Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Rangi nyeusi na nyekundu ni rangi pendwa za Lucifer au Shetani [kwa lugha nyepesi]…
Kuna watu wanapenda sana kuvaa nguo za ndani zenye rangi nyekundu ama nyeusi kwa lengo kuu maalum na kwa faida wanazozijua wao. Hawavai bure bure. Nimejaribu kukuletea sababu kuu chache za wavaaji wa nguo hizo:
1. Mganga au mshirikina
2. Mfanyabiashara anayetumia 'ndumba' katika kufanikisha biadhara yake
3. Mfanyakazi mpenda majungu na aliyejipatia nafasi kwa njia za kishirikina
4. Mtu mwenye mapepo a majini
5. Anayeabudu ushirikina kuliko kumtehemea Mungu
6. Aliyeoa au kuolewa kwa njia za kishirikina
7. Aliyefanikiwa baada ya kutoa kafara mtoto au mzazi wake
Ni hayo tu!
Kuna watu wanapenda sana kuvaa nguo za ndani zenye rangi nyekundu ama nyeusi kwa lengo kuu maalum na kwa faida wanazozijua wao. Hawavai bure bure. Nimejaribu kukuletea sababu kuu chache za wavaaji wa nguo hizo:
1. Mganga au mshirikina
2. Mfanyabiashara anayetumia 'ndumba' katika kufanikisha biadhara yake
3. Mfanyakazi mpenda majungu na aliyejipatia nafasi kwa njia za kishirikina
4. Mtu mwenye mapepo a majini
5. Anayeabudu ushirikina kuliko kumtehemea Mungu
6. Aliyeoa au kuolewa kwa njia za kishirikina
7. Aliyefanikiwa baada ya kutoa kafara mtoto au mzazi wake
Ni hayo tu!