WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,610
- 3,738
Nimefuatilia kwa Karibu. Nimegundua Tz kuwa masikini kwa miaka zaidi ya 60 chanzo kikuu ni aina ya Graduates tulio nao. Na viongozi wengi na wenye vyeo vikubwa nchi hii ni Graduates wa UDSM.
Mfano wa viongozi wabovu ambao ni mazao ya UDSM ni Prof. Mkumbo. Ana Uprofesa wa mchongo. Anatetea huu mkataba mbovu utadhani siyo Profesa.
Mwezi wa 5 , 2023 Bungeni akawa anapinga mfumo wa Ajira wa Utumishi wa Umma vyuoni, eti nafasi zirudishwe kwa vyuo. Ili waingize watoto wao pekee. Tiyari BoT, na TRA wamejiengua utumishi wa umma. Wanajitangazia kazi wao na kuajiri. Watoto wa maskini ajira za BoT na TRA bye bye!
Pia, nilistushwa sana na tangazo la kazi mwaka huu 2023. Nafasi za Economists (Bunge), eti sifa uwe Graduate wa UDSM! Rubbish! Kwa uchumi huu wa kusukuma troli miaka 60 na UDSM? Na ukifuatilia hata hao washauri wa Rais, Wanasheria wengi, na Makatibu wakuu wa Wizara ni Graduates wa UDSM.
Watanzania, adui wa Tanganyika ni UDSM.
Mfano wa viongozi wabovu ambao ni mazao ya UDSM ni Prof. Mkumbo. Ana Uprofesa wa mchongo. Anatetea huu mkataba mbovu utadhani siyo Profesa.
Mwezi wa 5 , 2023 Bungeni akawa anapinga mfumo wa Ajira wa Utumishi wa Umma vyuoni, eti nafasi zirudishwe kwa vyuo. Ili waingize watoto wao pekee. Tiyari BoT, na TRA wamejiengua utumishi wa umma. Wanajitangazia kazi wao na kuajiri. Watoto wa maskini ajira za BoT na TRA bye bye!
Pia, nilistushwa sana na tangazo la kazi mwaka huu 2023. Nafasi za Economists (Bunge), eti sifa uwe Graduate wa UDSM! Rubbish! Kwa uchumi huu wa kusukuma troli miaka 60 na UDSM? Na ukifuatilia hata hao washauri wa Rais, Wanasheria wengi, na Makatibu wakuu wa Wizara ni Graduates wa UDSM.
Watanzania, adui wa Tanganyika ni UDSM.