Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

Hii siku wacha tuisubiri kwa hamu tena kubwa, Nina uhakika siku akitangaza tarehe ya kurejea nchini ndugu yetu Tundu Lissu, ndio siku hiyo mkuu kutoka mjengoni atatangaza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi kitaanzai milioni namaanisha 1M,

Hapo hatojali hazina ina uwezo kiasi gani, yeye nia yake ni kuzima hilo vuguvugu la mrejeo tu.

Tundu Lissu tunakuomba utangaze tuneemeke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ametoa hoja gani? Shutuma nazo ni hoja. Binafsi ningewashauri watuhumiwa wakae kimya. Atajikuta anaongea peke yake itabidi at some point anyamaze.Hakun kitu inakera kama kumchokoza mtu anayekupotezea, huku wewe umeshajipanga unataka ugomvi leo, alafu jamaa anakuignore. Kumjibu ni kujibizana ambako ni sawa na kumwagia mafuta kwenye moto. Binafsi kulipuka kwa moto sioni kuwa kuna manufaa kwa pande yeyote hata kwa muwasha moto.
 
Siku hiyo Jiwe atalazimisha ufanyike uchaguzi wa serikali za mitaa hata bila kampeni ili mradi tu watanzania wasiende kumpokea Tundu Lissu.
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Jumbo gani ambalo wapiga kura wake hawataabiki acha uboya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Hoja hewa anazojenga Bungeni kwa zaidi ya miaka 10 zimewasaidia nini wapiga Kura wake!? Tembelea katika Jimbo lake ndio utamjua vizuri Tundu Lissu aka Kasuku.
Wana Singida mashariki wanataabika na hali ngumu ya maisha, huku yeye akizunguka kwa mabeberu na kuunga mkono USHOGA.
Pathetic!
Acha ujinga, kama jimbo kwa Lisu hali ni ngumu mwenye kulalamikiwa ni serikali ya CCM iliyochoka ambayo imeshindwa kupeleka maendeleo hata kwa majimbo ya akina Kibajaj ambao hawajazunguka kwa mabeberu. Ulivyo mjinga hata hujui kama Mahiga alitokeza haraka kuwaomba msamaha mabeberu Makonda alipotaka kuanzisha kampeni ya kusaka mashoga!
 
Mahakama ilisema ni wafiraji na wanajisi. Haya unataka kutupiga fix gani hapa?
Bibie naona unatafuta madanga kwa nguvu humu JF. Mimi mume wa mtu usinishike bega mke wangu yuko humu humu tafadhali.
Nenda MMU kuna madanga ya kumwaga..
 
Hilo jimbo limekuwa chini ya CCM kwa miaka karibu 50 sasa unatumia hoja gani yenye nguvu. Halafu Watanzania tulivyo mabwege, tunaamini kabisa kuwa mbunge ndio analeta maendeleo jimboni! Mbunge ni mwakilishi tu wa wananchi, ni msemajj wa kuwasilisha changamoto na maoni ya wananchi kwenda serikalini.

Nyongeza, hali duni unayoiona Singida Mashariki ndio hivyo kwa majimbo karibu yote ambayo yako vijijini.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapopinga Mbunge hapeleki maendeleo jimboni halafu unaandika Mbunge ni muwakilishi wa Wananchi sijui unamaanisha huwa anawakilisha kuongeza shida za Wananchi!? Makamanda mna matatizo makubwa sana ya akili wallah. Allah awafanyie wepesi.
 
Sasa ww maendeleo hata unayoyataka ata hao wabunge waccm kwenye majimbo yao hamna tena ndo hovyo kabisa yaan. Kw taarifa yako majimbo ya wapinzan weng yanamaendeleo ata ya kiufahamu kuliko ya ccm ambay maendeleo ata ya elimu hamna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mnatambua ya kwamba serikali huwa haibagui katika kupeleka maendeleo kwenye majimbo ya Upinzani! Naona misukule ya Ufipa mavumba yanaanza kuisha nguvu akili zinawarudia taratibuuuuuu.
 
Acha ujinga, kama jimbo kwa Lisu hali ni ngumu mwenye kulalamikiwa ni serikali ya CCM iliyochoka ambayo imeshindwa kupeleka maendeleo hata kwa majimbo ya akina Kibajaj ambao hawajazunguka kwa mabeberu. Ulivyo mjinga hata hujui kama Mahiga alitokeza haraka kuwaomba msamaha mabeberu Makonda alipotaka kuanzisha kampeni ya kusaka mashoga!
Kwa hiyo Mh. Mahiga alikuokoa, la sivyo kampeni ya kuwasaka na wenzako isingewaacha salama.
 
Hivi ametoa hoja gani? Shutuma nazo ni hoja. Binafsi ningewashauri watuhumiwa wakae kimya. Atajikuta anaongea peke yake itabidi at some point anyamaze.Hakun kitu inakera kama kumchokoza mtu anayekupotezea, huku wewe umeshajipanga unataka ugomvi leo, alafu jamaa anakuignore. Kumjibu ni kujibizana ambako ni sawa na kumwagia mafuta kwenye moto. Binafsi kulipuka kwa moto sioni kuwa kuna manufaa kwa pande yeyote hata kwa muwasha moto.
Kama hana hoja basi wanyamaze. Mbona naona kila mtu unasema huku na kule tena wengine kwa vitisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote wenye akili wameondoka ccm mkuu , hata wale wachache waliobaki ni kama wameng'olewa ubongo , hivi ulitegemea Mizengo Pinda kuandamana huko Mafinga kupongeza kuondolewa kikokotoo ?
Mizengo nae bhana! Umemaliza vizuri sasa unataka nini tena mzee!? Jikite kuzalisha asili uliyoanza nayo kabla hujastaafu. Mbona inakutosha baba! Unachokifanya sasa kitakuvunjia heshima uliyoijenga kwa miaka mingi mzee! Huwaoni wenzio kina kikwete membe, kina mzee salim, karume na wengine? Ulimwengu huu ni wa kisiasa sana,utaanza kuchakuka kwenye mitandao muda si mrefu,wataanza kuvukua mabaya yako sasa ivi. Utulivu ulioonyesha hapo nyuma ulikuwa ni kivuniko cha mabaya yako,sasa umeanza kukifunua mwenyewe. TULIA BABA MALIZIA MAISHA YALIYOBAKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mizengo nae bhana! Umemaliza vizuri sasa unataka nini tena mzee!? Jikite kuzalisha asili uliyoanza nayo kabla hujastaafu. Mbona inakutosha baba! Unachokifanya sasa kitakuvunjia heshima uliyoijenga kwa miaka mingi mzee! Huwaoni wenzio kina kikwete membe, kina mzee salim, karume na wengine? Ulimwengu huu ni wa kisiasa sana,utaanza kuchakuka kwenye mitandao muda si mrefu,wataanza kuvukua mabaya yako sasa ivi. Utulivu ulioonyesha hapo nyuma ulikuwa ni kivuniko cha mabaya yako,sasa umeanza kukifunua mwenyewe. TULIA BABA MALIZIA MAISHA YALIYOBAKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaomba msipate shida sana . Hiki mnachokifanya hakitawasadia kabisa.

Nimemfahamu Lisu kwa miaka kumi sasa. Ila nilimfahamu zaidi alipoingia bungeni. Lisu ni mtu aliyejijenga sana katika umahili wa kujenga hoja . Akiwa kama waziri kivuli wa katiba na sheria , amekuwa akijenga hoja nyingi sana ambazo zinasababisha mjadala mkali sana kwenye jamii. Nakumbuka kipindi kile cha bunge la katiba, Lisu alisababisha mtafuruku mkubwa sana.

Sasa basi dawa ya Lisu ni hoja tu ,lazima hoja zake zijibiwe kwa hoja hapa tutamuweza. Sitaki kuamini eti hakuna hata mtu mmoja anayeweza kumjibu Lisu kwa hoja . Chama cha mapinduzi kina hazina ya viongozi wengi sana tena wenye ujuzi mkubwa , kwa nini mnaacha huyu jamaa anatamba namna hii , hebu anzeni sasa kujibu hoja zake kwa hoja.

Dawa ya hoja ni hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa yake ni kumtundulisu tu kwenye kinyeo chake.
 
Back
Top Bottom