Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Hii ndio Iringa halisi na watu wake

Mkuu hizo si wilaya bali ni halmashauri .Ndio maana hiyo Iringa vijijini na Manispaa wana Mkuu wa Wilaya moja.
N.B .Vijijini tunaita Halmashauri za Wilaya
 
Hii mitaa kulia kuna dada mmoja bonge amaizing yupo kwenye duka la nguo na M-pesa. dah Iringa safi sana

upload_2016-9-14_15-49-4.jpeg
 
mwez wa nane nilikua iringa na ndugu zangu, jion tukafanya mtoko tukakata sana mitaa kumbe wao walikua wanatafuta sehem wapate bia zao. Baada ya kuzunguka bila mafanikio ndo wakauliza iringa hakuna bar? akili zao walitegemea ziwe kama,dar yaan viti viwe nje. wakamuuliza mama mmoja akawaambia mbona mmezipita nyingi tu na nyingine hii hapa. lol
 
pazuri sana nimepatembelea mara mbili,,kila siku natamani kurudi sema napaswa kufika kwingine,,,safi iringa hasa yule mdudu anapatikana kwa wingi sana na ni mtamu sana..marafiki wa iringa pia wastaarabu sana
 
Jamani hiyo ni iringa mjini tu, sasa njoooni MAFINGA wilaya inayokua kwa kasi ya hataree
 
pazuri sana nimepatembelea mara mbili,,kila siku natamani kurudi sema napaswa kufika kwingine,,,safi iringa hasa yule mdudu anapatikana kwa wingi sana na ni mtamu sana..marafiki wa iringa pia wastaarabu sana
hapo kwenye mdudu hatari sana, yaani upatikanaji wake sio mgumu na ni karibu kila mtaa
 
Halafu mahindi yake hayahitaji pilipili...ni sweet corn matamuuu.
Nyama choma ya Miami balaa..sasahiv kuna club VIP na Laparte huko tena ndugu zetu wa chuo Ijumaa na Jmosi aaaaah....teleeeee
Hivi pale miami bar ndio penye ile biashara kongwe kabisa duniani!
 
Back
Top Bottom