Hii ndo hali halisi leo Arusha

Hii ndo hali halisi leo Arusha

Kituo kikubwa cha mabasi Arusha kimezidiwa Na Abiria wanaoenda Moshi, bado hali Ni tete kwa abiria wakiwa hawajui hatma ya safari kutokana Na kuwa wengi kuliko kawaida
Wachagga punguzeni sifa
 
sio Arusha tu mkuu..!
Yaani huku Dar kama unataka ujifunze kichaga
nenda UBUNGO.. saivi kila mtu anaongea kichaga pale
Kweli kabisa nyomi lilianzia ubungo, ingawaje kuna popo walikuwa wanasema hakuna kabisa watu wanao safiri, jambo ambalo si kweli.
 
Hata gazeti la Mwananchi Leo limeripoti kuwa foleni Ni kubwa Sana Na bar zimefurika hasa zile zenye nyama choma
Kupata seat hapa la liga sio kitu cha mchezo na ukitaka nyama choma angalau ufahamiane na mpishi majiko ni mengi lakini ni kama hakuna kinachoendelea hapa huduma zinapatikana kwa magendo watu ni wengi blaaaah
 
Wachagga ni limbukeni sana,hawaendi kwao hadi mwisho wa mwaka. Wakati mimi kwetu Tanga naenda kila ninapojisikia.
Wanatafuta kick za kijinga tu. Ohoo mara kuhesabiwa, ohoo sisi ndo wenye uchumi. Yaani sitakaa niolewe na hili kabila. Stress zote za kusafiri sikukuu badala ya kupumzika home
 
Ila moshi arusha si mbali mtu ukipata shortcut nzuri unakula kwa mguu hahahaaaa
 
Kupata seat hapa la liga sio kitu cha mchezo na ukitaka nyama choma angalau ufahamiane na mpishi majiko ni mengi lakini ni kama hakuna kinachoendelea hapa huduma zinapatikana kwa magendo watu ni wengi blaaaah
Natamani nije fasta hapo, embu mwambie mpishi hapo achome kuku hapo jikoni fasta, nakuja na wine Boss
 
Kwa kweli hali ni tete private car zinazoingia moshi na Arusha ni nyingi sana kumekua na msongamano wa kufa mtu machame

Pale himo ndio balaa marangu na rombo hakufai magari ni mengi barabara za moshi zinakuwa finyu kama barabara za posta mamlaka husika ziingilie kati.
Sasa ww unataka mamlaka zipi ziingilie kati utaki watu waende kwao.
 
Na huku Mwanza kuna shida ya mabus kwenda Bukoba lakini Hiace zinapiga kazi ya nenda rudi
Hapo Arusha kuna Hiace nyingi tu zinaweza kukomba hao watu wote kwa ruti moja.
 
sio Arusha tu mkuu..!
Yaani huku Dar kama unataka ujifunze kichaga
nenda UBUNGO.. saivi kila mtu anaongea kichaga pale
aa wapi utajifunza Kichaga lini wakati wenzio hapa tunaongea lugha ya kichawi tu.

hizi safari za mwisho wa mwaka sisi wenzenu tunaenda kwenye ibada za mazindiko migombani. so, hata kwa kupanda bajaji piga ua lazima niende!
 
Back
Top Bottom