Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,553
- 1,377
Nimekuwa nasoma hotuba za bajeti za wizara nzito za Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Kilimo na Miundombinu. Zinapatikana kwenye national website ya Tanzania.
Bajeti ya Kilimo ni 123 bn/= (more precisely ni TSh. 123,093,381,600)
Bajeti ya Miundombinu ni 464 bn/= (more precisely ni TSh. 463,881,945,000)
Bajeti ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ni 240 bn/= (more precisely ni TSh. 239,650,710,900).
Ukijumlisha fedha zilizotengwa kwa ajili ya wizara hizi tatu muhimu, zinafika 827 bn/= (more precisely TSh.826, 626,037, 500).
Sasa basi, jumla ya fedha zote zitakazotumika na serikali mwaka huu wa fedha ni TSh. 4.85 trillion. Maana yake ni kwamba wizara tatu muhimu za Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Kilimo na Miundombinu, zimetengewa asilimia 17 tu ya matumizi yote ya serikali.
Linganisha hilo jambo na matumizi ya serikali ya Kenya ambako Elimu peke yake imetengewa asilimia 27 ya matumizi yote ya serikali.
Swali ninalotaka mnijibu ni hili: Kama hatutumii hata 20% ya bajeti yetu kwenye Kilimo, Elimu na Miundombinu (combined) hela yetu inatumikaje? Kwa nini jirani zetu waweze kutumia 27% ya bajeti yao kwenye Elimu wakati sisi hatufikii hiyo asilimia hata tukijumuisha Kilimo na Uchukuzi?
Augustine Moshi
Bajeti ya Kilimo ni 123 bn/= (more precisely ni TSh. 123,093,381,600)
Bajeti ya Miundombinu ni 464 bn/= (more precisely ni TSh. 463,881,945,000)
Bajeti ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ni 240 bn/= (more precisely ni TSh. 239,650,710,900).
Ukijumlisha fedha zilizotengwa kwa ajili ya wizara hizi tatu muhimu, zinafika 827 bn/= (more precisely TSh.826, 626,037, 500).
Sasa basi, jumla ya fedha zote zitakazotumika na serikali mwaka huu wa fedha ni TSh. 4.85 trillion. Maana yake ni kwamba wizara tatu muhimu za Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Kilimo na Miundombinu, zimetengewa asilimia 17 tu ya matumizi yote ya serikali.
Linganisha hilo jambo na matumizi ya serikali ya Kenya ambako Elimu peke yake imetengewa asilimia 27 ya matumizi yote ya serikali.
Swali ninalotaka mnijibu ni hili: Kama hatutumii hata 20% ya bajeti yetu kwenye Kilimo, Elimu na Miundombinu (combined) hela yetu inatumikaje? Kwa nini jirani zetu waweze kutumia 27% ya bajeti yao kwenye Elimu wakati sisi hatufikii hiyo asilimia hata tukijumuisha Kilimo na Uchukuzi?
Augustine Moshi