ULANZI (Bamboo wine) ni Pombe maarufu mkoani iringa,
Naweza sema ndio pombe inayopendwa zaidi na wenyeji wa mkoa wa iringa tangu enzi.
View attachment 465546View attachment 465547
Ulanzi hufanyika kwa kuchachusha (fermentation) utomvu (sap) unaotokana na mmea mchana wa Muanzi (young bamboo shoot)
View attachment 465545
Hapa namaanisha, kimiminika hiki ni chakula kizuri kwa vijidudu (bacteria) vya kuchachusha ambayo huifanya kuwa pombe baada ya Massa matano hadi 12 baada ya kugemwa,
Hususani Msimu wa mvua ambapo maji ni mengi zaidi ardhin, Mmea mchanga wa mwanzi hukatwa kwa juu (at the tip) kisha hufungwa taping container (tunaita MBETA), asubuhi na mapema mgema hufika shambani kwake kukusanya ulanzi kutoka kwenye hizi containers, husafisha ile tip kwa kisu kikali (KUPYATILA) na huzisafisha vizuri containers na kuzirudishia mahala pake kwa ajili ya siku inayofuata.
View attachment 465548View attachment 465549View attachment 465550
I have been using it since then. Try it, its a very nice local wine,
Trust me.
View attachment 465551