RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,444
Ndio Kabila Lako Kwa Mfano... Unaleta Sifa TuKwani kuna jamii/kabila isiyotafuta pesa ..........??
Ndio Kabila Lako Kwa Mfano... Unaleta Sifa TuKwani kuna jamii/kabila isiyotafuta pesa ..........??
Kila unapojisikia....au kila hirizi inapopungua nguvu!!?Wachagga ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.
Si bure, kuna kitu mwaka huu. Wanaenda kukaa kikao nini wam-fix Magu!!?.Kwa kweli hali ni tete private car zinazoingia moshi na Arusha ni nyingi sana kumekua na msongamano wa kufa mtu machame
Pale himo ndio balaa marangu na rombo hakufai magari ni mengi barabara za moshi zinakuwa finyu kama barabara za posta mamlaka husika ziingilie kati.
Tanga nauli ni mia moja - alafu wew utakuwa mvivu wa kazi.Wachagga ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.

Sasa wewe inakuuma nini jambo lisilokuhusu!?Kwanza kabisa mimi si bwana'ko,pili kujisikia haiwezi ikawa ya SHARTI la mwaka ambapo karibia wote mnaenda,hii sio kujisikia bali ni AMRI.
Xmas - ChristimasNiwatakie wachaga wote Merry Xmas and happy New year
NDAFUKituo kikubwa cha mabasi Arusha kimezidiwa Na Abiria wanaoenda Moshi, bado hali Ni tete kwa abiria wakiwa hawajui hatma ya safari kutokana Na kuwa wengi kuliko kawaida
![]()
![]()
Kweli mkuu ila unaweza kwenda baada ya miaka 3 wenzio kila mwisho WA mwaka wanaenda kuhesabiwaWachagga ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.

how do you come to that figure? Pare and Gweno occupy at least 50% of KilimanjaroPare+Gweno+other tribes is very insignificant! Less than 4%. Mark my words
Uzuri wa Arusha hata Noah zitapiga mzigo tu haina nomaKituo kikubwa cha mabasi Arusha kimezidiwa Na Abiria wanaoenda Moshi, bado hali Ni tete kwa abiria wakiwa hawajui hatma ya safari kutokana Na kuwa wengi kuliko kawaida
![]()
![]()
Tatzo mnaenda kwenu bila bajet wala malengo!Wachagga ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.
Ni kwa ajili ya siku kuu ....ndugu karibu wote wanakutana. ..u batizo. .kubarikiwa. .harusi yaani ni function zote zenye furaha na upendo.Wachagga ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.
Wachagga ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.
NENOWewe kwenu ndo kuna wachawi ukienda hata na Boxer Bm 150 kesho yake unaamkia njiapanda ukiwa uchi akati ulilala ndani kitandani,sasa ukienda na Passo or Ist si watakuuwa kabisa?usijichanganye ukaenda na Prado wanauwa mpaka mkeo.wengi mnaoponda humu kwenda kwenu mnaogopa wachawi ila mnatamani kuwa kama wachagha but mmeshachelewa labda vizazi vyenu vya saba au nane ndo watathubutu japo yahitajika elimu kweli kweli.
Nimetuma muakilishiUmeenda eti....

Ha haa taenda pasaka mie![]()
![]()
![]()
Mjanja wew
Ha haa taenda pasaka mie
