Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

Huyu JAMAA mpigaji kapiga jela sana NA mlwere ndio maana amepata kiburi cha kumjibu raisi vile mpuuzi uweziamka Frm nowhr ukajibishana NA raisi kwenye press
 
Prof. Benno Ndulu ndiye tatizo kwa uchumi wa nchi yetu na himaya/cartel yake hii hapa!

Wadau nawaletea cartel ya wasomi wala nchi. Huyu Prof alijiwekea mtandao kwa serikali ilyopita ambapo kuumaliza Magu yabidi afanye ya ziada. Mambo wanajamvi yako hivi. Akiwa World Bank Tanzania office alimweka Dr. Likwelile kuwa mkuu wa TASAF hapa alipiga pesa ndefu kwani hata miradi iliyo tekelezwa ilikuwa duni and no proper audit that time. Pia akamtoa UDSM Dr. Mpango enzi hizo akamweka World Bank Tanzania office wakati yeye akiwa country manager. Kumbuka Dr. Mpango na Dr. Likwilile ni classmates hivyo ile miradi ya TASAF pia mingi haikua kwenye mipango ya serikali. Hinyo walipiga pamoja. Baadaye Prof. Ndulu kahamia Washington DC 2003. Akaacha mtandao wake kihivyo. JK alipokuwa Rais akashinikizwa na World Bank Amchukue kuwa BOT governor.

Hapo kawa na mwanya wa kuwa top brass ya economic adviser wa JK. Yule kimada wa JK that time pale BOT akahamishwa ikulu kwa advisor wa JK wa uchumi…kilaza mkubwa. Hapo akamshauri JK amweke Dr. Mpango awe ndiye mkurugenzi wa tume ile ya mipango. Wakati huo huo sasa akawachukua vijana wake wasio na ujuzi wowote wa ushauri Dr. Mwinyimvua akawekwa kuwa mshauri wa uchumi ikulu. Na sasa kamtoa Dr. Likwilile pale TASAF na kumleta kuwa katibu mkuu wizara ya fedha ambapo anaendelea hadi sasa. Kipinndi hicho kamtoa pia Prof. Mkenda UDSM na kumpachika udeputy PS fedha chini ya Dr. Likwelile. Pia ujue Dr. Mpango alikuwa PS hapo hazina kwa mzunguko huo huo. Sasa Prof. Mkenda kapewa PS viwanda.

Huu mzunguko wa BOT na TRA na hazina/wizara ya fedha unahitaji timu mpya iliyosukwa kivingine. Wakati Kitilya akiwa TRA wakipiga hela ya Stanbic pia Prof. Ndulu alihusika, wakipiga hela ya Escrow wote Ndulu, Kitlya, Dr. Mpango, Prof. Mkenda, Dr. Likwilile walihusika kama team wakiwa hapo hapo hazina. Prof. mzima Ndulu bila aibu alibariki injection of illegal money to the circulation bila kujali money supply na adhari zake kwa uchumi na hiyo team yake. Juu ya wizi tuu. Magu amepewa ushauri mbovu kuwateua hawa wote CARTEL mbaya hatari. Uliwaona ni wapole lakini mambo yao hatari.

It’s time Prof. Ndulu aondoke na team yake. Eleze pia nyumba aliyojenga Masaki kwa billion 3 kwa kutoa mafundi South Africa ikamatwe iwe ya serikali. Pole mzee wetu Magu kazana tunakusaport.

Nao ndio sasa washauri wa magu kwenye hili jipu. Je watamtosa god father wao....tujadili
 
Mpaka hapo wizi wa stanbic escrow na jumba la 3bil inatosha kuitwa fisadi
Habari hii haitoshi kumwita mtu fisadi,hakuna vielelezo vya kuonesha wizi ulipotokea,ulivyofanyika na niwakiwango kipi.
Kwa maelezo haya hata unayemwambia amtumbue naye anapaswa tumbuka mana hatayeye kashatuhumiwa kijuujuu hivihivi.
 
