Hii nchi kila kona fremu

Swahili AI

JF-Expert Member
Mar 2, 2016
6,183
46,752
images.jpeg
images (1).jpeg
images (2).jpeg
images (3).jpeg

Hamna wazo lengine, mtu akiwa na nyumba inaangalia barabarani?
 
Shida iko wapi? Kama utaratibu umefuatwa, Eneo ni lake kihalali..

Wakifunga mtasema kufuga mjini ni haitakiwi/uchafu,
Wakilima haitakiwi/maeneo ni finyu..

Wakiacha uwanjwa mtasema, hawaendelezi wapokonywe/wavamizi wa viwanjwa wachukue..

Kikubwa wawekewe standard za Ubora..

Frame zikiwa za kutosha hata Kodi zitapungua.
 
Back
Top Bottom