Mkuu hiyo kwa sasa hyo ni namba 5 kwa bei duniani.
Kwa hii simu zimo jet 2 km si zaidi.Nakumbuka Tajiri wa Africa aliwahi kuulizwa hili swali "Ni kitu gani cha thamani kununua binafsi katika. Maisha yako"!? Akasema, kitu cha thamani sana katika Maisha yake alichowahi kununua ni "Private Jet" akataja na Bei aliyonunulia: US$50Ml.
Kwa hiyo Bei ya Simu $95Ml,
kwa nn Mtu usinunue Private Jet nawe ukajidai huko angani mwenyewe Kama ilivyo kuwa kwa "Babu Samboke"!???
Ipo mkuu ingia google utaiona unaambiwa the cheapest version ya hiyo simu inauzwa $48.5 mill..Mbona inafanana na yangu???kadanganye kwingine!
Labda ni min ATM ukibonyezabonyeza inatema umatemate/Ankarahiyo simu kuna wakati itanibeba?
duh haya banaLabda ni min ATM ukibonyezabonyeza inatema umatemate/Ankara
link hyo hapo wajamen, dah, n noumaInaitwa Falcon supernova pink Diamond iphone 6
Bei yake ukiwa na hiyo pesa wewe ni bilionea inauzwa USD 95.5milion (Bilioni 200 tz sh)View attachment 322631View attachment 322632
Bei nadhani si ya simu bali madini yaliyomo kwenye hiyo simu!Nyongeza ni kwamba imetengenezwa kwa madini tupu diamond tu hata ikiharibika unauza kwa kampuni kifupi hakuna screpa