WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,616
- 3,799
- Thread starter
- #61
Jenga hoja za kiume. Hii ni karne ya 21. Mambo ya Inferiority ziko huko kwenye Literature sijui form 3. Huja soma hivyo na English yako mbovu hiyo.Unasemaje "mtajwe UDSM" kama mimi ni graduate wa UDSM?
Mimi nimesoma Manchester na New York City. Sijasoma vyuo vya Bongo.
Na sijaona tatizo UDSM kutajwa kama mfano, kwanza ndiyo chuo cha kwanza nchini.
Wewe tatizo lako una inferiority complex tu.