Hii ndio raha ya kuoa Meru

Hii ndio raha ya kuoa Meru

Kiujumla kwa mtizamo wangu tu huko kanda ya kaskazini si kwa Wachaga, Wapare, Wameru, Wairaki, Wambulu kasoro Wamasai tu, wako kimaslahi zaidi kuliko ubinadamu au hujiita "PESA MBELE UTU BAADAYE".

Na bahati nzuri nimeshakutana nao sana kwa 50% ya mabinti ambao nilishawahi kuwa nao ktk mahusiano.

Wanawake wa kanda hiyo huwezana wao kwa wao lkn si kwamba utokee nyanda za kusini, kanda za ziwa kuu au kanda za pwani ujue imekula kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameru ni moja ya makabila ambayo yanaongoza kwa ukarimu na utoaji hasa zawadi wakati mtoto wao anapoowa au anapoolewa

Yani wewe ukiowa mmeru unashauriwa usinunue chochote hata kijiko mana kwa hakika utapata kila furniture na chombo kinachoitajika ndani ya nyumba kuanzia sofa, kabati la nguo, vyombo, meza ya chakula meza ya kawaida, vyombo tv, na kila kitu unachohitaji ndani ya nyumba.

Yaani hili kabila ni shida,
Zawadi pia zinakuwa nyingi hasa wanapoowana wao kwa wao mana upande wa kijana huzawadi na wa msichana hivyo hivyo.

Hebu jionee hii



Je utamaduni huu unafaa kuigwa au umepitwa na wakati!?

Sent using Jamii Forums mobile app


Aisee

Just look around,these women are so so happy!

Mwanamke mnyime kila kitu mpe harusi tu dunia hii she will go to her grave a winniest human being ever!

I'm happy for the women!
 
But you don't know what's their creation source?

It's so amazing to hear critical thoughts spoken from your own brain ideas, and it reveals as how much you try to act as non recognized fresh mentally somebody by knowing nothing about overall world's presence and it's nature.

Haha hahaaaaaaa, this is how world is capable of any kind of creatures like you my Broo.
Aisee

Just look around,these women are so so happy!

Mwanamke mnyime kila kitu mpe harusi tu dunia hii she will go to her grave a winniest human being ever!

I'm happy for the women!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ufupi ni wababe hawako kisoro . Ila wana upendo wa kweli ukimzingua kukupiga mangumi kawaida.
 
Watu hawaishi au kwa kuoa kwa zawadi tu,kuna maisha baada ya hapo
 
But you don't know what's their creation source?

Which creation force wewe lunatic?

Umesoma Physics,unajua force needed to cause change on anything has to be higher than that of the targeted system and has to have a SOURCE and should be MEASURABLE!

Sasa wewe mpumbavu unaniletea force za kufikirika hapa zisizokua na source wala sio measurable!

Watu wa dini mnajulikana kwa kitu kimoja maarufu kabisa,nacho ni KUOTA!

Nitajie hiyo force,nitajie chanzo chake sio chanzo cha kufikirika,concrete chanzo,na uniambie hiyo force unaipimaje ni real terms sio stori za alinacha!

Use your brain wewe!

It's so amazing to hear critical thoughts spoken from your own brain ideas, and it reveals as how much you try to act as non recognized fresh mentally somebody by knowing nothing about overall world's presence and it's nature.

Blah blah blah.....and whatever the fvck you say doesnt make any sense!

Nipe sensible accounting ya hiyo nature imetoka wapi?

Halafu kumbuka Dunia/World ni mojawapo tu wa mabilioni ya sayari zilizoko kwenye universe.

Na kumbuka kuna bilions number of multiverses na sio universe moja tu hii tuliyomo with multiple realities!

Hii ina cancel upumbavu mzima kabisa unaousemea hapa!

Usiniletee upumbavu wa eti kuna mtu wa kufikirika alikaa mahali kwenye kiti chake akaamua kuunda as if mna ushahidi wowote tangible!

Na upumbavu wa biblia ulioandikwa na mwanadamu mpumbavu kama wewe na mimi bila experiments na results zozote uniletee hapa kama ushahidi itabidi nikushike kwa nguvu nikupeleke Mirembe ukafungiwe kabisa!

Haha hahaaaaaaa, this is how world is capable of any kind of creatures like you my Broo.

I'm a creature,and that makes wewe any better?
 
Povu jingi lkn hakuna hata kinachodhihirisha kuwa unajitambua.

