Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
weka pichaMbona mimi hapa ninavyoandika nimeivaa na Sina sifa hata moja kati ya hizo??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka pichaMbona mimi hapa ninavyoandika nimeivaa na Sina sifa hata moja kati ya hizo??.
Duh asee.. Mwaka kabisa? Hamna namna ya kukata rufaa?Ban ya mwaka anaburudika nayo
Duh asee.. Mwaka kabisa? Hamna namna ya kukata rufaa?
nitashitakiwa mkuu kwa kuweka picha us kujidhalilisha. Au mnataka munisimange Kama Nandi??.weka picha
Rangi nyeusi na nyekundu ni rangi pendwa za Lucifer au Shetani [kwa lugha nyepesi]…
Kuna watu wanapenda sana kuvaa nguo za ndani zenye rangi nyekundu ama nyeusi kwa lengo kuu maalum na kwa faida wanazozijua wao. Hawavai bure bure. Nimejaribu kukuletea sababu kuu chache za wavaaji wa nguo hizo:
1. Mganga au mshirikina
2. Mfanyabiashara anayetumia 'ndumba' katika kufanikisha biadhara yake
3. Mfanyakazi mpenda majungu na aliyejipatia nafasi kwa njia za kishirikina
4. Mtu mwenye mapepo a majini
5. Anayeabudu ushirikina kuliko kumtehemea Mungu
6. Aliyeoa au kuolewa kwa njia za kishirikina
7. Aliyefanikiwa baada ya kutoa kafara mtoto au mzazi wake
Ni hayo tu!
True kabisa DadaNa wanaovaa kwa kujisitiri idadi ni kubwa kuliko kawaida kaka.