Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 419
- 641
Sawa mkuu maswali yako yanafikirisha lakini kumbuka aalipokuwa nyumbani kama mwao ulimwekea full controll ukiwa kama mzazi na mlezi., Lakini ulipomuoza kwa Mwanaume manake ulimtoa katika controll zako na kuhamishia Mandate kwa mumewe, Hivyo huko lazima afuate taratibu chini ya mumewe.
Suala la kumsomesha halipaswi kuwa sababu kwa vile hata usingemsomesha lazima ingefika umri flani angeolewa na kwenda kwa mumewe. Vinginevyo useme hakupi misaada ya kiuchumi toka katika kipato chake cha mshahara ilihali wewe ndiye ulimsomesha, hakika hapo atakua anakukosea pakubwa ila sio suala la ruhusa ya kuja mzazi, Sidhani kama hata wewe ungependa mkeo awe anajiondokea tu kwenda kwa wazazik wake kwa vile tu walimsomesha!
Kiufupi kila nyumba ina mkuu wake na taratibu zake ambazo kila mmoja hutakiwa kuziheshimu!
Suala la kumsomesha halipaswi kuwa sababu kwa vile hata usingemsomesha lazima ingefika umri flani angeolewa na kwenda kwa mumewe. Vinginevyo useme hakupi misaada ya kiuchumi toka katika kipato chake cha mshahara ilihali wewe ndiye ulimsomesha, hakika hapo atakua anakukosea pakubwa ila sio suala la ruhusa ya kuja mzazi, Sidhani kama hata wewe ungependa mkeo awe anajiondokea tu kwenda kwa wazazik wake kwa vile tu walimsomesha!
Kiufupi kila nyumba ina mkuu wake na taratibu zake ambazo kila mmoja hutakiwa kuziheshimu!