kumbe waenda unapojisikia!!? vipi na wao kama walikua hawajisikia kama wewe? je huoni nao ndio wamejisikia.ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.

Acha historia wewe. Wachaga ilikuwa zamani. Sikuhizi wachaga asilimia kubwa ni mandumbu na masikini wa kutupwa. Maendeleo waloyapata babu zako kwa kuinamishwa mgongo na wazungu ndo unajivunia we masikini fukara wa kutupa?Wewe kwenu Mtwara maendeleo mmeyapata baada ya mkapa kuwajengea daraja miaka ya 2000. wenzako wachagga maendeleo yaliyapata miaka 1955.
Wakati nyie mna miliki private car uchwara wachagga wanamiliki ardhi na magari ya kifahari.
Hasira zote hizo ni hayo maendeleo ya wachaga au kuna kitu nyuma ya pazia mzee?Acha historia wewe. Wachaga ilikuwa zamani. Sikuhizi wachaga asilimia kubwa ni mandumbu na masikini wa kutupwa. Maendeleo waloyapata babu zako kwa kuinamishwa mgongo na wazungu ndo unajivunia we masikini fukara wa kutupa?
Ona mnavvotia aibu na huruma ka wakimbizi wa somalia. Mngekuwa na pesa kweli si mngepanda magari private?
Acha akili za kimaskini wewe!Hasira zote hizo ni hayo maendeleo ya wachaga au kuna kitu nyuma ya pazia mzee?
Ni utaratibu tu mkuu ambao umegeuka kuwa mazoea!HUU NAO NI USHAMBA AMBAO WACHAGA WENGI WAMESHINDWA KUJINASUA. HUU BILA SHAKA NI UCHAWI FLANI HV
Povu lako si la nchi hii ni lakujifarijiAcha historia wewe. Wachaga ilikuwa zamani. Sikuhizi wachaga asilimia kubwa ni mandumbu na masikini wa kutupwa. Maendeleo waloyapata babu zako kwa kuinamishwa mgongo na wazungu ndo unajivunia we masikini fukara wa kutupa?
Ona mnavvotia aibu na huruma ka wakimbizi wa somalia. Mngekuwa na pesa kweli si mngepanda magari private?
We endelea kulegeza masaburi yako ukifikiri kubebwa na kabira lako kuelekea utajiri.Povu lako si la nchi hii ni lakujifariji