Incoming call
Member
- Jan 5, 2019
- 24
- 7
Wameru ni moja ya makabila ambayo yanaongoza kwa ukarimu na utoaji hasa zawadi wakati mtoto wao anapoowa au anapoolewa
Yani wewe ukiowa mmeru unashauriwa usinunue chochote hata kijiko mana kwa hakika utapata kila furniture na chombo kinachoitajika ndani ya nyumba kuanzia sofa, kabati la nguo, vyombo, meza ya chakula meza ya kawaida, vyombo tv, na kila kitu unachohitaji ndani ya nyumba.
Yaani hili kabila ni shida,
Zawadi pia zinakuwa nyingi hasa wanapoowana wao kwa wao mana upande wa kijana huzawadi na wa msichana hivyo hivyo.
Hebu jionee hii
Je utamaduni huu unafaa kuigwa au umepitwa na wakati!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wewe ukiowa mmeru unashauriwa usinunue chochote hata kijiko mana kwa hakika utapata kila furniture na chombo kinachoitajika ndani ya nyumba kuanzia sofa, kabati la nguo, vyombo, meza ya chakula meza ya kawaida, vyombo tv, na kila kitu unachohitaji ndani ya nyumba.
Yaani hili kabila ni shida,
Zawadi pia zinakuwa nyingi hasa wanapoowana wao kwa wao mana upande wa kijana huzawadi na wa msichana hivyo hivyo.
Hebu jionee hii
Je utamaduni huu unafaa kuigwa au umepitwa na wakati!?
Sent using Jamii Forums mobile app