assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
CCM Ni hatari Sana Sasa kupeleka mswada Baraza la wawakilishi kumzuia Maalim seif kugombea URAIS Zanzibar.
Hi ni hatari tunawaomba CCM asilia wajitokeze kukemea
Tweet
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
@zittokabwe
Tuliposema kuwa CCM wana mpango wa kuzuia mamia ya wanachama wa
@ACTwazalendo
kugombea Urais, Ubunge na Udiwani ktk Uchaguzi 2020, CCM walikanusha. Ndg.
@omarshaaban80
juzi alikazia maneno ya Maalim
@SeifSharifHamad
CCM wakakanusha tena, wakakataa taarifa yao rasmi.
Hi ni hatari tunawaomba CCM asilia wajitokeze kukemea
Tweet
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
@zittokabwe
Tuliposema kuwa CCM wana mpango wa kuzuia mamia ya wanachama wa
@ACTwazalendo
kugombea Urais, Ubunge na Udiwani ktk Uchaguzi 2020, CCM walikanusha. Ndg.
@omarshaaban80
juzi alikazia maneno ya Maalim
@SeifSharifHamad
CCM wakakanusha tena, wakakataa taarifa yao rasmi.