Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hii ndio Iringa halisi na watu wake

mwez wa nane nilikua iringa na ndugu zangu, jion tukafanya mtoko tukakata sana mitaa kumbe wao walikua wanatafuta sehem wapate bia zao. Baada ya kuzunguka bila mafanikio ndo wakauliza iringa hakuna bar? akili zao walitegemea ziwe kama,dar yaan viti viwe nje. wakamuuliza mama mmoja akawaambia mbona mmezipita nyingi tu na nyingine hii hapa. lol

Baridi la Iringa bar ya viti vya nje utakaa peke yako
 
Habari za jioni mabibi kwa mabwana,

Bila kupoteza wakati, hebu Leo tutembelee mkoa wa Iringa.

Kwa ufupi,

Jina iringa linatokana na neno lilinga, (which means fort) au boma kwa kiswahili. Mkoa wa Iringa una wilaya nne, ambazo ni Iringa Manispaa, Iringa Vijijini, Kilolo na Mufindi.

Katika elimu, mkoa wa Iringa una shule nyingi za sekondari (ni nyingi kuzitaja) na vyuo vikuu vitatu ambavyo ni;
Chuo kikuu cha Mkwawa
Chuo kikuu cha Iringa
Chuo kikuu cha Ruaha
Pamoja na taasisi nyingine za elimu ya juu zikiwemo chuo cha ustawi wa jamii na chuo cha mafunzo ya Ualimu cha Kleruu.

Shughuli za maendeleo, shughuli za maendeleo katika mkoa wa iringa ni kilimo, ufugaji, usindikaji na biashara.

Kilimo ndio inayochukua nafasi kubwa, hasa katika mazao ya nafaka, mbao, mazao ya biashara kama chai, mazao ya mbogamboga n.k. Bado kuna fursa nyingi hasa katika kilimo cha misitu ya mbao katika wilaya za Kilolo na Mufindi, ambazo hali ya hewa inafaa sana kwa makuzi ya misitu ya mbao. (Fursa hii vijana watanzania changamkieni)

Mpaka sasa mkoa wa Iringa una TV station moja (IMTV) na fm Radio Stations 7
Ambazo ni;
Trap Gang Radio
Ebony FM
Country FM
Nuru FM
Kibla ten FM
Furaha FM
Overcomers FM

Hivi karibuni Iringa imekuwa ni manispaa ya kuvutia sana kuanzia huduma za jamii (umeme, maji, afya na elimu), miundombinu, mazingira na ujenzi wa mji unaokuwa kwa kasi, hali hii pia imechochewa na kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya lami inayounganisha Dodoma na iringa, ambapo kwa sasa Kanda ya Ziwa na kaskazini zimeunganishwa na nyanda za huu kusini na kupelekea kufunguka fursa zaidi za kibiashara.
Kwa sasa Iringa ni HUB.

Pamoja na mengine mengi.

Nihitimishe kwa kupongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na pia hongera sana ndugu zangu wana Iringa, ongezeni juhudi.

Asanteni sana.

Iringa town,
View attachment 399626View attachment 399627

View attachment 399628View attachment 399629View attachment 399630

View attachment 399632

View attachment 399634

View attachment 399635

View attachment 399636

View attachment 399637View attachment 399638View attachment 399639View attachment 399640
Iringa mjini raha sana na siku hizi baridi sio kali sana kama zamani.....................
 
Mkuu mm ni mnyalu na sijui hii dhana inatokana na nini... Kama ingekuwa na uhalisia kila siku tungekuwa tunasikia watu hadi 10 wanajinyonga kwa siku! Lkn hakuna!

huu ni ukweli mtupu, rate ya watu wa kwetu huku kujinyonga ni kubwa kuliko na maeneo mengi, iringa inaongoza kuwa na idadi kubwa ya mbwa kuliko mkoa mwingne, kwanini wasiseme tunakula mbwa. after all vitu hivi havitakiwi kukufanya uwe mnyonge, ni vitu vya kujivunia coz ndo historia yetu huku. feel confident.
 
huu ni ukweli mtupu, rate ya watu wa kwetu huku kujinyonga ni kubwa kuliko na maeneo mengi, iringa inaongoza kuwa na idadi kubwa ya mbwa kuliko mkoa mwingne, kwanini wasiseme tunakula mbwa. after all vitu hivi havitakiwi kukufanya uwe mnyonge, ni vitu vya kujivunia coz ndo historia yetu huku. feel confident.
Mkuu mm sijisikii mnyonge kwa hili... Hebu leta takwimu kwa siku wanajinyonga watu wangapi?

Mkoa kuwa na mbwa wengi kuzidi mikoa mingine! Mbona mm nmekulia huko na sijawahi kuona mtu akila mbwa?
 
