CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Lisu maisha yake yatakuwa hatarini akirudi. Tena hatari kubwa! Labda 'wakubwa' wawatishe akina msiba na wenzake kuwa akiuliwa tu akiwa Tanzania, we will bomb you, kitu ambacho ni cha kufikirika.Warithi wake wapo Tanganyika sasa na mpaka hivi tunavyoongea Cyprian musiba na Heri kisanduku wapo kwenye mazoezi makali ya kulenga shabaha wanajiandaa kwa shambulio la pili ambalo watamshambulia kama Alshabab.