Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

Nimesoma kwa makini, nimerudia mara tatu...but I am not convinced na maandiko haya. Dr. Mkenda na Dr. Mpango nao walaji? I am not convinced at all... labda leta details zaidi siyo hizi sijui ameteuliwa na huyu au amewekwa na huyu, aaah hapo hapana. Contents zina mwelekeo wa majungu, but I am not so sure. Lakini you have to convince us on this...
...1954,

...Katika siku za karibuni, kumekuwa na shutuma, majungu, na umbeya mwingi kwenye vyombo hivi vya habari. Lengo ni kuichafua, kuipaka matope, kuitupia taka na kuiharibia Serikali ya JPM. Ili, itoke kwenye reli -kwa ku entertain majungu, kutokuelewana na migogoro- na wanaoipiga vita wakenue meno na kucheka. Ujinga huu, haupaswi kupewa nafasi.

...JPM ana mapungufu yake kama binadamu mwingine, lakini kumtegea akwame au ashindwe haitasaidia nchi. Itatugarimu.

...Wakati ushawadia sasa, "kelele za mlango, zisimzuie mwenyewe kulala". Kama vipi, mlango utarekebishwa, kutengenezwa au kubadilishwa.
 
hapo issue sio ufisadi,nadhani mleta mada amejenga hoja ya namna gani Ndugu Ndullu alivyo mgumu kumtumua kirahisi,maana hao maswahiba wake wapo jiran na rais,ama ktk utawala huu wa rais hivyo watamshauri rais namna nzuri ya kumtoa ama kumuacha tu.
 
Kumbe ndio maana nchii hii mika zaidi ya 50 ipo vilevile hakuna kusonga mbele.
 
Nimesoma kwa makini, nimerudia mara tatu...but I am not convinced na maandiko haya. Dr. Mkenda na Dr. Mpango nao walaji? I am not convinced at all... labda leta details zaidi siyo hizi sijui ameteuliwa na huyu au amewekwa na huyu, aaah hapo hapana. Contents zina mwelekeo wa majungu, but I am not so sure. Lakini you have to convince us on this...
Vitambulisho vya taifa vingetuweka huru.kujua nani ni nani anamiliki nini .vinginevyo kuwa mpole .chochote kitakacho semwa kina ukweli 78% .don't ask for details .either if your not Tz citizeni .your right to ask
 
Majungu haya huu ni upuuzi tu..hapa ni povu tu hujasema fact yeyotem..umeandika upuuzi ..tuambie hao watu waliiba lini na sh ngapi sio.kuongea majungu majungu
hata mm naona ni MIJUNGU hasa maana TASAF imekuja kuliwa vijijini kabisa sijui Prof Ndulu alifikaje huku Kijiji cha Mpinguzi kuja kula hela hizo
aseme hela nyingine
km Jumba kwa Gavana ni halali yake kwani ni Gavana gani hakujenga huko Osterbay au Masaki?
 
Na ndooma baadhi tukimping DJ POMBE mtuelewe maana anaonea sana dagaa mipapa anaichia tuu anacheka nayoo. Live
 
hapo issue sio ufisadi,nadhani mleta mada amejenga hoja ya namna gani Ndugu Ndullu alivyo mgumu kumtumua kirahisi,maana hao maswahiba wake wapo jiran na rais,ama ktk utawala huu wa rais hivyo watamshauri rais namna nzuri ya kumtoa ama kumuacha tu.
...Actually, ndio hoja kuu ya mleta mada.

...Kwa kuongezea, Cartels hujihusisha na mambo yanayofanana na ufisadi.
 
Prof. Benno Ndulu ndiye tatizo kwa uchumi wa nchi yetu na himaya/cartel yake hii hapa!

Wadau nawaletea cartel ya wasomi wala nchi. Huyu Prof alijiwekea mtandao kwa serikali ilyopita ambapo kuumaliza Magu yabidi afanye ya ziada. Mambo wanajamvi yako hivi. Akiwa World Bank Tanzania office alimweka Dr. Likwelile kuwa mkuu wa TASAF hapa alipiga pesa ndefu kwani hata miradi iliyo tekelezwa ilikuwa duni and no proper audit that time. Pia akamtoa UDSM Dr. Mpango enzi hizo akamweka World Bank Tanzania office wakati yeye akiwa country manager. Kumbuka Dr. Mpango na Dr. Likwilile ni classmates hivyo ile miradi ya TASAF pia mingi haikua kwenye mipango ya serikali. Hinyo walipiga pamoja. Baadaye Prof. Ndulu kahamia Washington DC 2003. Akaacha mtandao wake kihivyo. JK alipokuwa Rais akashinikizwa na World Bank Amchukue kuwa BOT governor.

Hapo kawa na mwanya wa kuwa top brass ya economic adviser wa JK. Yule kimada wa JK that time pale BOT akahamishwa ikulu kwa advisor wa JK wa uchumi…kilaza mkubwa. Hapo akamshauri JK amweke Dr. Mpango awe ndiye mkurugenzi wa tume ile ya mipango. Wakati huo huo sasa akawachukua vijana wake wasio na ujuzi wowote wa ushauri Dr. Mwinyimvua akawekwa kuwa mshauri wa uchumi ikulu. Na sasa kamtoa Dr. Likwilile pale TASAF na kumleta kuwa katibu mkuu wizara ya fedha ambapo anaendelea hadi sasa. Kipinndi hicho kamtoa pia Prof. Mkenda UDSM na kumpachika udeputy PS fedha chini ya Dr. Likwelile. Pia ujue Dr. Mpango alikuwa PS hapo hazina kwa mzunguko huo huo. Sasa Prof. Mkenda kapewa PS viwanda.

Huu mzunguko wa BOT na TRA na hazina/wizara ya fedha unahitaji timu mpya iliyosukwa kivingine. Wakati Kitilya akiwa TRA wakipiga hela ya Stanbic pia Prof. Ndulu alihusika, wakipiga hela ya Escrow wote Ndulu, Kitlya, Dr. Mpango, Prof. Mkenda, Dr. Likwilile walihusika kama team wakiwa hapo hapo hazina. Prof. mzima Ndulu bila aibu alibariki injection of illegal money to the circulation bila kujali money supply na adhari zake kwa uchumi na hiyo team yake. Juu ya wizi tuu. Magu amepewa ushauri mbovu kuwateua hawa wote CARTEL mbaya hatari. Uliwaona ni wapole lakini mambo yao hatari.

It’s time Prof. Ndulu aondoke na team yake. Eleze pia nyumba aliyojenga Masaki kwa billion 3 kwa kutoa mafundi South Africa ikamatwe iwe ya serikali. Pole mzee wetu Magu kazana tunakusaport.

Nao ndio sasa washauri wa magu kwenye hili jipu. Je watamtosa god father wao....tujadili

LAMLI CHONGANISHI HAKUNA USHAHIDI KUTIANA HASIRA TU NDO YALE YA MANGE NA JANUARY....
 
...1954,

...Katika siku za karibuni, kumekuwa na shutuma, majungu, na umbeya mwingi kwenye vyombo hivi vya habari. Lengo ni kuichafua, kuipaka matope, kuitupia taka na kuiharibia Serikali ya JPM. Ili, itoke kwenye reli -kwa ku entertain majungu, kutokuelewana na migogoro- na wanaoipiga vita wakenue meno na kucheka. Ujinga huu, haupaswi kupewa nafasi.

...JPM ana mapungufu yake kama binadamu mwingine, lakini kumtegea akwame au ashindwe haitasaidia nchi. Itatugarimu.

...Wakati ushawadia sa
sa, "kelele za mlango, zisimzuie mwenyewe kulala". Kama vipi, mlango utarekebishwa, kutengenezwa au kubadilishwa.


