Simu ya mkononi trioni 1.5 humo ndani ina shamba, choo na haitumii vocha au.......!!?????Inaitwa Falcon supernova pink Diamond iphone 6
Bei yake ukiwa na hiyo pesa wewe ni trio nea inauzwa usd 95.5milion (1.58trion tz sh)View attachment 322631View attachment 322632
inachoo humohumo nini hiyo simu ukiwanayo haufi eeeh?Inaitwa Falcon supernova pink Diamond iphone 6
Bei yake ukiwa na hiyo pesa wewe ni bilionea inauzwa USD 95.5milion (Bilioni 200 tz sh)View attachment 322631View attachment 322632
Ndo utajijua na mshipa wako, hii Ni dunia tuIna nn cha zaidi?
Achaga ubishi ww utasutwa simu imetengenezwa kwa madini ww upo kubisha tu.sio kila kitu unachotoa mtandaoni ni kweli....wabongo shida
Wapo raia washamaliza majukumu mkuu hata hivyo products imetengenezwa simu zisizozidi 200 na kampuni.Sasa wateja wake Ni wangapi kwa mwaka?
Nakubaliana na error of calculatingKwanza naomba nikurekebishe dola moja kwa sasa Tanzania maximum ni 2,200 izidishe kwa milioni 95.5 utapata 210,100,000,000 ambayo ni bilioni mia mbili na ushee....hiyo trilioni umetumia calculator gani?! Pili siamini kwasababu hata gari za dhamani duniani aina ya Bugatti, Lamborghini, Rolls Royce hayauzwi bei hiyo
Inaitwa Falcon supernova pink Diamond iphone 6
Bei yake ukiwa na hiyo pesa wewe ni bilionea inauzwa USD 95.5milion (Bilioni 200 tz sh)View attachment 322631View attachment 322632
Ina camera ambayo hata uwe mbali wapi inamuona mkeo au hata mtu yoyote anachokifanya nyumbani kwako....pia ina Goldtooth na sio bluetooth.. ....Ina nn cha zaidi?
Mkuu upo nyuma ya Dunia ndio maana unabisha bila data hii gari si gari yenye thamani kubwa mpaka dakika hii gari yenye thamani kubwa soko ni ni Koenigsegg CCXR Trevista na inauzwa $4.8m na hyo ulioleta ni namba5 duniani kwa bei hii ndio topKwanza naomba nikurekebishe dola moja kwa sasa Tanzania maximum ni 2,200 izidishe kwa milioni 95.5 utapata 210,100,000,000 ambayo ni bilioni mia mbili na ushee....hiyo trilioni umetumia calculator gani?! Pili siamini kwasababu hata gari za dhamani duniani aina ya Bugatti, Lamborghini, Rolls Royce hayauzwi bei hiyo
Hii ni Bugatti mpya iliyovumbuliwa siku za karibuni...bei yake ni dola za marekani milioni 2.5 sawa na bilioni tano na ushee za bongo...kwa mantiki hiyo bei ya simu hiyo ni Bugatti 42 na chenji ya kuzisafirisha...acheni fix za kwenye mitandao aiseee