Hivi huu ushenzi mpaka lini hapa bongo? Hili limepita kwa taarifa hakuna wa kuhoji wala nini kama ilivyotokea kwa EWURA.Maskini ndio wanaoumia sana na haya maamuzi ya ajabu ajabu kwani kama kodi wanalipa sana lakini haitoshi hizi agencies zilizoundwa kisiasa nazo nazo zinakuja na charges zisizo na kichwa wala miguu.