Ni kweli, you are very right....Yaani watanzania kwa sasa tuko katika kipindi kigumu mno na hasa kuhusu ni namna gani tujenge misingi imara na itakayotuwezesha kusonga mbele katika maendeleo. Yaani ni sisi watanzania wenyewe ambao ni maadui kwa nchi yetu. You know what, kwa miaka mingi nchi yetu ilikuwa imelegalega katika masuala ya usimamizi wa masuala yetu mbalimbali kisiasa, kiuchumi, kijamii, kiutamaduni n.k. Yaani mambo yalikuwa hayaendi au tuseme hayaendi kwa kuwa tumeacha taratibu, kanuni na sheria zetu na kuendekeza umimi, patronage na clientelistic tendencies, majungu, wivu, umbea, uongo na kadhalika. Yaani katika sekta mbalimbali watu hawafanyi kazi na wale wanaofanya kazi wanapigwa majungu na kuondolewa. Ukitekeleza majukumu yako unaitwa mnoko, na huwezi kukaa kwenye post. Wanaojipendekeza ndio 'wanaoula'. I can tell you mimi naifahamu kampuni fulani kubwa ambayo kijana mfagizi kwa maana ya mhudumu wa ofisi amejipendekeza na kile kinachohitwa 'ku-fight' na kupandishwa cheo eti awe mkuu wa kitengo kwa kuwa tu kitengo hicho katika kampuni hiyo ndicho kinachoingiza fedha. Can you imagine?! Ni ajabu na kweli hii imetokea na wala siyo mbali ni Tanzania hii na ni hapa Dar es Salaam.

Kuna uozo wa kutisha hapa Tanzania. Sasa tumempata JPM ambaye ameamua kupambana na kurekebisha mfumo ili taratibu, kanuni na sheria zifanye kazi. JPM hajaleta wala kutunga sheria mpya. Ni zile zile alizozikuta na sasa anajaribu kuweka msingi wa usimamzi. Lakini ajabu watu wanaanza kupiga kelele. Akiteua mtu wanaanza kupiga kelele, oooh sijui huyu ana kashfa, alilala na mke wa fulani, ni bingwa wa 'totoz' na kadhalika.

Mara wengine wameanza kumwandama JPM eti anatekeleza sera na ilani za UKAWA. Baadhi yetu tulidhani kuwa kwa kutekeleza ilani zinazoitwa za UKAWA wahusika wangefurahi, lakini wapi. Wanalia eti anatekeleza sera na ilani zao. Duh, mimi nakumbuka wakati JPM anakabidhiwa na LUBUVA hati ya ushindi wa uchaguzi mkuu yule mama aliyekuwa miongoni wa waliopambana naye alimkabidhi JPM ilani ya ACT-Wazalendo. Lakini wengine ingawa yanayotekelezwa siyo yao lakini wanalia kuwa eti ni yao. Mara wamwandame JPM eti hajui kiingereza na kadhalika. Yaani watu wazima na akili zao wanaandika makala eti RAIS hajui kiingereza. Hii ndio kwanza inatokea Tanzania. PUTIN, hajui vizuri kiingereza hazungumzwi, yule wa China ndio usiseme, na wengine wengi lakini hao hawazungumzwi. Eti kukosea kwa bahati mbaya maneno mawili ni kosa. Watu wamekaa, wanategemea RAIS afanye makosa. Badala ya kufanya kazi wao wamekaa kuangalia makosa, Duh ni nchi ya ajabu.

Akifanya uteuzi Fulani watu wazima wanakaa wanaanza kuhesabu wazaramo wako wangapi kwenye list, sijui waislamu wako wangapi, na wakristo wako wangapi, sijui mboma mchaga yuko mmoja tu, na wamakonde wawili. Yaani Tanzania ina makabila zaidi ya 120 lakini wako wanataka kila kabila liwe na mkuu wa mkoa na waziri.

Yaani wamekaa kulalamika tu, badala ya kumpa Rais nafasi ya kufanya mambo yake. Tanzania tumekuwa ni nchi ya kulalamika.
 
Prof. Benno Ndulu ndiye tatizo kwa uchumi wa nchi yetu na himaya/cartel yake hii hapa!

Wadau nawaletea cartel ya wasomi wala nchi. Huyu Prof alijiwekea mtandao kwa serikali ilyopita ambapo kuumaliza Magu yabidi afanye ya ziada. Mambo wanajamvi yako hivi. Akiwa World Bank Tanzania office alimweka Dr. Likwelile kuwa mkuu wa TASAF hapa alipiga pesa ndefu kwani hata miradi iliyo tekelezwa ilikuwa duni and no proper audit that time. Pia akamtoa UDSM Dr. Mpango enzi hizo akamweka World Bank Tanzania office wakati yeye akiwa country manager. Kumbuka Dr. Mpango na Dr. Likwilile ni classmates hivyo ile miradi ya TASAF pia mingi haikua kwenye mipango ya serikali. Hinyo walipiga pamoja. Baadaye Prof. Ndulu kahamia Washington DC 2003. Akaacha mtandao wake kihivyo. JK alipokuwa Rais akashinikizwa na World Bank Amchukue kuwa BOT governor.

Hapo kawa na mwanya wa kuwa top brass ya economic adviser wa JK. Yule kimada wa JK that time pale BOT akahamishwa ikulu kwa advisor wa JK wa uchumi…kilaza mkubwa. Hapo akamshauri JK amweke Dr. Mpango awe ndiye mkurugenzi wa tume ile ya mipango. Wakati huo huo sasa akawachukua vijana wake wasio na ujuzi wowote wa ushauri Dr. Mwinyimvua akawekwa kuwa mshauri wa uchumi ikulu. Na sasa kamtoa Dr. Likwilile pale TASAF na kumleta kuwa katibu mkuu wizara ya fedha ambapo anaendelea hadi sasa. Kipinndi hicho kamtoa pia Prof. Mkenda UDSM na kumpachika udeputy PS fedha chini ya Dr. Likwelile. Pia ujue Dr. Mpango alikuwa PS hapo hazina kwa mzunguko huo huo. Sasa Prof. Mkenda kapewa PS viwanda.

Huu mzunguko wa BOT na TRA na hazina/wizara ya fedha unahitaji timu mpya iliyosukwa kivingine. Wakati Kitilya akiwa TRA wakipiga hela ya Stanbic pia Prof. Ndulu alihusika, wakipiga hela ya Escrow wote Ndulu, Kitlya, Dr. Mpango, Prof. Mkenda, Dr. Likwilile walihusika kama team wakiwa hapo hapo hazina. Prof. mzima Ndulu bila aibu alibariki injection of illegal money to the circulation bila kujali money supply na adhari zake kwa uchumi na hiyo team yake. Juu ya wizi tuu. Magu amepewa ushauri mbovu kuwateua hawa wote CARTEL mbaya hatari. Uliwaona ni wapole lakini mambo yao hatari.

It’s time Prof. Ndulu aondoke na team yake. Eleze pia nyumba aliyojenga Masaki kwa billion 3 kwa kutoa mafundi South Africa ikamatwe iwe ya serikali. Pole mzee wetu Magu kazana tunakusaport.

Nao ndio sasa washauri wa magu kwenye hili jipu. Je watamtosa god father wao....tujadili
Uliyajua lini haya au aliyekujuza kayajua lini haya. Kwa nini yasemwe leo? Nafikiri wewe ndio tatizo kwa kupika majungu maana maelezo yako yamejaa mashambulio binafsi dhidi ya Prof Ndulu mara nyumba mafundi toka south ili iweje.
Naona humu jamvini sasa hivi Cyber bulling kwa viongozi inashika kasi kwa kuwa tunatumia majina ya bandia. Watu wakishindwa ku blackmail mtu wanaingia jamvini. tuwe waungwana
 
Back
Top Bottom