S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,593
- 32,671
Nyinyi ndio mlitakiwa muache upumbavu wa kumwabudu mtu mwenye mauzauza kama yuleAcheni ujinga basi
Nyinyi ndio mlitakiwa muache upumbavu wa kumwabudu mtu mwenye mauzauza kama yuleAcheni ujinga basi
Ni mpinzani gani ambaye hajawahi kuwa mwanachama Wa ccm,sema Tanzania kuna hazina ya viongozi.Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.
CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.
Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.
Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.
Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.
RIO Magufuli!
Katiba mpya inatakiwa palechadema ilikuwepo na demokrasia inayoweza kuleta mwenyekiti mwinginee.Awamu ya Magufuli ilikuwa na Ufisadi wa kutisha
Sisi Chadema mambo ni yaleyale Katiba mpya Tume HURU
Hatuombi Katiba Mpya ni HAKI yetuKatiba mpya inatakiwa palechadema ilikuwepo na demokrasia inayoweza kuleta mwenyekiti mwinginee.
Hata pale chadema nihaki yao kupata mwenyekiti wa chama kimokrasiaHatuombi Katiba Mpya ni HAKI yetu
Mkuu mbona nakuchukuliaga una akili kubwa tofauti na hiki ulichoandika hapa? Usijishushe kiasi hiki mkuuKwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.
CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.
Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.
Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.
Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.
RIO Magufuli!
Huu ujinga mnaambiwa na kina mtatiro naninyi mnakariri jinga sana! Haya mkurugenzi ATCL kwann hakusema haya ama ninyi mnajua kumzidi??Miradi mikubwa huanza kutengeneza faida baada ya miaka zaidi ya 10 bwashee!
Anaenda kukagua wizi uliofanywa na cdm?CAG kesho yuko BOT bwashee.
CCM siyo ya mchezo mchezo!
Mliimba sana mapambio na kukata mauno airport kumbe mnatupotezea mabilioni ya shilingi.Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.
CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.
Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.
Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.
Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.
RIO Magufuli!
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa TanzaniaChuma kilichotoka ndiyo hicho kimebainika kuleta hasara kubwa mno kwenye ATCL??
Kwanza niwatakie heri ya siku ya Bwana ya Matawi.
CCM ina hazina kubwa sana ya uongozi na katika hilo haina ushindani kabisa.
Kaondoka hayati Magufuli ameingia mama Samia moto ni ule ule tena unaelekea kuzidi.
Subirini huo ukaguzi wa hapo benki kuu wa fedha zilizotoka kuanzia January hadi March 2021 ndio mtajua CCM haina mambo ya kulindana kama wale watani zetu Chadema.
Nilitaka kusahau, pengo la Dr Slaa hapo Ufipa lingalipo hadi leo.
RIO Magufuli!