Nimekuuliza mikataba mibovu inayosainiwa Na viongozi wa Kongo, Nigeria, South Africa, Namibia, Msumbiji, Malawi, Zambia, Kenya, Ghana n.k. hao wote wamesoma Udsm?
Kwa vile Akili hauna haukujua hata swali limelenga nini.
Nakuuliza swali jingine ili ujione kichwa maji, Chief Mangungo alisoma Udsm?
Majibu Baki nayo.
Unaonekana unamoja ya mambo yafuatayo;
1. Ni Maskini wa Roho, Akili, Pesa na Hisia.
2. Haujiamini na unajiona Duni Kutokana na sababu nilizozitaja hapo juu. Ndio maana ukisikia MTU akisema amesoma Udsm au nje ya nchi unamuona kama anaheshimika zaidi yako.
3. Hauna kazi, hivyo Akili yako nayo Ipo kama Debe tupu.
Hakuna uhusiano wowote Kati ya kusoma chuo Fulani na mambo ya kusaini mikataba.