Nikifika iringa break ya kwanza ni kwenye vibanda vilivyopo karibu na jengo la ccm mkoa kwa ajili ya kitimoto pale dah sitoacha kuja iringa jamani

Na mitaa hiyo kulikuwa na kitu kinaitwa Luxury, sijui kama bado kipo. Nilikuwa napiga mbili tatu nikitoka mihangaikoni. Hakika Iringa ina raha zake.
 
Mkuu mm sijisikii mnyonge kwa hili... Hebu leta takwimu kwa siku wanajinyonga watu wangapi?

Mkoa kuwa na mbwa wengi kuzidi mikoa mingine! Mbona mm nmekulia huko na sijawahi kuona mtu akila mbwa?

sio suala la TAKWIMU tu, wewe umekulia iringa yote, hivyo vitu vipo labda sasa vimepungua kwa kiasi kikubwa. we unapajua tanangozi na historia Yake? hapo kpind hicho ukiwa inasafir unaambiwa kuwa makini, ukifika tanangoz
unaweza uziwa nyama ya mbwa......

suala la kujinyonga lipo sana, tu, na vifo vingene ni vigumu hata kuroptiwa kwa vyombo vya hbr...

kwa kias kikubwa matukio hya mengi kwa sasa yamepungua kwa kias kikubwa, labda we ni kijana wa juzi... unaona unaonewa.. lakin historia haiwez futika, na mtwa wetu mkwawa naye aliliweka hill kwenye ramani...let praise our nature be mya veve!!"
 
Hawa ndo wanaofanya mji uwe msafi. Ofisi za Halmashauri ya Manispaa Iringa

upload_2016-9-14_15-13-15.jpeg
 
Habari za jioni mabibi kwa mabwana,

Bila kupoteza wakati, hebu Leo tutembelee mkoa wa Iringa.

Kwa ufupi,

Jina iringa linatokana na neno lilinga, (which means fort) au boma kwa kiswahili. Mkoa wa Iringa una wilaya nne, ambazo ni Iringa Manispaa, Iringa Vijijini, Kilolo na Mufindi.

Katika elimu, mkoa wa Iringa una shule nyingi za sekondari (ni nyingi kuzitaja) na vyuo vikuu vitatu ambavyo ni;
Chuo kikuu cha Mkwawa
Chuo kikuu cha Iringa
Chuo kikuu cha Ruaha
Pamoja na taasisi nyingine za elimu ya juu zikiwemo chuo cha ustawi wa jamii na chuo cha mafunzo ya Ualimu cha Kleruu.

Shughuli za maendeleo, shughuli za maendeleo katika mkoa wa iringa ni kilimo, ufugaji, usindikaji na biashara.

Kilimo ndio inayochukua nafasi kubwa, hasa katika mazao ya nafaka, mbao, mazao ya biashara kama chai, mazao ya mbogamboga n.k. Bado kuna fursa nyingi hasa katika kilimo cha misitu ya mbao katika wilaya za Kilolo na Mufindi, ambazo hali ya hewa inafaa sana kwa makuzi ya misitu ya mbao. (Fursa hii vijana watanzania changamkieni)

Mpaka sasa mkoa wa Iringa una TV station moja (IMTV) na fm Radio Stations 7
Ambazo ni;
Trap Gang Radio
Ebony FM
Country FM
Nuru FM
Kibla ten FM
Furaha FM
Overcomers FM

Hivi karibuni Iringa imekuwa ni manispaa ya kuvutia sana kuanzia huduma za jamii (umeme, maji, afya na elimu), miundombinu, mazingira na ujenzi wa mji unaokuwa kwa kasi, hali hii pia imechochewa na kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya lami inayounganisha Dodoma na iringa, ambapo kwa sasa Kanda ya Ziwa na kaskazini zimeunganishwa na nyanda za huu kusini na kupelekea kufunguka fursa zaidi za kibiashara.
Kwa sasa Iringa ni HUB.

Pamoja na mengine mengi.

Nihitimishe kwa kupongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na pia hongera sana ndugu zangu wana Iringa, ongezeni juhudi.

Asanteni sana.

Iringa town,
View attachment 399626View attachment 399627

View attachment 399628View attachment 399629View attachment 399630

View attachment 399632

View attachment 399634

View attachment 399635

View attachment 399636

View attachment 399637View attachment 399638View attachment 399639View attachment 399640
Nyongise mvina uyapite wutwa ukuleta ululegesi ulu mujf umu,Neke napo tuvanya ukwetu pe tuluwene tukiyangasula wuhulo
 
Napakubali sana Iringa maana tunaweza kukubaliana tukutane town bila hata kupeana location lakini naweza kukutafuta nikakupata, maana maeneo ya kutembelea ni machache sana.
 
Back
Top Bottom