Ninakiri kuwa ninatoka Morogoro na kwa msingi huo nitatoa statement fupi tu ya kumtetea Gavana na Katibu Mkuu Dkt. Servicius Likwelile.

Nchi imenufaika sana na uadilifu wa Watumishi kutoka eneo hili, rekodi zinaonyesha wazi ni watu wa kipato cha mkulima mdogo sana. Ni watu waliojaliwa akili, uadilifu, ardhi bora na jamii isiyo na makuu. Bonde la Mto Kilombero ULANGA,MALINYI na KILOMBERO- limezalisha wana Siasa wakweli, wasio na UKWASI na kwa mtindo huo wamejikuta daima watu wa kutupiwa takataka na Jamii zenye ghiriba na fitina za kimedani ktk kusaka nyadhifa mbalimbali Nchini....

Jaji Mwesiumo aliondoka Mahakama kwa michezo hiihii mnayomfanyia Gavana Ndullu
Dkt. Ngasongwa alibebeshwa takataka kwa makusudi na wapenda fursa serikalini na hapa wakaja wapiga filimbi wengi kumchafua
Dkt. Mponda aliumizwa kwa uchanga wake na wapenda fursa pale Afya.....

Sioni mantiki ya hoja zilizoletwa hapa wakati Rais ameagiza anayotaka yafanyike BOT.....

Hizi nafasi kuna maeneo ya Tz yanaamini wao walipaswa kuwapo hapo na kila uchao wanafanya jitihada kuwachafua watu wasafi, na wenye rekodi njema na pengine asilia kabisa....Dosari yetu kubwa Morogoro...FITINA SIYO MTINDO WA MALEZI YETU, TUNAO UWEZO WA KUJIPAMBANUA KIWEREDI NA HOJA ILA IKIFIKA FITINA HUWA TUNAKUFA BILA MUOMBOLEZAJI.

Mwacheni Ndullu awajibike kama ana makosa na heshimu weredi wake kwa manufaa ya Nchi.
 
Duuuh kama ni kweli basi kizunguzungu sana kila kona labda aitwe professor Haji Semboja ataweza na aliiwezesha nchi ya sri- lanka kusogea mbele sana kiuchumi na budget control, alikua anapiga party time economic advisor kule akiwa ESRF sasa yupo UDSM ni Lecturer wa economy na jana nilimuona katika mishe zake mkubwa maeneo ya TIB huyo funga kazi atawezana na kasi ya Mh Rais JPJM
 
....bandiko kukosa vithibitisho hakuondoi hoja ya hawa majamaa kuwa corrupt....At least hitoria ya TZ imetuonyeha kuwa wanaotuangusha sana na kuturudisha nyuma kimaendeleo ni wasomi wetu wenye nyadhifa za juu....hili limeonekana kwenye scandal zote kubwa kubwa zilizowahi kutokea tz....waliogundulika walikua wasomi wetu wenye nafasi juu....

...that said....mleta uzi anaweza kuwa na hoja....pamoja na kwamba hajathibitisha hoja zake....

....pia ikumbukwe kuwa uzoefu umejionyesha kuwa watu waadilifu pia wamekuwa na tabia ya kuharibika na kuwa corrupt baada ya muda wanapopewa nafasi za juu....hivyo watu wanaosemwa humu wanaweza kuwa walikuwa waadilifu sana huko nyuma na wamekuja baadae kuharika....hilo linawezekana pia....maana kuna mifano mingi....hata marehemu Balali alikuwa mtu safi wakati anapewa ugavana BoT....lakini wote twajua kuwa EPA ilipigwa chini yake....Pia kina Tibaijuka walikuwa na sifa nzuri sana huko nyuma wakiwa UN...lakini wamekuja kuchafuka kwenye escrow.....Hivyo jamani mleta mada anaweza kuwa na hoja ya msingi ya kufanyiwa kazi...Mi natoa tu angalizo kuwa escrow ilipigwa hawa jamaa wakiwa kwenye nafasi za kuizuia ile hela isipigwe......Nashangaa hili jambo watu hawajadili....
 
