Dr Who,
Kufunga mkanda ni jambo zri sana kwa nchi yetu, unajua even at household level ukitaka kufanya kitu cha maendeleo unajibana au kwa hapa UK unaongeza kazi ya pili au ya tatu. Sasa tatizo linakuja pale ambapo wachache mikanda yao wanalegeza at he expense ya walio wengi through corruption, emblezzement and the like. Na hii imekuwa sehemu ya utamaduni wetu kwa sababu hakuna any deterence, ukiwa mwizi wa pesa ya umma mpaka jamii inakutuza.
Kufunga mkanda ni jambo zri sana kwa nchi yetu, unajua even at household level ukitaka kufanya kitu cha maendeleo unajibana au kwa hapa UK unaongeza kazi ya pili au ya tatu. Sasa tatizo linakuja pale ambapo wachache mikanda yao wanalegeza at he expense ya walio wengi through corruption, emblezzement and the like. Na hii imekuwa sehemu ya utamaduni wetu kwa sababu hakuna any deterence, ukiwa mwizi wa pesa ya umma mpaka jamii inakutuza.