Pa1 na maneno yako mengi yasiyo na mantiki yoyote.

Je ni kweli una akili au hauna akili?

Thibitisha uwepo wa akili zako ktk ikiwa unazo au huna na kwanini hazionekani wala hazishikiki.

Ulishamaliza hapo tutaenda vzr sn maana nina maswali zaidi ya 1000/= kukuuliza unijibu, ukishindwa basi nitajua niko na Mtu wa aina gani.
Which creation force wewe lunatic?

Umesoma Physics,unajua force needed to cause change on anything has to be higher than that of the targeted system and has to have a SOURCE and should be MEASURABLE!

Sasa wewe mpumbavu unaniletea force za kufikirika hapa zisizokua na source wala sio measurable!

Watu wa dini mnajulikana kwa kitu kimoja maarufu kabisa,nacho ni KUOTA!

Nitajie hiyo force,nitajie chanzo chake sio chanzo cha kufikirika,concrete chanzo,na uniambie hiyo force unaipimaje ni real terms sio stori za alinacha!

Use your brain wewe!



Blah blah blah.....and whatever the fvck you say doesnt make any sense!

Nipe sensible accounting ya hiyo nature imetoka wapi?

Halafu kumbuka Dunia/World ni mojawapo tu wa mabilioni ya sayari zilizoko kwenye universe.

Na kumbuka kuna bilions number of multiverses na sio universe moja tu hii tuliyomo with multiple realities!

Hii ina cancel upumbavu mzima kabisa unaousemea hapa!

Usiniletee upumbavu wa eti kuna mtu wa kufikirika alikaa mahali kwenye kiti chake akaamua kuunda as if mna ushahidi wowote tangible!

Na upumbavu wa biblia ulioandikwa na mwanadamu mpumbavu kama wewe na mimi bila experiments na results zozote uniletee hapa kama ushahidi itabidi nikushike kwa nguvu nikupeleke Mirembe ukafungiwe kabisa!



I'm a creature,and that makes wewe any better?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Povu jingi lkn hakuna hata kinachodhihirisha kuwa unajitambua.

Pa1 na maneno yako mengi yasiyo na mantiki yoyote.

Je ni kweli una akili au hauna akili?

Thibitisha uwepo wa akili zako ikiwa unazo au huna na kwanini hazionekani wala hazishikiki.

Ukishamaliza hapo tutaenda vzr sn maana nina maswali zaidi ya 1000/= kukuuliza unijibu, ukishindwa basi nitajua niko na Mtu wa aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiujumla kwa mtizamo wangu tu huko kanda ya kaskazini si kwa Wachaga, Wapare, Wameru, Wairaki, Wambulu kasoro Wamasai tu, wako kimaslahi zaidi kuliko ubinadamu au hujiita "PESA MBELE UTU BAADAYE".

Na bahati nzuri nimeshakutana nao sana kwa 50% ya mabinti ambao nilishawahi kuwa nao ktk mahusiano.

Wanawake wa kanda hiyo huwezana wao kwa wao lkn si kwamba utokee nyanda za kusini, kanda za ziwa kuu au kanda za pwani ujue imekula kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena mkuu waaminifu hapo ni wamasai peke yake kwa kaskazini nzima ila kuwapata ni kazi ngumu kweli kweli lkn kiukweli ukimpata hana tamaa niwavumilivu sana na niwagumu sana na mtu aliyemuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Povu jingi lkn hakuna hata kinachodhihirisha kuwa unajitambua.

Pa1 na maneno yako mengi yasiyo na mantiki yoyote.

Je ni kweli una akili au hauna akili?

Thibitisha uwepo wa akili zako ktk ikiwa unazo au huna na kwanini hazionekani wala hazishikiki.

Ulishamaliza hapo tutaenda vzr sn maana nina maswali zaidi ya 1000/= kukuuliza unijibu, ukishindwa basi nitajua niko na Mtu wa aina gani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ulishamaliza=Ukishamaliza
1000/= = 1000
vzr=vizuri
sn=sana
ktk=katika
Pa1=Pamoja

Kwanza naomba urudi shule usome Kiswahili sawa sawa...

Naona wazazi wako walipoteza ada yao kusomesha pumbavu kama wewe halafu pamoja na kwenda shule umemaliza ukiwa mjinga hivyo hivyo!

Turudi kwenye swali lako la kijinga kabisa:

Kuna complete discipline nzima kabisa inaitwa Neuroscience ambayo ni scientific study ya brains and whole nervous system.

