Hii ndo hali halisi leo Arusha

Hii ndo hali halisi leo Arusha

Wanatafuta kick za kijinga tu. Ohoo mara kuhesabiwa, ohoo sisi ndo wenye uchumi. Yaani sitakaa niolewe na hili kabila. Stress zote za kusafiri sikukuu badala ya kupumzika home
Sio kiki, ni mila na desturi tu, mambo mengine kama hayakuhusu unapita tu... Wachaga na mila na desturi zao huwaambii kitu, lakini popote duniani xmass ni wakati wa kukaa na familia na kureflect..
 
Wanatafuta kick za kijinga tu. Ohoo mara kuhesabiwa, ohoo sisi ndo wenye uchumi. Yaani sitakaa niolewe na hili kabila. Stress zote za kusafiri sikukuu badala ya kupumzika home
Hakuna kiki, wanakwenda kwao kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki zao kusherehekea sikukuu. Pia kudumisha utamaduni, mila na desturi zao.

Kweli ndio wenye uchumi. Njia kuu za uchumi wanamiliki wao na hata ardhi pia.

Wachagga wana tabia za kuoana wenyewe ili kudumisha desturi zao, mwanamke kama wewe ambaye si mchagga huna ushawishi kwao. Wewe tafuta mwanaume wa huko kwenu au wa hapa mjini.
 
Wale wanaotangaza kwamba maisha magumu watu hawasafiri, wanajisikiaje wakiona hali hii??


Unafiki mbaya sana
 
Sio kiki, ni mila na desturi tu, mambo mengine kama hayakuhusu unapita tu... Wachaga na mila na desturi zao huwaambii kitu, lakini popote duniani xmass ni wakati wa kukaa na familia na kureflect..
Ok. Asante. Sijakuelewa unaposema popote duniani. Hata uarabuni?
 
Hivi waliotangaza kuwa maisha ni magumu sana mabasi yamepaki hamna abiria wa kusafiri, wanajisikiaje kuona watu wamekosa mabasi ,na wengine wakidandia coaster kwa nauli mara mbili.

Aibu ya kufungia mwaka hii.
 
Nimezaliwa Ngara, naishi Mtwara, Mr wangu anajenga Dar. Sasa hapa kwetu ni wapi?
... Kwenu ni ngara kwani kamwe kuolewa au kujenga Dar hakuondoi ukweli kwamba mababu zako origin yao ni Ngara. Hao wachaga wengi pia wamejenga Dar, Mtwara, Mwanza etc lakini as the saying goes... Zunguka weee but home is home...
 
... Kwenu ni ngara kwani kamwe kuolewa au kujenga Dar hakuondoi ukweli kwamba mababu zako origin yao ni Ngara. Hao wachaga wengi pia wamejenga Dar, Mtwara, Mwanza etc lakini as the saying goes... Zunguka weee but home is home...
Sijakuelewa! Hata wakwe wa wachagga ambao siyo wachagga nao wamekuja uchaggani?
 
si kuna watu huku walikuwa wanasema biashara ni mbaya na magari mengi yamekosa abiria
 
Kama kwenu huna au mlikimbia uchawi, chuki, magonjwa na umaskini na hata mila na desturi, utamaduni za kwenu huna. Wewe ni mtumwa, na lazima uowaonee wivu wachagga.

wachagga kwao kupo na kuna maendeleo, wanakwenda kila mwaka kuungana na ndugu, marafiki, jamaa zao kusherehekea sikukuu na pia kudumisha mila na desturi na tamaduni wao.

si kuna watu huku walikuwa wanasema biashara ni mbaya na magari mengi yamekosa abiria
 
Dah.... inamaana watu wa Arusha Wengi asili yao ni Moshi? Nauliza tu
 
Sasa kama hawana magari yao si wanaenda kuaibika hawa? Wachagga wanaringishiana magari! Unakuta familia 1 ina vijana walioko mikoani 6 kila mmoja kaja na gari lake! Sasa hawa mbona nawahurumia, shauri yao!
 
Wanatafuta kick za kijinga tu. Ohoo mara kuhesabiwa, ohoo sisi ndo wenye uchumi. Yaani sitakaa niolewe na hili kabila. Stress zote za kusafiri sikukuu badala ya kupumzika home
Hii ndugu yangu iko dunia nzima, ungeona mpaka wa south africa na lesotho hiyo foleni nadhani usingesema hayo, wazungu wanasema labourer's wanarudi makwao holidays
 
Sasa umeongea nn? kama unaenda unapojiskia na wao pia wanaenda wanapojiskia ambapo ni mwisho wa mwaka... hhahhaha elimu bwana
wachagga ni watu wanathamini elimu, maendeleo, mila, desturi na tamaduni zao wamekuwa ni chukizo kwa wasiopenda maendeleo na utamaduni nchini kote.
 
Back
Top Bottom