Hii Lebo Huwa Inatolewa Au Inabaki..??

nikutoa, kutoa, kutoa! Ni ushamba mkubwa kubakiza. Tabia za ulimbukeni kabisaaaaaa. KUTOA!
 
nikutoa, kutoa, kutoa! Ni ushamba mkubwa kubakiza. Tabia za ulimbukeni kabisaaaaaa. KUTOA!
Taz...Mimi kuna watu niliwaambia zinatolewa dah!! Wacha waniijie juu aisee..kila mtu na sababu zake
 
Tena mimi kama haina label nje, ninatoa ile ya ndani ya ukosi ninaishonea nje pahali inapoonekana na wote - LOL!
 
Hakuna sababu ya kuiacha. Hiyo ni label on display ili ununue ukifaham ni designer gani.
Ukisha nunua ni kutoa tu! Ukiacha maana yake unataka watakao kuona wajue ni designer gani alikushonea
Huko ni kujionesha na kutafuta sifa, hamna lolote!
Cha kushangaza zaidi unakuta mtu kaacha, designer mwenyewe from GuangZhou Anonymous bin Incognito!
Wacongo wengi utawaona wanaacha mara Ceruti, mara Armani nkk. As much as ni ulimbukeni pia at least unaelewa...
 
Hakuna sababu ya kuiacha. Hiyo ni label on display ili ununue ukifaham ni designer gani.
Ukisha nunua ni kutoa tu! Ukiacha maana yake unataka watakao kuona wajue ni designer gani alikushonea
Huko ni kujionesha na kutafuta sifa, hamna lolote!
Cha kushangaza zaidi unakuta mtu kaacha, designer mwenyewe from GuangZhou Anonymous bin Incognito!
Wacongo wengi utawaona wanaacha mara Ceruti, mara Armani nkk. As much as ni ulimbukeni pia at least unaelewa...

Umemaliza kila kitu.
 
Jamani hiyo lebo kwa jinsi inavyoshonewa ni dhahiri ma-designer hawajakusudia itolewe!

Nadhani hiyo ni kwa manufaa yao kwa maana ya kuwatangaza. Kwa ma-designers ni kutoa ni kutotimiza adhima zao, kwa wavaaji ni kuwatanga ma-designer bila kujua.
Nadhani kuacha lebo hiyo haina tofauti na zile tunazopewa bure wakati wa events mbalimbali na zile zinazotolewa bure na makampuni kwa lengo la ku-boost products au service zao!
 
..kwa maana hiyo inamsaidia mnunuaji atakapofika dukani kutambua designer wa nguo husika na baada ya hapo utakapoendelea kuiacha ni kufanya tangazo kwa watu wengine bila malipo. OK!
 
Hakuna sababu ya kuiacha. Hiyo ni label on display ili ununue ukifaham ni designer gani.
Ukisha nunua ni kutoa tu! Ukiacha maana yake unataka watakao kuona wajue ni designer gani alikushonea
Huko ni kujionesha na kutafuta sifa, hamna lolote!
Cha kushangaza zaidi unakuta mtu kaacha, designer mwenyewe from GuangZhou Anonymous bin Incognito!
Wacongo wengi utawaona wanaacha mara Ceruti, mara Armani nkk. As much as ni ulimbukeni pia at least unaelewa...
Mchina kaleta mambo..watu wanabisha hata vitu wasivyovielewa...hapa umewafungua
Ni kama uvae hat au cap na ile lable ya karatasi inaning'inia ama shati na label yenye kifungo cha akiba.Najua wengine wanachanganywa kuina wasanii wa BONGO movies or flavours wametoa sinema na miziki wakiwa wamevaa suti na lebo hiyo ina sababu kuu 2
1..hawajui ethics zake wala sio vazi lao la desturi ukiacha t-shirt na jeans
2...Wanakua wameazima ama kukodi nguo hizo kutoka madukani kwa washkaji kwa masharti ya kutokungoa label wala kupeleka dry cleaning.wakimaliza shooting wanarejesha ziendelee kuuzwa
KAAZI KWELIKWELI!
 
Jamani hiyo lebo kwa jinsi inavyoshonewa ni dhahiri ma-designer hawajakusudia itolewe!

Nadhani hiyo ni kwa manufaa yao kwa maana ya kuwatangaza. Kwa ma-designers ni kutoa ni kutotimiza adhima zao, kwa wavaaji ni kuwatanga ma-designer bila kujua.
Nadhani kuacha lebo hiyo haina tofauti na zile tunazopewa bure wakati wa events mbalimbali na zile zinazotolewa bure na makampuni kwa lengo la ku-boost products au service zao!
Baba Ubaya there is no assumption hapo..
 
Lebo haitolewi...lengo ni kuonesha umevaa suti ya designer gan...!!
 
Back
Top Bottom