Neno 'Glow' limeshika kasi kwenye tasnia ya urembo, wauzaji wa vipodozi wanauza wakisema ukitumia utaglow, huku na watumiaji wakionesha ngozi zao kuwa zimeglow.
Cha ajabu wapo ambao wanashare video huku nyuso zikiwa zimenona futa kama wametoka kukaangwa au kulowekwa kwenye mafuta ya yile Mtume na nabii, huku wakijisifia kiwa tangu waanze kutumia kitu fulani wameglow au wamekiwa wekundu kwa kukoboa ngozi.
Najiuliza, kugolow ni uso kunona mafuta, au kukoboa ngozi au ni kuwaje? Naomba kufahamishwa maaana mpaka sasa nachanganyikiwa mwenzenu.
Cha ajabu wapo ambao wanashare video huku nyuso zikiwa zimenona futa kama wametoka kukaangwa au kulowekwa kwenye mafuta ya yile Mtume na nabii, huku wakijisifia kiwa tangu waanze kutumia kitu fulani wameglow au wamekiwa wekundu kwa kukoboa ngozi.
Najiuliza, kugolow ni uso kunona mafuta, au kukoboa ngozi au ni kuwaje? Naomba kufahamishwa maaana mpaka sasa nachanganyikiwa mwenzenu.