Hii ndio simu ghali zaidi duniani

Hii ndio simu ghali zaidi duniani

Majitu mnabisha wakati mna bando chukua hlo jina google uone kelele huna evidence ni ujinga.
 
ila mkuu dola milioni 95 ni around bilioni 200 haifiki trilioni.

pia kuhusu hio simu ni iphone na madini tu hayo madini ndio yanayoifanya iwe ghali na hakuna special technology
Na kupata mkuu lakn raia wabishi mpaka kuwatoa roho,diamonds tupu hii.
 
Sawa mkuu nimekupa ta lakin bado ndio simu ghali zaidi duniani
 
hiyo cm inakitu gani kipya mpaka iuzwe hiyo bei
Screenshot_2016-02-11-20-21-04.png



swissme
 
Back
Top Bottom