Kwenda more specific kwenye ujinga unaousemea kuna proper experiments zinaitwa brain scans

Inayofanya kitu kinaitwa neuroimaging kupata Event Related Optical Signals (EROS) kupata picha kamili ya ubongo unavyo react kutoka na matukio mbalimbali ya kibinadamu ya kufikiri na kadhalika!

Brain scanning ni process ya kutumia techniques mbalimbali either directly au indirectly to make real-time images of the brain structure,brain functions au pharmacology of the nervous system.

Unaona kila kitu kwenye computer

Nadhani wewe unataka hasa Neurological and Human Cognitive Psychology (kufikiri,maamuzi,etc) unaona the whole thinking process in a graphical interface!

Sasa sijui wewe unataka kusema nini hasa?
 
Ulishamaliza=Ukishamaliza
1000/= = 1000
vzr=vizuri
sn=sana
ktk=katika
Pa1=Pamoja

Kwanza naomba urudi shule usome Kiswahili sawa sawa...

Naona wazazi wako walipoteza ada yao kusomesha pumbavu kama wewe halafu pamoja na kwenda shule umemaliza ukiwa mjinga hivyo hivyo!

Turudi kwenye swali lako la kijinga kabisa:

Kuna complete discipline nzima kabisa inaitwa Neuroscience ambayo ni scientific study ya brains and whole nervous system.

Kwenda more specific kwenye ujinga unaousemea kuna proper experiments zinaitwa brain scans

Inayofanya kitu kinaitwa neuroimaging kupata Event Related Optical Signals (EROS) kupata picha kamili ya ubongo unavyo react kutoka na matukio mbalimbali ya kibinadamu ya kufikiri na kadhalika!

Brain scanning ni process ya kutumia techniques mbalimbali either directly au indirectly to make real-time images of the brain structure,brain functions au pharmacology of the nervous system.

Unaona kila kitu kwenye computer

Nadhani wewe unataka hasa Neurological and Human Cognitive Psychology (kufikiri,maamuzi,etc) unaona the whole thinking process in a graphical interface!

Sasa sijui wewe unataka kusema nini hasa?
Aisee sijawahi kuona kilaza na sitakuja kuona kilaza kuu la kimataifa km ww.

Kwanini unakaririshwa vitu na mtu asiyeweza kuumba hata sisimizi tu?

Pole sana kijana, endelea kukariri lkn utake usitake bado ww ni pumba kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itabidi nirudi nyumbani haraka nikachukue jiko.
 
Nna hakika nani asowajua nyie bana. Nimezaliwa Meru nimekulia Meru hakuna nisolijua kuhusu mila na tamaduni zenu. Danganya wa kuja na zawadi za harusi. Kwanamke wa kimeru aolewe na mmeru ndo wataelewana. Otherwise hamna kitu! Mwanaume jiandae kuishi kwa uvumilivu tu na si upendo. Hutaki kufwaz!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hili kabila wanawezana wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee sijawahi kuona kilaza na sitakuja kuona kilaza kuu la kimataifa km ww.

Kwanini unakaririshwa vitu na mtu asiyeweza kuumba hata sisimizi tu?

Pole sana kijana, endelea kukariri lkn utake usitake bado ww ni pumba kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app


Anaekariri ni wewe unae amini maneno ya mpumbavu mmoja alieishi miaka 2,000 iliyopita ambae hakufanya experiment yoyote ya kisayansi ku prove anything!

Ni mzee aliejiamkia asubuhi na kuanza kusema mungu kamuotesha maneno with no any proof kama kweli,akayaandika na nyie mkayakariri kama yalivyo!

Mwanadamu huyu huyu muongo,mnafiki,mwenye hila,mwenye kila aina ya udhaifu kama mimi na wewe kakuandikia kitabu kutoka ubongoni mwake na kukudanganya mungu kamtuma!

Mpumbavu zaidi ni wewe unaekubali kuelekezwa jinsi ya kufikiri na kuishi badala ya ku-think for yourselves!

Na nikiangalia wewe unaejiita mtu wa Mungu huna tofauti na mimi unaniona nimepotea maana unatukana kama mimi,una maneno ya chuki na laana kama yangu,huna chochote cha kuonesha wewe ni tofauti na mimi!

Nilitegemea uoneshe moral superiority yako kama mtu wa mungu unavyo claim ila umefeli.

Umekua even worse than myself!

Therefore,who the fvck are you?

A morally stupidier person than me!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom