Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 2,414
- 4,777
Sawa
Bila ya shaka hiyo ni TCRAKuna sehemu mfanyakaz wa kawaida tu tena ana diploma analipwa:- mshahara, risk allowance, house allowance, transport allowance, overtime kilasiku, communication allowance... Akijumlisha per month anaondoka na Million 3.4 cash....
Sasa wewe ng'ombe mtaani endelea kujifanya unajua kuimba nyimbo za kizalendo wakat wenzako wanakula mema ya nchi
WOII mtu mzito wewe ...kibunda kineneSisi wenye take home ya 120,000 tumehuzunika sana
Inauma sanaMagufuli aliwahi kusema Kuna watu wanapokea mshahara wa zaidi ya milioni 30 kwa mwezi hapa hapa Tanzania na wengine wanapokea laki 2 na nusu kwa mwezi kwahiyo unaweza ukawa sawa.
Tunaotafuta connection hatulali mkuuLeta connection mzee
Yule aliyekuwa katibu mkuu wa necta bado yupo???
- Mhe. Zainabu Katimba
- Amechukua nafasi ya nani ? Naomba kujua hili
Luka 3:14toshekeni na mishara yenu
Wanatumia sentence moja "toshekeni na mishara yenu" kupotoshaLuka 3:14
Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.”
Ndio maana hawa vijana wa uv CCM nawadharau sana.Kuna sehemu mfanyakaz wa kawaida tu tena ana diploma analipwa:- mshahara, risk allowance, house allowance, transport allowance, overtime kilasiku, communication allowance... Akijumlisha per month anaondoka na Million 3.4 cash....
Sasa wewe ng'ombe mtaani endelea kujifanya unajua kuimba nyimbo za kizalendo wakat wenzako wanakula mema ya nchi
Story za wapi?Hizo ni story tu...
Sisi wenye take home ya 120,000 tumehuzunika sana
Hapana sio...Bila ya shaka hiyo ni TCRA
Connection ngumu... Ila wewe ukiona una vigezo omba nafas hizi mamlaka na taasisi kubwa za serikal... Mishahara yao wanajipangia wao 😂Leta connection mzee
Ameenda kuchukua nafac ya Ndejembi ambaye amepandishwa kuwa Waziri kamili,kuchukua nafac ya Prof Ndalichako,nadhani now bwana Waziri Ndejembi ni Waziri wa Kazi na Ajira...
- Mhe. Zainabu Katimba
- Amechukua nafasi ya nani ? Naomba kujua hili