Nangose 1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,207
- 6,786
Hivi mkuu, kwann Iringa wameweka mnara kama huu, sijui kanisa sijui nn... wanamaanisha nn hasa..Mjini Iringa
View attachment 538682
Majibu tafadhari
Hivi mkuu, kwann Iringa wameweka mnara kama huu, sijui kanisa sijui nn... wanamaanisha nn hasa..Mjini Iringa
View attachment 538682
sio mnara huo tuu tuna minara mingi aina ainaHivi mkuu, kwann Iringa wameweka mnara kama huu, sijui kanisa sijui nn... wanamaanisha nn hasa..
Majibu tafadhari
ok.. but naomba utupie picha za Ipogolo stand ndogo, picha ya kaburi la chief Mkwawa na Pale round about (Samora)sio mnara huo tuu tuna minara mingi aina aina![]()
Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app
haya majengo ya dizaini hii nadhani yapo tz nzima maana nimeyaona tabora,arusha na mwanza nadhani yalijengwa na wahindi kipindi cha ukoloni
Kuna juice nzuri sana hapa
Ipogolo![]()
Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app
Niliwahi soma Madresa hapo 1999Ipogoro
Chai na sambusaMkuu huyu TAKO si alikua muhindi au?? Kma namkumbuka hv Maana at that time naenda hapo nilikua na miaka kma mitano hv
Kama unaenda kihesamsikiti huu upo maeneo gani?
Siku moja tembelea pande hizo.Mh..IRINGA kuzuri aisee...ila naski baridi ndo KIBOKO yao
Hizo ni baadhi ya nyumba za Ibada (temple) za kihindu nadhani..haya majengo ya dizaini hii nadhani yapo tz nzima maana nimeyaona tabora,arusha na mwanza nadhani yalijengwa na wahindi kipindi cha ukoloni
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Chuo cha Ruco kipo wapi Mkuu je katika wilaya ya kilolo kuna chuo gani au taasisu gani ya ElimuTemeke ni Manispaa kubwa mkuu, huwezi fananisha na Manispaa ya Iringa.
Compare the likes,
Ruaha Catholic University Kipo Iringa mjini mkuuChuo cha Ruco kipo wapi Mkuu je katika wilaya ya kilolo kuna chuo gani au taasisu gani ya Elimu
Mpaka uzeeke ndio urudi? Una mipango na Mungu wewe? MhhhhNashukuru mkuu barbosa, yapo mengi ya kujivunia kuhusu iringa, binafsi nikizeeka nitarudi iringa,
To me This is the best town in Tz.
Picha zangu haziko vizuri ila kama unazo tuletee, ni faraja sana kuona picha za mji wa iringa.