Na kupata mkuu lakn raia wabishi mpaka kuwatoa roho,diamonds tupu hii.ila mkuu dola milioni 95 ni around bilioni 200 haifiki trilioni.
pia kuhusu hio simu ni iphone na madini tu hayo madini ndio yanayoifanya iwe ghali na hakuna special technology
Mkuu, dola milioni 95 SIO sawa na trilioni!! Ni kama bilioni 200 tu..Bisha kwa ushahidi.