Lisemwalo, maadamu umeliweka humu wahusika wameliona na watalifanyia kazi wakiona ni sahihi nadhani watachukuwa hatua sitahiki, yangu macho let me wait and see, Mungu nibariki, Mungu ibariki Tanzania yangu. AMINA

Ahsante mtoa mada maana naona hii thread is so special na account ni mpya kwa ajili ya ujumbe huu mhimu
 
YOU SEEMS TO HAVE THOSE HARD FACTS...CAN YOU BRING THEM HERE AS A PANEL WE CAN SORT OUT THE REAL AND FAKE ONES.

HURRY UP PLEASE....JUST HARD FACTS ONLY TO COUNTER ATTACK THE SUBMITTED LIGHT ONES.

The burden of proof should be born by the accuser; I dont engage in fictitious
accusations; empty of hard facts and credible ones for that matter; that can withstand the test of time and feronsic investigation! Frivolity is not my fort, sorry!
 
....bandiko kukosa vithibitisho hakuondoi hoja ya hawa majamaa kuwa corrupt....At least hitoria ya TZ imetuonyeha kuwa wanaotuangusha sana na kuturudisha nyuma kimaendeleo ni wasomi wetu wenye nyadhifa za juu....hili limeonekana kwenye scandal zote kubwa kubwa zilizowahi kutokea tz....waliogundulika walikua wasomi wetu wenye nafasi juu....

...that said....mleta uzi anaweza kuwa na hoja....pamoja na kwamba hajathibitisha hoja zake....

....pia ikumbukwe kuwa uzoefu umejionyesha kuwa watu waadilifu pia wamekuwa na tabia ya kuharibika na kuwa corrupt baada ya muda wanapopewa nafasi za juu....hivyo watu wanaosemwa humu wanaweza kuwa walikuwa waadilifu sana huko nyuma na wamekuja baadae kuharika....hilo linawezekana pia....maana kuna mifano mingi....hata marehemu Balali alikuwa mtu safi wakati anapewa ugavana BoT....lakini wote twajua kuwa EPA ilipigwa chini yake....Pia kina Tibaijuka walikuwa na sifa nzuri sana huko nyuma wakiwa UN...lakini wamekuja kuchafuka kwenye escrow.....Hivyo jamani mleta mada anaweza kuwa na hoja ya msingi ya kufanyiwa kazi...Mi natoa tu angalizo kuwa escrow ilipigwa hawa jamaa wakiwa kwenye nafasi za kuizuia ile hela isipigwe......Nashangaa hili jambo watu hawajadili....
Kwa hiyo kama unakiri bandiko kukosa hard facts ni udhaifu mkubwa; iweje tuendelee kujadili ngonjera na mipasho na visasi tusivyovielewa! Hatuna muda muchafu; mleta mada akalale huko Uswazi!
 
hatuwezi kuamini ktk kila lisemwalo ...tunahitaji evidence based information
 
The burden of proof should be born by the accuser; I dont engage in fictitious
accusations; empty of hard facts and credible ones for that matter; that can withstand the test of time and feronsic investigation! Frivolity is not my fort, sorry!

THEN AT LEAST YOU HAVE TO RESPECT HIS SUBMITTED CASE AND EVIDENCE UNTIL SOMEONE ELSE SUBMIT A COUNTER PROOF THAT ACCUSER'S FACTS ARE NOT HARD ENOUGH TO HOLD A PERSON LIABLE AND IN TRIALS TOO.
 
Prof. Benno Ndulu ndiye tatizo kwa uchumi wa nchi yetu na himaya/cartel yake hii hapa!

Wadau nawaletea cartel ya wasomi wala nchi. Huyu Prof alijiwekea mtandao kwa serikali ilyopita ambapo kuumaliza Magu yabidi afanye ya ziada. Mambo wanajamvi yako hivi. Akiwa World Bank Tanzania office alimweka Dr. Likwelile kuwa mkuu wa TASAF hapa alipiga pesa ndefu kwani hata miradi iliyo tekelezwa ilikuwa duni and no proper audit that time. Pia akamtoa UDSM Dr. Mpango enzi hizo akamweka World Bank Tanzania office wakati yeye akiwa country manager. Kumbuka Dr. Mpango na Dr. Likwilile ni classmates hivyo ile miradi ya TASAF pia mingi haikua kwenye mipango ya serikali. Hinyo walipiga pamoja. Baadaye Prof. Ndulu kahamia Washington DC 2003. Akaacha mtandao wake kihivyo. JK alipokuwa Rais akashinikizwa na World Bank Amchukue kuwa BOT governor.

Hapo kawa na mwanya wa kuwa top brass ya economic adviser wa JK. Yule kimada wa JK that time pale BOT akahamishwa ikulu kwa advisor wa JK wa uchumi…kilaza mkubwa. Hapo akamshauri JK amweke Dr. Mpango awe ndiye mkurugenzi wa tume ile ya mipango. Wakati huo huo sasa akawachukua vijana wake wasio na ujuzi wowote wa ushauri Dr. Mwinyimvua akawekwa kuwa mshauri wa uchumi ikulu. Na sasa kamtoa Dr. Likwilile pale TASAF na kumleta kuwa katibu mkuu wizara ya fedha ambapo anaendelea hadi sasa. Kipinndi hicho kamtoa pia Prof. Mkenda UDSM na kumpachika udeputy PS fedha chini ya Dr. Likwelile. Pia ujue Dr. Mpango alikuwa PS hapo hazina kwa mzunguko huo huo. Sasa Prof. Mkenda kapewa PS viwanda.

Huu mzunguko wa BOT na TRA na hazina/wizara ya fedha unahitaji timu mpya iliyosukwa kivingine. Wakati Kitilya akiwa TRA wakipiga hela ya Stanbic pia Prof. Ndulu alihusika, wakipiga hela ya Escrow wote Ndulu, Kitlya, Dr. Mpango, Prof. Mkenda, Dr. Likwilile walihusika kama team wakiwa hapo hapo hazina. Prof. mzima Ndulu bila aibu alibariki injection of illegal money to the circulation bila kujali money supply na adhari zake kwa uchumi na hiyo team yake. Juu ya wizi tuu. Magu amepewa ushauri mbovu kuwateua hawa wote CARTEL mbaya hatari. Uliwaona ni wapole lakini mambo yao hatari.

It’s time Prof. Ndulu aondoke na team yake. Eleze pia nyumba aliyojenga Masaki kwa billion 3 kwa kutoa mafundi South Africa ikamatwe iwe ya serikali. Pole mzee wetu Magu kazana tunakusaport.

Nao ndio sasa washauri wa magu kwenye hili jipu. Je watamtosa god father wao....tujadili

Naye akamchukua, naye akampachicha zimekua nyingi mno, utadhani hadithi....otherwise, good whistle blowing...
 
TUSIHUKUMIANE, RAIS ANA VYOMBO NA VINAMFANYIA KAZI IKIWEMO BOT, HAKUNA ALIYE JUU YAKE ISIPOKUWA MUNGU, VYOMBO VINGINE UKIACHILIA BOT VINALO JUKUMU LA KUMSAIDIA RAIS NA BOT KWA PAMOJA ILI NCHI IWE YENYE MAFANIKIO.

IKIWA KUNA HUO UOZO BASI TUMWACHIE RAIS ATUMBUE JIPU NA KAMA GAVANA ANAZO TAARIFA ZA KUMRIDHISHA RAIS NA YEYE KUWA HAKUNA TATIZO BASI ALIYEHUSIKA NA UJIO WA NEUZI HIZO NI JIPU SHURTI ATUMBULIWE.

TUSIHUKUMIANE, TUWAPE NAFASI BOT WAJIRIDHISHE TENA BILA MAWAA, BAADA YA HAPO WAWAJIBIKE TU KWA MANUFAA YA NCHI.

KUWAJIBIKA NI PAMOJA NA KUJIENGUA ILI KUMSAIDIA RAIS APANGE SAFU ITAKAYOJIBU MAHITAJI NA MATARAJIO YAJAYO. KWA SASA TUWE NA SUBIRA TU.
 
Prof. Benno Ndulu ndiye tatizo kwa uchumi wa nchi yetu na himaya/cartel yake hii hapa!

Wadau nawaletea cartel ya wasomi wala nchi. Huyu Prof alijiwekea mtandao kwa serikali ilyopita ambapo kuumaliza Magu yabidi afanye ya ziada. Mambo wanajamvi yako hivi. Akiwa World Bank Tanzania office alimweka Dr. Likwelile kuwa mkuu wa TASAF hapa alipiga pesa ndefu kwani hata miradi iliyo tekelezwa ilikuwa duni and no proper audit that time. Pia akamtoa UDSM Dr. Mpango enzi hizo akamweka World Bank Tanzania office wakati yeye akiwa country manager. Kumbuka Dr. Mpango na Dr. Likwilile ni classmates hivyo ile miradi ya TASAF pia mingi haikua kwenye mipango ya serikali. Hinyo walipiga pamoja. Baadaye Prof. Ndulu kahamia Washington DC 2003. Akaacha mtandao wake kihivyo. JK alipokuwa Rais akashinikizwa na World Bank Amchukue kuwa BOT governor.

Hapo kawa na mwanya wa kuwa top brass ya economic adviser wa JK. Yule kimada wa JK that time pale BOT akahamishwa ikulu kwa advisor wa JK wa uchumi…kilaza mkubwa. Hapo akamshauri JK amweke Dr. Mpango awe ndiye mkurugenzi wa tume ile ya mipango. Wakati huo huo sasa akawachukua vijana wake wasio na ujuzi wowote wa ushauri Dr. Mwinyimvua akawekwa kuwa mshauri wa uchumi ikulu. Na sasa kamtoa Dr. Likwilile pale TASAF na kumleta kuwa katibu mkuu wizara ya fedha ambapo anaendelea hadi sasa. Kipinndi hicho kamtoa pia Prof. Mkenda UDSM na kumpachika udeputy PS fedha chini ya Dr. Likwelile. Pia ujue Dr. Mpango alikuwa PS hapo hazina kwa mzunguko huo huo. Sasa Prof. Mkenda kapewa PS viwanda.

Huu mzunguko wa BOT na TRA na hazina/wizara ya fedha unahitaji timu mpya iliyosukwa kivingine. Wakati Kitilya akiwa TRA wakipiga hela ya Stanbic pia Prof. Ndulu alihusika, wakipiga hela ya Escrow wote Ndulu, Kitlya, Dr. Mpango, Prof. Mkenda, Dr. Likwilile walihusika kama team wakiwa hapo hapo hazina. Prof. mzima Ndulu bila aibu alibariki injection of illegal money to the circulation bila kujali money supply na adhari zake kwa uchumi na hiyo team yake. Juu ya wizi tuu. Magu amepewa ushauri mbovu kuwateua hawa wote CARTEL mbaya hatari. Uliwaona ni wapole lakini mambo yao hatari.

It’s time Prof. Ndulu aondoke na team yake. Eleze pia nyumba aliyojenga Masaki kwa billion 3 kwa kutoa mafundi South Africa ikamatwe iwe ya serikali. Pole mzee wetu Magu kazana tunakusaport.

Nao ndio sasa washauri wa magu kwenye hili jipu. Je watamtosa god father wao....tujadili
Bado sijaona substance ya allegation zako kwa jicho langu mimi ninaona kama kuna kawivu fulani.
Wewe siyo quantity surveyor thamani ya nyumba umeijuaje???? kama huyu profesa amekuwa kiongozi wa benki ya dunia jee atashindwa kujenga nyumba hiyo na unajuaje pengine kachukua mkopo?
TUACHE ITIKADI ZA CHUKI NA WIVU KWA WENZETU. Uchumi wetu ulianza kuharibika miaka zaidi ya 15 iliyopita.
Gavana huyu amejitahidi sana kurejesha hadhi ya benki kuu akiwa katika mazingira magumu sana na mimi ninamfananisha kama mzee mtei katika kile kipindi ambacho alijaribu sana kushauri lakini akagonga mwamba.
 
Back
Top Bottom