GE2025 Hii Ndio Maana Halisi ya Usishindane na aliyebarikiwa na kupewa Kibali na Mungu

GE2025 Hii Ndio Maana Halisi ya Usishindane na aliyebarikiwa na kupewa Kibali na Mungu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,354
Reaction score
23,759
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukashindana na yeyote yule hapa Duniani katika jambo lolote lile. lakini kamwe huwezi kushindana na kumshinda Mtu aliyepewa kibali na Mungu katika Jambo fulani. Huwezi kushindana na Mbarikiwa wa Mungu.Huwezi kushindana na kusudi la Mungu. Huwezi kuuzuia wakati wa Mungu kwa mtu. Huwezi kupingana na Mipango ya Mungu.

Huwezi kumshinda au kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu. Huwezi kumzuia aliyeruhusiwa na Mungu na kupewa kibali cha kusonga mbele.

Mungu ndiye humsahilisha mtu na hata kumheshimisha. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Daudi kutoka porini alikokuwa akichunga kondoo. Ni Mungu ndiye aliyembariki Ibrahimu. Ni Mungu ndiye aliyempatia Yusuphu kibali mbele ya mfalme na ugeni. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Samweli . Ni Mungu ndiye aliyetengeneza njia katikati ya Bahari na hatimaye wana wa Israeli kupita.

Ukiangalia na kufuatilia kinachoendelea katika mikutano ya kampeni ya Rais Samia na namna mafuriko ya watu wanavyomiminika . Unagundua kabisa kwa jicho la rohoni ya kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Ni chaguo la Mungu, kainuliwa na Mungu,kapewa kibali na Mungu,kabarikiwa na Mungu na kuongozwa na Mungu Mwenyewe.

Kinachoonekana kwa uwazi kabisa ni kuwa Ni Kusudi au Mungu Mwenyewe alikusudia Rais Wetu Mpendwa Mama Samia kuongoza Taifa letu kama Mkuu wa Nchi, kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

Rais Samia alishaandaliwa na Mungu Mwenyewe kuliongoza Taifa letu. Kumpinga Rais Samia au kumshambulia kwa maneno ya uongo ,uzushi na uchonganishi ni kumkosea Mungu Mwenyewe n kujitafutia laana tu. Ni sawa na kupingana na Mungu Mwenyewe jambo ambalo hakuna mwanadamu awezaye kushinda au kushindana na kusudi la Mungu au mipango ya Mungu ya kumfanya Rais Samia kuongoza Taifa letu.

Rais Samia Hazuiliki na wala hakuna awezaye kumzuia Mama yetu. Ndio Sababu ya kuona namna Anapendwa ,kukubalika na kuungwa mkono. Kwa kuwa anafanya kile ambacho Mungu amepanga kifanyike katika Taifa letu. Anafanya kile Watanzania walikuwa wakimuomba Mungu na kutaka kifanyike hapa Nchini.

Ndio maana ya kuona habari za falsafa za 4R Ambazo zimelileta pamoja Taifa letu. Mnaona namna alivyogusa Maisha ya watanzania na kumfikia kila mmoja wetu pasipo kumuacha yeyote yule nyuma.

Kwa hakika Rais Samia Ni Zawadi kwa Taifa letu tunayopaswa kuitunza, kujivunia na kuilinda kwa wivu mkubwa sana na kwa gharama yoyote ile iwayo.
Screenshot_20250828-203029_1.jpg
Screenshot_20250831-205923_1.jpg
Screenshot_20250831-210020_1.jpg
Screenshot_20250828-175337_1.jpg
Screenshot_20250828-175337_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukashindana na yeyote yule hapa Duniani katika jambo lolote lile. lakini kamwe huwezi kushindana na kumshinda Mtu aliyepewa kibali na Mungu katika Jambo fulani. Huwezi kushindana na Mbarikiwa wa Mungu.Huwezi kushindana na kusudi la Mungu. Huwezi kuuzuia wakati wa Mungu kwa mtu. Huwezi kupingana na Mipango ya Mungu.

Huwezi kumshinda au kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu. Huwezi kumzuia aliyeruhusiwa na Mungu na kupewa kibali cha
FB_IMG_1756663995199.jpg
kusonga mbele.

Mungu ndiye humsahilisha mtu na hata kumheshimisha. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Daudi kutoka porini alikokuwa akichunga kondoo. Ni Mungu ndiye aliyembariki Ibrahimu. Ni Mungu ndiye aliyempatia Yusuphu kibali mbele ya mfalme na ugeni. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Samweli . Ni Mungu ndiye aliyetengeneza njia katikati ya Bahari na hatimaye wana wa Israeli kupita.

Ukiangalia na kufuatilia kinachoendelea katika mikutano ya kampeni ya Rais Samia na namna mafuriko ya watu wanavyomiminika . Unagundua kabisa kwa jicho la rohoni ya kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Ni chaguo la Mungu, kainuliwa na Mungu,kapewa kibali na Mungu,kabarikiwa na Mungu na kuongozwa na Mungu Mwenyewe.

Kinachoonekana kwa uwazi kabisa ni kuwa Ni Kusudi au Mungu Mwenyewe alikusudia Rais Wetu Mpendwa Mama Samia kuongoza Taifa letu kama Mkuu wa Nchi, kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

Rais Samia alishaandaliwa na Mungu Mwenyewe kuliongoza Taifa letu. Kumpinga Rais Samia au kumshambulia kwa maneno ya uongo ,uzushi na uchonganishi ni kumkosea Mungu Mwenyewe n kujitafutia laana tu. Ni sawa na kupingana na Mungu Mwenyewe jambo ambalo hakuna mwanadamu awezaye kushinda au kushindana na kusudi la Mungu au mipango ya Mungu ya kumfanya Rais Samia kuongoza Taifa letu.

Rais Samia Hazuiliki na wala hakuna awezaye kumzuia Mama yetu. Ndio Sababu ya kuona namna Anapendwa ,kukubalika na kuungwa mkono. Kwa kuwa anafanya kile ambacho Mungu amepanga kifanyike katika Taifa letu. Anafanya kile Watanzania walikuwa wakimuomba Mungu na kutaka kifanyike hapa Nchini.

Ndio maana ya kuona habari za falsafa za 4R Ambazo zimelileta pamoja Taifa letu. Mnaona namna alivyogusa Maisha ya watanzania na kumfikia kila mmoja wetu pasipo kumuacha yeyote yule nyuma.

Kwa hakika Rais Samia Ni Zawadi kwa Taifa letu tunayopaswa kuitunza, kujivunia na kuilinda kwa wivu mkubwa sana na kwa gharama yoyote ile iwayo.View attachment 3460553View attachment 3460554View attachment 3460555View attachment 3460556View attachment 3460557

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukashindana na yeyote yule hapa Duniani katika jambo lolote lile. lakini kamwe huwezi kushindana na kumshinda Mtu aliyepewa kibali na Mungu katika Jambo fulani. Huwezi kushindana na Mbarikiwa wa Mungu.Huwezi kushindana na kusudi la Mungu. Huwezi kuuzuia wakati wa Mungu kwa mtu. Huwezi kupingana na Mipango ya Mungu.

Huwezi kumshinda au kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu. Huwezi kumzuia aliyeruhusiwa na Mungu na kupewa kibali cha kusonga mbele.

Mungu ndiye humsahilisha mtu na hata kumheshimisha. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Daudi kutoka porini alikokuwa akichunga kondoo. Ni Mungu ndiye aliyembariki Ibrahimu. Ni Mungu ndiye aliyempatia Yusuphu kibali mbele ya mfalme na ugeni. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Samweli . Ni Mungu ndiye aliyetengeneza njia katikati ya Bahari na hatimaye wana wa Israeli kupita.

Ukiangalia na kufuatilia kinachoendelea katika mikutano ya kampeni ya Rais Samia na namna mafuriko ya watu wanavyomiminika . Unagundua kabisa kwa jicho la rohoni ya kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Ni chaguo la Mungu, kainuliwa na Mungu,kapewa kibali na Mungu,kabarikiwa na Mungu na kuongozwa na Mungu Mwenyewe.

