Kwa mafundisho hayo, kwanini tumlaumu huyo Mzungu na hali kitabu hicho ndio cha ibada na kinafundishwa na kuhubiriwa makanisani? Kwa kusoma hicho kitabu hajaiona tofauti kwani Wakanaani wameitwa na "Mungu" kuwa ni mbwa.

hapa faiza foxy umeonyesha tu chuki zako juu ya ukristu na kwa sababu,tu wewe ni mwislam hayo maneno ya kwenye biblia hiyo sio tafsiri yake umekurupuka Yesu alikuja kwq binadamu wote
 
Dah! inasikitisha sana, lakini nikirudi kuisoma Biblia nakuta kuwa hiyo hadhi Mzungu kapewa na Bwana Yesu (kama ni kweli hayo yalioandikwa humo ni maneno ya Yesu na Biblia haijachakachuliwa), soma kisa cha huyu mama Mkanaani (Wakanaani kwa mujibu wa wasomi wa Biblia ni Waafrika weusi):

Matayo 15:22-26

Neno: Bibilia Takatifu (SNT) [SUP]22 [/SUP]Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu hizo akaja kwake, akamlilia, akasema, Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa na pepo na anasumbuka sana. [SUP]23 [/SUP]Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi wanafunzi wake wakamwendea wakamwomba, Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele. [SUP]24 [/SUP]Akajibu, Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea. [SUP]25 [/SUP]Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu akasema, Bwana, nisaidie! [SUP]26 [/SUP]Yesu akajibu, Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.

Kwa mafundisho hayo, kwanini tumlaumu huyo Mzungu na hali kitabu hicho ndio cha ibada na kinafundishwa na kuhubiriwa makanisani? Kwa kusoma hicho kitabu hajaiona tofauti kwani Wakanaani wameitwa na "Mungu" kuwa ni mbwa.
we mjane malizia mpaka mstari wa 28 ndipo utajua yule mama imani ilimuokoa.
na kwa ujinga wako na chuki zako unawaita wapalestina ni waafrika ili uonewe huruma na waafrika na kupata support bure.
soma bible vizuri jinsi mungu alivyowaahidi nchi ya kaanan,kwa hiyo waisrael wanaishi uganda sasa hivi?
bahati mbaya hata hapa nimempa mbwa chakula cha wanangu.
 
Dah! inasikitisha sana, lakini nikirudi kuisoma Biblia nakuta kuwa hiyo hadhi Mzungu kapewa na Bwana Yesu (kama ni kweli hayo yalioandikwa humo ni maneno ya Yesu na Biblia haijachakachuliwa), soma kisa cha huyu mama Mkanaani (Wakanaani kwa mujibu wa wasomi wa Biblia ni Waafrika weusi):

Matayo 15:22-26

Neno: Bibilia Takatifu (SNT) [SUP]22 [/SUP]Mwanamke mmoja Mkanaani aliyeishi sehemu hizo akaja kwake, akamlilia, akasema, Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa na pepo na anasumbuka sana. [SUP]23 [/SUP]Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi wanafunzi wake wakamwendea wakamwomba, Mwambie aende zake, kwa maana anaendelea kutupigia kelele. [SUP]24 [/SUP]Akajibu, Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea. [SUP]25 [/SUP]Lakini yule mwanamke akaja, akapiga magoti mbele ya Yesu akasema, Bwana, nisaidie! [SUP]26 [/SUP]Yesu akajibu, Si haki kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.

Kwa mafundisho hayo, kwanini tumlaumu huyo Mzungu na hali kitabu hicho ndio cha ibada na kinafundishwa na kuhubiriwa makanisani? Kwa kusoma hicho kitabu hajaiona tofauti kwani Wakanaani wameitwa na "Mungu" kuwa ni mbwa.

.
Yesu Ni Mungu, atakutokea mwenyewe Kwa namna Yake ili uthibitishe mwenyewe Na Uokoke.. Only afterTen Day ..
 
hapa faiza foxy umeonyesha tu chuki zako juu ya ukristu na kwa sababu,tu wewe ni mwislam hayo maneno ya kwenye biblia hiyo sio tafsiri yake umekurupuka Yesu alikuja kwq binadamu wote

hebu tupe tafsiri ya ukweli ya hilo neno, maana mm nimeisoma kwenye Biblia lakini bado cjapata picha
 
Mbwa anakaa kiti cha mbele kwenye gari halafu huyo jamaa anawekwa kwenye body nyuma wakati gari ikipata tu pancha mbwa hana uwezo hata wa kuibadili. Hii ni hatari sana na ubaguzi wa kiwango cha juu sana
 
we mjane malizia mpaka mstari wa 28 ndipo utajua yule mama imani ilimuokoa.
na kwa ujinga wako na chuki zako unawaita wapalestina ni waafrika ili uonewe huruma na waafrika na kupata support bure.
soma bible vizuri jinsi mungu alivyowaahidi nchi ya kaanan,kwa hiyo waisrael wanaishi uganda sasa hivi?
bahati mbaya hata hapa nimempa mbwa chakula cha wanangu.

Imani alikuwa nayo naam, hilo wala halina utata, lakini soma hapo mstari wa 28, hayo ni maneno ya Yesu kwli? "Mungu" kumuita binaadam Mbwa? kama wewe unaamini hivyo kwanini leo umshutum Mzungu?

Kuhusu Canaan, hebu jisomee hapa bila kuwa na matongotongo:

Biblically, Canaanites are identified in Genesis as descendants of Canaan, a son of Ham and grandson of Noah.

Sasa nieleze, Jee, unajuwa wasomi wa Biblia wanasema Waafrika weusi ndio kizazi cha Ham? au unataka ushahidi kwa hili pia?

Vipi? leta vitu.
 
Jamani pengine mwenyewe kaamuwa hivyo na hata mimi ningeamuwa kukaa nje kuliko kunuswanuswa na kelb. Halafu inawezekana huyo mwenye gari akawa Balloteli mwenyewe!
 
hapa faiza foxy umeonyesha tu chuki zako juu ya ukristu na kwa sababu,tu wewe ni mwislam hayo maneno ya kwenye biblia hiyo sio tafsiri yake umekurupuka Yesu alikuja kwq binadamu wote

Hayo maneno yako wazi kabisa. Nini usichokielewa hapo? Canaan ni Kizazi cha Ham na Ham ndio kizazi cha Waafrka weusi, au nalo unataka mpaka tukufungulie vitabu vya Wakristo wenzako wanaosema hayo?
 

1. Mmejuaje anayendesha gari ni mzungu?
2. Vipi kama mwenye gari alitoka nalo nyumbani akiwa amempakia mbwa wake na jamaa akapewa lift njiani? akarukia nyuma fasta na owner wa gari hana kamba ya kumfunga mbwa kwenye board?
3. Una uhakika gani kama mbwa sio mgonjwa labda mlemavu/kaumia wanampeleka kwa vert??
4. Hatujaangalia hapo chini kwenye miguu ya abiria nyuma ya gari labda kashikilia kitu au vitoto vya mbwa visiruke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom