Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

Upuuzi mtupu; no hard facts isipokuwa dhana na hearsay kibao!
Ukiona hivyo hizi habari ni kweli Na hao watajwa wapo.
Ukisikia neno DHANA,HARD FACTS
HEARSAY:Ni ukanushaji wa kimataifa
Na kama Huu ni uzushi MTK
Watetee watuhumiwa.
 
Majungu haya huu ni upuuzi tu..hapa ni povu tu hujasema fact yeyotem..umeandika upuuzi ..tuambie hao watu waliiba lini na sh ngapi sio.kuongea majungu majungu

Kwenye escrow nakubaliana na hoja hii. Ni pesa haramu zile na kuziingiza kwenye mzunguko ni kuvuruga uchumi. Profesa wa uchumi akifanya hivyo kuna mazingira ya rushwa. Gavana aondoke.
 
sioni ni kwa namna gani katika bandiko lako ushiriki wa prof katika hizo appointments maana yeye sio apointing authority
 
Mnajua unyeti wa nafasi ya Gavana wa Benki kuu au mnaropoka tu? Mnadhani ile ni nafasi sawa na ya House girl unaokoteza tu pale Ilula?
Hadi mtu amekuwa Gavana kuna kazi imefanyika. Na hao kina Likwelile hawapatikani kienyeji na kiholela. Sio ishu ya Gavana kuamka na kusema namtaka Mzito Kabwela awe katibu mkuu.
Jamani hii ni serikali. Hata kama ni serikali dhalimu lakini ni serikali. Umakini wake katika nafasi nyeti ni wa juu mno. Sio ishu ya kudhani Fulani anaweza kuamua tu babake awe mkuu wa Polisi au Mkuu wa Wanyama Pori.
We we mwenyewe mleta mada ukitaka nafasi ya U-cashier pale halmashauri kwenu unaona unavyosota, sembuse ugavana?? Acha majungu wewe. Njoo na facts. Kaiba nini, kachora ramani ya wizi lini, kasababisha hasara kiasi gani, n.k.

kwa taarifa za uhakika kuna watu ambao wako very potential na weledi wanataka kuacha kazi au wale wa mikataba hawataongeza kwa kuhofia kuja kudhalilika mbele ya umma na kuharibu maisha yao kwa ajili ya majungu tu...............that is serious ....watu wanaanza kumchukia mtu kwa ajili tu ya mshahara ....na mengine yasio na hoja ....utafiikiri alipokua anakesha shule mlikuwa naye .....
pia approach ya kufanya kazi kwa popularity at the expense ya kumsema mtu wa level ya Gavana hadharani kama house boy ....haitatusaidia ........ilinikumbusha siku IDDI AMIN alipotembelea banki kuu ya uganda na kumfukuza kazi kwakuwa tu kasikia malalamiko kuwa mtaani pesa hakuna .....yeye kwa kuwa "very technical " akawa anamlazimisha gavana achapishe pesa nyingi
 
Karibu Ifinyo mhididi kwenye Jamvi la JF! Uwe tayari kupokea makobora na likes saa yoyote. Vumilia.
 
Upuuzi mtupu; no hard facts isipokuwa dhana na hearsay kibao!

YOU SEEMS TO HAVE THOSE HARD FACTS...CAN YOU BRING THEM HERE AS A PANEL WE CAN SORT OUT THE REAL AND FAKE ONES.

HURRY UP PLEASE....JUST HARD FACTS ONLY TO COUNTER ATTACK THE SUBMITTED LIGHT ONES.
 
Nimesoma kwa makini, nimerudia mara tatu...but I am not convinced na maandiko haya. Dr. Mkenda na Dr. Mpango nao walaji? I am not convinced at all... labda leta details zaidi siyo hizi sijui ameteuliwa na huyu au amewekwa na huyu, aaah hapo hapana. Contents zina mwelekeo wa majungu, but I am not so sure. Lakini you have to convince us on this...

NA SIKU ZOTE NDANI YA MAJUNGU NDIO HUIBUKA UKWELI AMBAO HAKUNA ALIYEUTARAJIA....

REFER:-
1- SEFUE NA DEAL LA WACHINA
2- KITILYA NA MZIGO WA STANBIC BANK
3- ESCROW NA TUMBILI
4-
5-
WASWAHILI HUSEMA LELE NA LELE NDIO MWANZO WA WIMBO.
 
Kumbe Magu anacheza ngoma ile ile. We have a long way to go. Mbaya zaidi Ndullu na Presida ni marafiki tu.
 
Jamii forums kweli ni noma ndio maana kesi yetu inaunguruma huko chini ya mawakili nguli kuhusu sheria kandamizi za mitandao. Serikali chukua ushahidi huu
 
Kama watu wamepiga hela, weka ushahidi, usiishie tu kusema kwamba hawa ni wapigaji kama huna ushahidi hayo ni majungu
 
Upuuzi mtupu; no hard facts isipokuwa dhana na hearsay kibao!
Habari hii haitoshi kumwita mtu fisadi,hakuna vielelezo vya kuonesha wizi ulipotokea,ulivyofanyika na niwakiwango kipi.
Kwa maelezo haya hata unayemwambia amtumbue naye anapaswa tumbuka mana hatayeye kashatuhumiwa kijuujuu hivihivi.
Nimesoma kwa makini, nimerudia mara tatu...but I am not convinced na maandiko haya. Dr. Mkenda na Dr. Mpango nao walaji? I am not convinced at all... labda leta details zaidi siyo hizi sijui ameteuliwa na huyu au amewekwa na huyu, aaah hapo hapana. Contents zina mwelekeo wa majungu, but I am not so sure. Lakini you have to convince us on this...

Wengi munapohitaji ushahidi wa zaidi ya hapo, ni yale yale ya serikali iliyopita. Kila walipoonyeshwa ufisadi, wao walidai tena ushahidi badala ya kuutafuta wao.

Huna haja ya kuomba ushahidi toka kwa mtoa mada. Binafsi naona harufu ya ufisadi. Hata kama hakuna ushahidi wa wazi unawezaje kuwa na web ya brotherhood halafu ukose syndicates. Hapo kuna matatizo.

Ni kweli Likwelile alikuwa TASAF kama deputy wa Mr Emmanuel Kamba (mwanzilishi wa TASAF) halafu baadaye akashika ubosi hapo na mara huyoooo Wizarani!! Unapofikia kuchota watumishi toka pool la mates na brothers in soul, unategemea nini?
 
Back
Top Bottom