Hii ndo hali halisi leo Arusha

Hii ndo hali halisi leo Arusha

Pakitajwa Arusha taswira ya Godbless Lema ndiyo inaniijia kichwani nikajua ni mahakamani wanafatilia kesi, kumbe hao wanaoenda kuhesabiwa.
 
Nimezaliwa Ngara, naishi Mtwara, Mr wangu anajenga Dar. Sasa hapa kwetu ni wapi?

Wanatafuta kick za kijinga tu. Ohoo mara kuhesabiwa, ohoo sisi ndo wenye uchumi. Yaani sitakaa niolewe na hili kabila. Stress zote za kusafiri sikukuu badala ya kupumzika home
Sasa kumbe ulishaolewa hiyo kukataa kuolewa na Mchangha unaitoa wapi,kwa hiyo mawazo yako unawaza ipo siku utaachika ili uolewe tena sio?believe me...hakuna Mchangha atakutongoza wewe atake kukuoa,labda kusuuzia rungu ila sio mengine!!!
 
Sasa kumbe ulishaolewa hiyo kukataa kuolewa na Mchangha unaitoa wapi,kwa hiyo mawazo yako unawaza ipo siku utaachika ili uolewe tena sio?believe me...hakuna Mchangha atakutongoza wewe atake kukuoa,labda kusuuzia rungu ila sio mengine!!!
Umegonga mkuu, mchimba chumvi huyo
 
Wanatafuta kick za kijinga tu. Ohoo mara kuhesabiwa, ohoo sisi ndo wenye uchumi. Yaani sitakaa niolewe na hili kabila. Stress zote za kusafiri sikukuu badala ya kupumzika home
we pumzika home.Home kwetu uchagani
 
Wanatafuta kick za kijinga tu. Ohoo mara kuhesabiwa, ohoo sisi ndo wenye uchumi. Yaani sitakaa niolewe na hili kabila. Stress zote za kusafiri sikukuu badala ya kupumzika home
Waache waende, wanatupunguzia stress za traffic mjini.
 
Kituo kikubwa cha mabasi Arusha kimezidiwa Na Abiria wanaoenda Moshi, bado hali Ni tete kwa abiria wakiwa hawajui hatma ya safari kutokana Na kuwa wengi kuliko kawaida

wp_20161224_003-jpg.449913


wp_20161224_002-jpg.449919

Bombardier Q400 zimejaa kwani? Halafu Watanzania ni wakati muafaka sasa tukaanza kujifunza kujipangilia kiratiba katika mambo muhimu. Mtu yoyote makini hawezi kusubiri siku moja kabla ya Sherehe fulani tena kubwa kama hii ya Christmas halafu ndiyo akaianza safari yake. Tatizo hili lipo sana tu pia katika michezo hasa mpira wa miguu. Utakuta tiketi zinauzwa hata siku mbili au tatu kabla ya mechi husika lakini Mtu anasubiri hadi D day ndiyo anaenda kununua ambako hukumbana na karaha za kila aina na si hiyo tu huko huko mpirani utalikuta Lijitu limefika uwanjani Taifa au Uhuru mapema tu, limeshakula na kushiba na milango ya kuingia ipo wazi na Watu wanaingia bila matatizo lakini lenyewe linasubiri hadi timu zinaanza kutoka dressing rooms kwenda kufanya warm ups ndilo na lenyewe linaamka pale lilipo linaanza kuelekea kuingia ambapo na hapo mlangoni tena linakutana na Wapuuzi wenzie na kuanza kuingia kwa foleni hadi kujikuta yanachelewa halafu yanaanza kulalamikia utaratibu. Watanzania tuna matatizo mno na hatujitambui kabisa.
 
Kituo kikubwa cha mabasi Arusha kimezidiwa Na Abiria wanaoenda Moshi, bado hali Ni tete kwa abiria wakiwa hawajui hatma ya safari kutokana Na kuwa wengi kuliko kawaida

wp_20161224_003-jpg.449913


wp_20161224_002-jpg.449919
Nakutakieni x mass njema na Heli ya mwaka Mpya.
Sasa hivi kwenye mitandao ya kijamii sisikii tena ati uchumi umeshuka, hali tete, stendi za mabasi tupu. Nchi inakwenda kizani nk.

Ngoja nisubili January ,sijui watakuja na lipi?
Labda mchango wa kumtoa mwali wao waliomficha aje kunema apate basha
 
Kwanza kabisa mimi si bwana'ko,pili kujisikia haiwezi ikawa ya SHARTI la mwaka ambapo karibia wote mnaenda,hii sio kujisikia bali ni AMRI.
Ni amri ya ngapi? una uhakika gan hawajajiskia? au wewe ukienda pekee ndo umejiskia? Nenda skuli dogo
 
Sasa wewe inakuuma nini jambo lisilokuhusu!?
Watu mnashangaza sana, safari wanasafiri wao, pesa wanazotumia ni zao, kama ni matambiko ni yao...wewe kinachokuuma ni nini? Au unaathirika vipi na hao watu kwenda kwao?
Pilipili anakula mwingine wewe unasugua mdomo..maajabu haya!
Bora umewaambia maana wamekalia kuwasema wachaga utadhani kunawalicho waomba.
 
ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.
Kama unaweza kwenda kwenu kila unapojisikia basi hata kazini unaenda kila unapojisikia. Hayo maendeleo mtayapata sasa ngapi wakati upo kwenu Tanga ukila bata.
 
HUU NAO NI USHAMBA AMBAO WACHAGA WENGI WAMESHINDWA KUJINASUA. HUU BILA SHAKA NI UCHAWI FLANI HV
Kama kwenu huna au mlikimbia uchawi, chuki, magonjwa na umaskini na hata mila na desturi, utamaduni za kwenu huna. Wewe ni mtumwa, na lazima uowaonee wivu wachagga.

wachagga kwao kupo na kuna maendeleo, wanakwenda kila mwaka kuungana na ndugu, marafiki, jamaa zao kusherehekea sikukuu na pia kudumisha mila na desturi na tamaduni wao.
 
Back
Top Bottom