Hii ngozi ina makosa gani jamani?

Hii ngozi ina makosa gani jamani?

.
Yesu Ni Mungu, atakutokea mwenyewe Kwa namna Yake ili uthibitishe mwenyewe Na Uokoke.. Only afterTen Day ..

Dah! huko sasa kutaka kuonesha miujiza, kumbuka biblia inasemaje: Hata shetni anaweza kuja akakwambia mie Yesu, kwa uoga wako na ujinga wako tu ukaamini.

Mimi siamini kama Mungu anaweza kumita binaadam aliyemuumba mbwa na mbwa nao kawaumba yeye mwenyewe. Inabidi ufikiri sana kwa hayo kijana, usifate tu kila unaloambiwa, mwishowe ndio hivyo, wanamuona mbwa bora kuliko wewe.

Ikiwa unaitwa kondoo na una binaadam wanaokuchunga wanaitwa wachungaji na unachekelea, leo kuitwa mbwa kwenye hicho kitabu una shangaa nini? Ujuwe mbwa hutumika kumchunga kondoo na ndio hao hao wansema eti ndi rafiki mpenzi wa mwanaadam sasa fikiri wewe kondoo uko hadhi ipi, na unachekelea. Sasa hapo kondoo kawekwa nyuma ya gari mbwa kawekwa mbele ya gari, au sio? labda hapo utafurahi?
 
Mbona hapa Tanzania Maliasili zinapendwa sana kuliko Mwadamu(watanzani)leo watu wanakatazwa kulima utasikia hifadhi hii!ukikutwa unalima unauliwa,mimea inachomwa Moto,kisa hifadhi ya Wanyama ni upuuzi
 
1. Mmejuaje anayendesha gari ni mzungu?
2. Vipi kama mwenye gari alitoka nalo nyumbani akiwa amempakia mbwa wake na jamaa akapewa lift njiani? akarukia nyuma fasta na owner wa gari hana kamba ya kumfunga mbwa kwenye board?
3. Una uhakika gani kama mbwa sio mgonjwa labda mlemavu/kaumia wanampeleka kwa vert??
4. Hatujaangalia hapo chini kwenye miguu ya abiria nyuma ya gari labda kashikilia kitu au vitoto vya mbwa visiruke

Good analysis, wengine wote waliochangia nahisi wamekurupuka
 
Dah! huko sasa kutaka kuonesha miujiza, kumbuka biblia inasemaje: Hata shetni anaweza kuja akakwambia mie Yesu, kwa uoga wako na ujinga wako tu ukaamini.

Mimi siamini kama Mungu anaweza kumita binaadam aliyemuumba mbwa na mbwa nao kawaumba yeye mwenyewe. Inabidi ufikiri sana kwa hayo kijana, usifate tu kila unaloambiwa, mwishowe ndio hivyo, wanamuona mbwa bora kuliko wewe.

Ikiwa unaitwa kondoo na una binaadam wanaokuchunga wanaitwa wachungaji na unachekelea, leo kuitwa mbwa kwenye hicho kitabu una shangaa nini? Ujuwe mbwa hutumika kumchunga kondoo na ndio hao hao wansema eti ndi rafiki mpenzi wa mwanaadam sasa fikiri wewe kondoo uko hadhi ipi, na unachekelea. Sasa hapo kondoo kawekwa nyuma ya gari mbwa kawekwa mbele ya gari, au sio? labda hapo utafurahi?

Katika hali ya ushabiki wa mijadala ya pale Manzese darajani una point hapa.(bolded part)

Katika biblical language and interpretation - Hujui na wala hujui kwamba hujui ningekushauri utulie na msaafu wako uliousoma katika chuo kikuu cha Madrasa.

Jina Kondoo limetumika ku symbolise upole na usikivu wa kondoo angeweza kutumia hata Nguruwe.
 
Jamani nini kinaendelea Jamhuri Ya Afrika Ya Kati.:evil:
 
Kwanini tusimshukuru jamaa kwa kutoa lift.

Wangapi wanatoa lift hata ya staili hiyo?
 
1. Mmejuaje anayendesha gari ni mzungu?
2. Vipi kama mwenye gari alitoka nalo nyumbani akiwa amempakia mbwa wake na jamaa akapewa lift njiani? akarukia nyuma fasta na owner wa gari hana kamba ya kumfunga mbwa kwenye board?
3. Una uhakika gani kama mbwa sio mgonjwa labda mlemavu/kaumia wanampeleka kwa vert??
4. Hatujaangalia hapo chini kwenye miguu ya abiria nyuma ya gari labda kashikilia kitu au vitoto vya mbwa visiruke

this is what we call critical thinking.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom