Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Mbeya vumbi sana mpaka kuna kera. Mbeya imejengwa vibaya sana hakuna mpangilio wa mji.
Mkuu ulienda kutembea wapi!? Mbeya kubwa.

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Kile (PHCI)chuo watu wamepiga helaa kumaliziwa hakimaliziwi,,watz sisi acha tu

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli iringa sitapasahau. My favourite town.mara ya kwanza ilikua 79 nilipita na mdingi pale ni kakatwa kuingia kwenye bus la railway.sijui dingi hakulipa tkt sielewi. Nikapitishwa dirishani,82 nilifika kwa mjomba pale mkwawa chuoni nikiwa mdogo kabisa.then nikapita tena 88 nikielekea Singida,92 nikapita tena nikienda Mbeya. Hapo bado mdogo ndo teenager age. nikapita ya mwisho 93-94.halafu basi king kross la Boda mtera halikutokea , sijui lilikwama wapi.tumekaa siku 2 pale stand.ndio shala wambe akatukodisha bus tufike mtera. Siku 2 hizo ilikua ni kubwia ulanzi kwa kwenda mberee.nilikua na 1700 enzi hizo iliisha.hadi nauli nililipa ya kuunga unga.
Wewe utakuwa muhenga

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Umesahau sifa nyingine kwenye majina, Iringa ndio mkoa au mji ambao majina ya kigeni kwenye mitaa ni karibu hakuna, ukiondoa Frelimo na Donbosco. Jina lingine geni ni Pomern, kwingine kote ni I kwa kwenda mbele, igeleke, ilambilole, ikingilanyi,ipalamwa,ifupira,irambo,itimbo, ihimbo, nk

Sifa nyingine ni ukarimu kwa wageni, kama wewe unataka kuwekeza Iringa, basi wewe tafuta mtaji wako njoo. Kitu kingine kizuri kwa Iringa ni usalama nyakati za usiku, hata kama utatoka Miami Club usiku sana, mambo ya nondo hakuna. Halafu wana Mgahawa wao wa 24/7 pale kati unaitwa Baba Nusa, hata saa tisa usiku, msosi upo.

Iringa, hadi raha. Wale waleta raha mjini toka Ipogolo wamejengewa fly over safi kabisa.
Hapo kwa Baba nusa hatariiiii
Niliwah piga wali maini.

Miez 8 sasa imepita tangu niondoke iringa.

Iringa ni sehemu nzuriiii ambayo huwa naikumbuka mpaka Leo.

Nitarudi tena Iringa Panapo majaaliwa ya mwenyezi.

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
57640fd0a2b1b40a0fde1a2fec3947f5.jpg


Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app
 
Yan nataka soon niingie iringa town.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom