Hii nchi tunaipeleka wapi iwapo haya ni ya kweli?

Kusema ukweli ni ubwege. Shida mabwege ni wengi mno na wengi wao wanaimba mapambio.
and actually wanaotuburuza si wanaccm wote milioni kumi na nne,bali ni ka kikundi kadogo ka watu wasiozidi 1000 ambao wanalindwa na watoto wetu wenyewe,baba zetu ,mama zetu na ndugu zetu wengine
 
Mtu anakuja kwenye chama dakika mbili mara pap, yeye ndio mshika kibendera. Waliohagaikia chama kama kina Mzee Slaa wanatupwa nje, tena kwa kejeli. That not a level playing field.

Lakini haikuhusu wabunge walionunuliwa from upinzani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Maria Sarungi:
Serious trouble is brewing in Zanzibar! Mark this tweet!
@ccm_tanzania is set to pass an amendment to bar all @ACTwazalendo
opposition candidates with the excuse that you have to be a member of a party for at least 2 years to qualify. This will not end well! #Tanzania

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe:
Tuliposema kuwa CCM wana mpango wa kuzuia mamia ya wanachama wa @ACTwazalendo kugombea Urais, Ubunge na Udiwani ktk Uchaguzi 2020, CCM walikanusha. Ndg. @omarshaaban80 juzi alikazia maneno ya Maalim @SeifSharifHamad CCM wakakanusha tena, wakakataa taarifa yao rasmi. Hapa je?

Hapo mwishoni Zitto katika tweet yake kahoji hivyo baada ya mjumbe mmoja wa Baraza la Wawakilishi kusikika katika clip iliyoko mtandaoni akisema anakusudia kupeleka hoja binafsi katika Baraza la Wawakilishi kutaka kuwe na sheria itayozuia waliojiunga na vyama kutogombea nafasi ya uraisi,uwakilishi na udiwani mpaka kwanza wawe wametimiza miaka miwili katika vyama walivyojiunga.

Hili linawezakana tu kama ameama ccm au cuf, lakini kama wameamia ccm au cuf, basi hilo halitawahusu. WAO NI BADUA BANDIKA PAPOHAPO
 
Wakati mwingine nawaza kuwa pengine tulipata uhuru wa kisiasa kabla ya wakati; bado hatujakomaa kujiongoza wenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom