Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,384
Wapo wanaovaa kwa lengo la kujisitiri hizo za ushirikina waachieni washirikina
Na wanaovaa kwa kujisitiri idadi ni kubwa kuliko kawaida kaka.Wapo wanaovaa kwa lengo la kujisitiri hizo za ushirikina waachieni washirikina
Kwa siku maalumu haina shida, nazungumzia ile unakuta mshajiandaa kisaikolojia tangu mapemaaaa asa inafika ile mida muafaka wa kutumia vijino( )mara unakuta kile kijiua cha ndani ni rangi nyeusi aaarrrrrrgggghhh!!Hahaaaa. Kwa sisi hasa wale wapenda kununua kwa dozen huwa hatuwezi zikwepa sababu lazima ziwepo humo hivyo kuvaliwa haikwepeki hasa zile siku maalum zile.
Probably. Sikujua lolote kuhusu aliyoyaeleza mleta madaNa wanaovaa kwa kujisitiri idadi ni kubwa kuliko kawaida kaka.
Na ni wengi hawalijui hilo Mbalizi zaidi ya hao wenye hizo imani zao.Probably. Sikujua lolote kuhusu aliyoyaeleza mleta mada
Hakika HajarNa ni wengi hawalijui hilo Mbalizi zaidi ya hao wenye hizo imani zao.
Hahahaaa. Hivi wapo kweli wanawake wa hivyo Mbalizi?Kwa siku maalumu haina shida, nazungumzia ile unakuta mshajiandaa kisaikolojia tangu mapemaaaa asa inafika ile mida muafaka wa kutumia vijino( )mara unakuta kile kijiua cha ndani ni rangi nyeusi aaarrrrrrgggghhh!!
Unajua kuna watu hawajui mambo mengi sana Hajar! Hadi unabaki unashangaa. Wapo japo sio wengi ila wapo.Hahahaaa. Hivi wapo kweli wanawake wa hivyo Mbalizi?
Hahahaaa. Haya bana.Unajua kuna watu hawajui mambo mengi sana Hajar! Hadi unabaki unashangaa. Wapo japo sio wengi ila wapo.
Jipigilie kitu cheupeeeeee pale kati uone kazi
Hahahaaa. Haya bana.
Ni utetezi mzuri na wa kiungwana sana lakini naelewa fika kuwa kuna option ya kusahihisha hata baada ya kupost ila hukupenda kuitumia..Hapana mkuu Mshana, nilitaka tu kutoa maoni kiistaarabu, lakini kwa bahati mbaya kabisa nikatumia maneno makali, naomba radhi kwa mara nyingine.
Rangi nyeusi na nyekundu ni rangi pendwa za Lucifer au Shetani [kwa lugha nyepesi]…
Kuna watu wanapenda sana kuvaa nguo za ndani zenye rangi nyekundu ama nyeusi kwa lengo kuu maalum na kwa faida wanazozijua wao. Hawavai bure bure. Nimejaribu kukuletea sababu kuu chache za wavaaji wa nguo hizo:
1. Mganga au mshirikina
2. Mfanyabiashara anayetumia 'ndumba' katika kufanikisha biadhara yake
3. Mfanyakazi mpenda majungu na aliyejipatia nafasi kwa njia za kishirikina
4. Mtu mwenye mapepo a majini
5. Anayeabudu ushirikina kuliko kumtehemea Mungu
6. Aliyeoa au kuolewa kwa njia za kishirikina
7. Aliyefanikiwa baada ya kutoa kafara mtoto au mzazi wake
Ni hayo tu!
Hapo sawa, kwakua mi binafsi napenda Sana rangi nyeusi hasa kwenye gari.Hapana navaa bila shida kwakuwa sivai kwa dhumuni fulani.. After all they are my favorite colors
Huo utafiti umefanyika wapi?
Rubbish.. Hivi yule jamaa kaenda wapi mbona siku hizi simuoni mzee wa "wasted sperm"