Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Iringa poa sana kwa wale..... akina niangusage sijui bado wapo? Halafu picha zote ni vipi hata ka mbwa barabarani hamna?
 
Nimeupenda mkoa na mji wa Iringa kwa kudumisha usafi. Inapendeza sana.
 
Kwa kweli iringa sitapasahau. My favourite town.mara ya kwanza ilikua 79 nilipita na mdingi pale ni kakatwa kuingia kwenye bus la railway.sijui dingi hakulipa tkt sielewi. Nikapitishwa dirishani,82 nilifika kwa mjomba pale mkwawa chuoni nikiwa mdogo kabisa.then nikapita tena 88 nikielekea Singida,92 nikapita tena nikienda Mbeya. Hapo bado mdogo ndo teenager age. nikapita ya mwisho 93-94.halafu basi king kross la Boda mtera halikutokea , sijui lilikwama wapi.tumekaa siku 2 pale stand.ndio shala wambe akatukodisha bus tufike mtera. Siku 2 hizo ilikua ni kubwia ulanzi kwa kwenda mberee.nilikua na 1700 enzi hizo iliisha.hadi nauli nililipa ya kuunga unga.
Duh
Sshivi utapotea ,mji umebadirika,umekua ,umetanuka sn
 
Ile njia ya mtera karibu inakamilika yote halafu hivi punde ile Dodoma- Arusha kupitia Kondoa itakuwa tayari.
Utaweza kupiga safari ya Iringa Arusha kwa gari private ndani ya masaa 8 au 9 tu.
mkuu Iringa hadi Arusha tumeanza kuitumia kitambo sana tangu lami ya Iringa-Dodoma ilivyokamilika,unapita Singida unatokea Hanang,Babati to Arusha,masaa 11 tu mkuu!
 
mkuu Iringa hadi Arusha tumeanza kuitumia kitambo sana tangu lami ya Iringa-Dodoma ilivyokamilika,unapita Singida unatokea Hanang,Babati to Arusha,masaa 11 tu mkuu!
Safi sana.
Na hicho kipande cha Kondoa kikikamilika itakuwa bomba sana.
 
Kwa kweli iringa sitapasahau. My favourite town.mara ya kwanza ilikua 79 nilipita na mdingi pale ni kakatwa kuingia kwenye bus la railway.sijui dingi hakulipa tkt sielewi. Nikapitishwa dirishani,82 nilifika kwa mjomba pale mkwawa chuoni nikiwa mdogo kabisa.then nikapita tena 88 nikielekea Singida,92 nikapita tena nikienda Mbeya. Hapo bado mdogo ndo teenager age. nikapita ya mwisho 93-94.halafu basi king kross la Boda mtera halikutokea , sijui lilikwama wapi.tumekaa siku 2 pale stand.ndio shala wambe akatukodisha bus tufike mtera. Siku 2 hizo ilikua ni kubwia ulanzi kwa kwenda mberee.nilikua na 1700 enzi hizo iliisha.hadi nauli nililipa ya kuunga unga.
,daaa historia nzuri hii.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom