Hii ni moja ya sehemu inayofanya mji wa iringa kuwa wa kipekee sana.ukiwa ipogolo chini kabisa kwa juu unaona gari zikipanda mlima kwa hiyo barabara.Iringaaaa! dah umenikumbusha mbali kidogo
Nilisoma Shule flan Iringa miaka michache iliyopita kiukweli nilipapenda, Nikiona hiyo barabara yenye mwinuko ya kuingia stand ukitokea Ipogoro inanifanya nitamani nyakati zijirudie, One of the best regionsView attachment 539292
Hujakosea mkuu.. Unapita Mahakama, Boma halafu kulia kwako ni Hospitali ya Rufaa Iringa
Iringaaaa! dah umenikumbusha mbali kidogo
Nilisoma Shule flan Iringa miaka michache iliyopita kiukweli nilipapenda, Nikiona hiyo barabara yenye mwinuko ya kuingia stand ukitokea Ipogoro inanifanya nitamani nyakati zijirudie, One of the best regionsView attachment 539292
Dah.... Hivi Iringa mbwa huwa hawagongwi na magari kama miji mingine? Maana mizoga hatuioni barabarani![]()
![]()
Sent from my Osborne II using JamiiForums mobile app
..wudesi!Ruaha Catholic University 2017 ( HD Video)
Hii ni Video inayokuonesha baadhi ya kazi na shughuri, zinazofanywa na Chuo cha Kikatoliki Ruaha(RUCU), Hiki ni moja ya Vyuo Bora Tanzania
Source: Tanganyikaproduction
Acha kunkufuru muumbaIRINGA IS THE BEST CITY THAN MOSHI
Dah.... Wewe kuna kitu unakitafutaIRINGA IS THE BEST CITY THAN MOSHI
Dah.... Kiki?![]()
![]()
..wudesi!
Wanyakyusa ndio wanapenda kutupa maganda ya ndizi wakitoka nayo mbeyawengi wakipita Ipogolo hudhani ndio IRINGA MJINI hahaaa TOWN IPO JUU KULE...usafi ni desturi yetu mpitapo msitupe maganda ya ndizi hovyo
Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app

ulikuwa unatumia simu iliyokwisha charge yaani ulii overwork 4% !Nashukuru mkuu barbosa, yapo mengi ya kujivunia kuhusu iringa, binafsi nikizeeka nitarudi iringa,
To me This is the best town in Tz.
Picha zangu haziko vizuri ila kama unazo tuletee, ni faraja sana kuona picha za mji wa iringa.