Kinachoonekana kwa uwazi kabisa ni kuwa Ni Kusudi au Mungu Mwenyewe alikusudia Rais Wetu Mpendwa Mama Samia kuongoza Taifa letu kama Mkuu wa Nchi, kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

Rais Samia alishaandaliwa na Mungu Mwenyewe kuliongoza Taifa letu. Kumpinga Rais Samia au kumshambulia kwa maneno ya uongo ,uzushi na uchonganishi ni kumkosea Mungu Mwenyewe n kujitafutia laana tu. Ni sawa na kupingana na Mungu Mwenyewe jambo ambalo hakuna mwanadamu awezaye kushinda au kushindana na kusudi la Mungu au mipango ya Mungu ya kumfanya Rais Samia kuongoza Taifa letu.

Rais Samia Hazuiliki na wala hakuna awezaye kumzuia Mama yetu. Ndio Sababu ya kuona namna Anapendwa ,kukubalika na kuungwa mkono. Kwa kuwa anafanya kile ambacho Mungu amepanga kifanyike katika Taifa letu. Anafanya kile Watanzania walikuwa wakimuomba Mungu na kutaka kifanyike hapa Nchini.

Ndio maana ya kuona habari za falsafa za 4R Ambazo zimelileta pamoja Taifa letu. Mnaona namna alivyogusa Maisha ya watanzania na kumfikia kila mmoja wetu pasipo kumuacha yeyote yule nyuma.

Kwa hakika Rais Samia Ni Zawadi kwa Taifa letu tunayopaswa kuitunza, kujivunia na kuilinda kwa wivu mkubwa sana na kwa gharama yoyote ile iwayo.View attachment 3460553View attachment 3460554View attachment 3460555View attachment 3460556View attachment 3460557

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Vibali vya kuteka, kutesa na kuua wakosoaji hutoka kwa Ibilisi (sio Mungu). Usitake kumkosea Mungu kwa kumhusisha na udhalimu wa wafuasi wa Ibilisi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukashindana na yeyote yule hapa Duniani katika jambo lolote lile. lakini kamwe huwezi kushindana na kumshinda Mtu aliyepewa kibali na Mungu katika Jambo fulani. Huwezi kushindana na Mbarikiwa wa Mungu.Huwezi kushindana na kusudi la Mungu. Huwezi kuuzuia wakati wa Mungu kwa mtu. Huwezi kupingana na Mipango ya Mungu.

Huwezi kumshinda au kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu. Huwezi kumzuia aliyeruhusiwa na Mungu na kupewa kibali cha kusonga mbele.

Mungu ndiye humsahilisha mtu na hata kumheshimisha. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Daudi kutoka porini alikokuwa akichunga kondoo. Ni Mungu ndiye aliyembariki Ibrahimu. Ni Mungu ndiye aliyempatia Yusuphu kibali mbele ya mfalme na ugeni. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Samweli . Ni Mungu ndiye aliyetengeneza njia katikati ya Bahari na hatimaye wana wa Israeli kupita.

Ukiangalia na kufuatilia kinachoendelea katika mikutano ya kampeni ya Rais Samia na namna mafuriko ya watu wanavyomiminika . Unagundua kabisa kwa jicho la rohoni ya kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Ni chaguo la Mungu, kainuliwa na Mungu,kapewa kibali na Mungu,kabarikiwa na Mungu na kuongozwa na Mungu Mwenyewe.

Kinachoonekana kwa uwazi kabisa ni kuwa Ni Kusudi au Mungu Mwenyewe alikusudia Rais Wetu Mpendwa Mama Samia kuongoza Taifa letu kama Mkuu wa Nchi, kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

Rais Samia alishaandaliwa na Mungu Mwenyewe kuliongoza Taifa letu. Kumpinga Rais Samia au kumshambulia kwa maneno ya uongo ,uzushi na uchonganishi ni kumkosea Mungu Mwenyewe n kujitafutia laana tu. Ni sawa na kupingana na Mungu Mwenyewe jambo ambalo hakuna mwanadamu awezaye kushinda au kushindana na kusudi la Mungu au mipango ya Mungu ya kumfanya Rais Samia kuongoza Taifa letu.

Rais Samia Hazuiliki na wala hakuna awezaye kumzuia Mama yetu. Ndio Sababu ya kuona namna Anapendwa ,kukubalika na kuungwa mkono. Kwa kuwa anafanya kile ambacho Mungu amepanga kifanyike katika Taifa letu. Anafanya kile Watanzania walikuwa wakimuomba Mungu na kutaka kifanyike hapa Nchini.

