Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Tunakushukuru sana kwa kuutangaza mkoa na kuainisha fursa zilizopo lkn pamoja na fursa hizo kuna changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara haswa ktk Wilaya ya kilolo pamoja na Wilaya hiyo kuwa na fursa lukuki lkn bado hakuna barabara ya lami inayo iunganisha na mkoa.
Ili kuzifikia fursa hizo kiurahisi serikali haina budi kuimarisha miundombinu
 
Wenyeji wa Iringa mtuambie,kwanini majina ya maeneo mengi huko yanaanza na herufi 'i' kama ilivyo Iringa yenyewe.Baadhi ya maeneo ni haya:
Ismani,Ifunda,Ihemi,Itengulinyi,Idodi,Isupilo,Ilula,Isere,Ibumila,Izazi,Ipogolo,Ilembula n.k.
Duu yaani ni mengi balaa.Kama unayajua mengine,ongeza.
ni majina ya asili hata mwanza sehem nyingi zinaanza na nya.mfn nyamagana,nyegezi,nyamanoro,nyamarango nk
 
No story tu kwa Muda wotenilioishi Iringa sikuwahi kusikia kifo cha kujinyonga.
hujamaliza kuipamba vizuri vipi watu wake hehe pipo kwa ujumla,naomba kuuliza hivi ni kweli rate ya kujinyonga huko ni kubwa au ni story
 
Very nice comment , and I wonder the government never mentioned Iringa in its priorities, and we are importing paper materials from south Africa, Lol.
Siyo siri nilitoa chozi baada ya kukanyaga Iringa na kujionea utajiri uliopo hapa. Sikuwa najua kuwa kuna mashamba ya miti duniani ila siku hiyo na bahati nzuri nikabahatika kutembelea shamba la Sao Hill, Tanwatt kule Njombe, kiwanda cha karatasi kinachosuasua pale Mgololo, mashamba ya chai Mafinga na Tanwatt Njombe, mashamba ya miti na lile shama/bustani ya maua kule Makete.
Ile miti ya nguzo za umeme ilistaabisha kwa kuona iko hapa hapa Iringa wakati nchi ikitoa nguzo Kongo na S.Africa.
Iringa inastaili kuwa na viwanda vya kila aina kwani ina malighafi nyingi sana kuanzia mazao yote ya mashambani bila kusahau miti ya mbao laini na karatasi, madini na hata wanyama-nguruwe ni wengi sana hapa ukilinganisha na mikoa mingine.
Dhahabu au almasi naamini inaweza kuwepo kwa wingi sana hapa kwa uchunguzi wangu
 
Acha ku exagarate mkuu, Iringa gani wanakula mbwa?? Mi nimezaliwa Iringa tena kijijino huko na nimeish Iringa hadi form six, nimepata kusikia watu wawili tu wamejinyonga, na sijawahi kuona wala kusikia mtu kala mbwa. Kiukweli iringa wafuga mbwa ni wengi ila ni kwaajili ya ulinzi na uwindaji na sio kula kama unavotaka kuwaaminisha watu hapa.
kama mbwa haliwi kwenu, analiwa wapi kwingine nchi hii?
asipojinyonga mhehe, atajinyonga muhaya misifa?
atajinyonga mkulya mbabe?
nyie wahehe kwa kujinyonga mnatisha, uganga wa kuwatibu hilo gonjwa uko Kigoma!
 
kama mbwa haliwi kwenu, analiwa wapi kwingine nchi hii?
asipojinyonga mhehe, atajinyonga muhaya misifa?
atajinyonga mkulya mbabe?
nyie wahehe kwa kujinyonga mnatisha, uganga wa kuwatibu hilo gonjwa uko Kigoma!
Basi sawa.
 
Ukarimu ni wakarimu.Ila ukijitenga wanakutenga kweli.Wadada wa kule wameumbika sana.Wengiwao ni wa ukweli.
 
Karibuni Vijijini Iringa,

Kijiji cha Idete, Wilaya ya kilolo.. 80+ km toka iringa mjini.

DSC_7953.JPG
13-03-12+kivalamo-idete-kidabaga+%28285%29.JPG
13-03-12+kivalamo-idete-kidabaga+%28262%29.JPG
 
Kijiji cha Pomerini. Km 65 kusini magharibi ya Mji wa Iringa.
Katika hivi vijiji vyote utakuwa umejifunza kitu,
Tabia ya nchi na Hali ya hewa ni safi sana kwa kilimo cha mazao ya Chakula na Miti ya Mbao. Hii ni fursa ambayo huhitaji kuendelea kupoteza muda hapo ulipoajiriwa(kwa wale tunaotegemea mishahara)

Nakuhakikishia, utatumia gharama kidogo sana kuwekeza katika ekari 10 za miti ya Mbao.. (Aprox 3m),
NB, Shamba litakuwa ni lako na wajukuu wako.. Vijana tuacheni kupoteza muda humu mijini.
IMG_20170131_014032_511.JPG
IMG_20170131_014018_975.JPG
IMG_20170131_014044_768.JPG
 
Zaidi kijiji cha Pomerini, kwa waliowahi fika hapa hizi picha si ngeni kwao.. Karibuni Pomerini Iringa. Miongoni mwa sehemu nzuri za kutembelea
FB_IMG_1468641927229.jpg
FB_IMG_1468641886947.jpg
FB_IMG_1468641744195.jpg
 
ULANZI (Bamboo wine) ni Pombe maarufu mkoani iringa,
Naweza sema ndio pombe inayopendwa zaidi na wenyeji wa mkoa wa iringa tangu enzi.
IMG_20170131_021346_748.JPG
FB_IMG_1457634310979.jpg


Ulanzi hufanyika kwa kuchachusha (fermentation) utomvu (sap) unaotokana na mmea mchana wa Muanzi (young bamboo shoot)
IMG_20170131_021602_544.JPG


Hapa namaanisha, kimiminika hiki ni chakula kizuri kwa vijidudu (bacteria) vya kuchachusha ambayo huifanya kuwa pombe baada ya Massa matano hadi 12 baada ya kugemwa,

Hususani Msimu wa mvua ambapo maji ni mengi zaidi ardhin, Mmea mchanga wa mwanzi hukatwa kwa juu (at the tip) kisha hufungwa taping container (tunaita MBETA), asubuhi na mapema mgema hufika shambani kwake kukusanya ulanzi kutoka kwenye hizi containers, husafisha ile tip kwa kisu kikali (KUPYATILA) na huzisafisha vizuri containers na kuzirudishia mahala pake kwa ajili ya siku inayofuata.
IMG_20170131_021428_224.JPG
IMG_20170131_021444_767.JPG
IMG_20170131_021547_706.JPG

I have been using it since then. Try it, its a very nice local wine,
Trust me.
IMG_20170131_021514_801.JPG
 
Back
Top Bottom