msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,883
Huyu anatafuta njia ya kuchutama...walikua wanaamini serikali haijawahi kuibiwa wala kupoteza hata mia ndani ya miaka 5...sasa hivi wanaoa aibu..wanajifanya ooo chuma mwingine kaingia. Wkt kaanza kuonyesha madudu wa aliyepita.Chuma kilichotoka ndiyo hicho kimebainika kuleta hasara kubwa mno kwenye ATCL??