Ndio maana ya kuona habari za falsafa za 4R Ambazo zimelileta pamoja Taifa letu. Mnaona namna alivyogusa Maisha ya watanzania na kumfikia kila mmoja wetu pasipo kumuacha yeyote yule nyuma.

Kwa hakika Rais Samia Ni Zawadi kwa Taifa letu tunayopaswa kuitunza, kujivunia na kuilinda kwa wivu mkubwa sana na kwa gharama yoyote ile iwayo.View attachment 3460553View attachment 3460554View attachment 3460555View attachment 3460556View attachment 3460557

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🚮
 
Ndugu zangu Watanzania,

Unaweza ukashindana na yeyote yule hapa Duniani katika jambo lolote lile. lakini kamwe huwezi kushindana na kumshinda Mtu aliyepewa kibali na Mungu katika Jambo fulani. Huwezi kushindana na Mbarikiwa wa Mungu.Huwezi kushindana na kusudi la Mungu. Huwezi kuuzuia wakati wa Mungu kwa mtu. Huwezi kupingana na Mipango ya Mungu.

Huwezi kumshinda au kumshusha aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu. Huwezi kumzuia aliyeruhusiwa na Mungu na kupewa kibali cha kusonga mbele.

Mungu ndiye humsahilisha mtu na hata kumheshimisha. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Daudi kutoka porini alikokuwa akichunga kondoo. Ni Mungu ndiye aliyembariki Ibrahimu. Ni Mungu ndiye aliyempatia Yusuphu kibali mbele ya mfalme na ugeni. Ni Mungu ndiye aliyemuinua Samweli . Ni Mungu ndiye aliyetengeneza njia katikati ya Bahari na hatimaye wana wa Israeli kupita.

Ukiangalia na kufuatilia kinachoendelea katika mikutano ya kampeni ya Rais Samia na namna mafuriko ya watu wanavyomiminika . Unagundua kabisa kwa jicho la rohoni ya kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Ni chaguo la Mungu, kainuliwa na Mungu,kapewa kibali na Mungu,kabarikiwa na Mungu na kuongozwa na Mungu Mwenyewe.

Kinachoonekana kwa uwazi kabisa ni kuwa Ni Kusudi au Mungu Mwenyewe alikusudia Rais Wetu Mpendwa Mama Samia kuongoza Taifa letu kama Mkuu wa Nchi, kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.

Rais Samia alishaandaliwa na Mungu Mwenyewe kuliongoza Taifa letu. Kumpinga Rais Samia au kumshambulia kwa maneno ya uongo ,uzushi na uchonganishi ni kumkosea Mungu Mwenyewe n kujitafutia laana tu. Ni sawa na kupingana na Mungu Mwenyewe jambo ambalo hakuna mwanadamu awezaye kushinda au kushindana na kusudi la Mungu au mipango ya Mungu ya kumfanya Rais Samia kuongoza Taifa letu.

Rais Samia Hazuiliki na wala hakuna awezaye kumzuia Mama yetu. Ndio Sababu ya kuona namna Anapendwa ,kukubalika na kuungwa mkono. Kwa kuwa anafanya kile ambacho Mungu amepanga kifanyike katika Taifa letu. Anafanya kile Watanzania walikuwa wakimuomba Mungu na kutaka kifanyike hapa Nchini.

Ndio maana ya kuona habari za falsafa za 4R Ambazo zimelileta pamoja Taifa letu. Mnaona namna alivyogusa Maisha ya watanzania na kumfikia kila mmoja wetu pasipo kumuacha yeyote yule nyuma.

Kwa hakika Rais Samia Ni Zawadi kwa Taifa letu tunayopaswa kuitunza, kujivunia na kuilinda kwa wivu mkubwa sana na kwa gharama yoyote ile iwayo.View attachment 3460553View attachment 3460554View attachment 3460555View attachment 3460556View attachment 3460557

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anaepewa na Mungu hatumii nguvu za ziada ili akubalike. Bila ya zoazoa hamna watu wanaenda. Unajua kuna ajali huko imeuwa watu na wengine majeruhi wako hospital?
 
Back
Top Bottom