Hii kwako unaichukuliaje?

Hii kwako unaichukuliaje?

Yan Kuna taratibu fulani mi mwenyewe huwa zinanipa shida sana..hasa kuhusu hawa mabinti zetu..yan utakuta binti umepambana naye kuanzia awali hadi chuo kikuu umemsomesha Kwa mbinde hadi anafanikiwa anapata kazi..sasa Mzee umeshachoka unataka kumpiga kirungu binti..hee anakujibu ngoja nimwambie kwanza baba nanihiii..agriiiiii!??

Halafu ukizingatia huyo baba nanihiii ni mjuba tu flani yan mjingamjinga..
 
Inauma mpaka kuisi kusalitiwa, lkn kilio cha wengi ni harusi, ni kutulia kama wazazi wengine wanavyotulia.
 
Yan Kuna taratibu fulani mi mwenyewe huwa zinanipa shida sana..hasa kuhusu hawa mabinti zetu..yan utakuta binti umepambana naye kuanzia awali hadi chuo kikuu umemsomesha Kwa mbinde hadi anafanikiwa anapata kazi..sasa Mzee umeshachoka unataka kumpiga kirungu binti..hee anakujibu ngoja nimwambie kwanza baba nanihiii..agriiiiii!??

Halafu ukizingatia huyo baba nanihiii ni mjuba tu flani yan mjingamjinga..
Navyojua watt wa kike ndo tunaongoza Kwa kutunza wazazi kisirisiri
Yaani mzazi hata haombi Hela!
 
Kama unataka kuhatarisha ndoa ya Binti yako basi endelea kudai hicho unachotaka! Binti akishaolewa anakuwa chini ya mumewe mume ndo atakuwa anampa maelekezo ! Mwanao ana mambo mengi ya kufanya kwenye ndoa yake Moe uhuru kuja kukutembelea sio amri yako ni maamuzi yake
Huku kwa wazaramo ndo haya mambo yamejazana yaani mke kaolewa anashinda kwao jioni anarudi kwa mume! Kisa nyumba zipo jirani! Utakuta hadi maelekezo ya namna ya kuishi mke anayapata kwao ! Kuna jamaa yangu anataka kuachana na mkewe kwa sababu kama hizi mke amekuwa akiitwa na mama yake mara kwa mara Ili akamsaidie baadhi ya kazi au mara waende hospitali au mara huyu ni mwanangu wa kwanza ninammiss sana nataka kuwa karibu nae haya mambo yamemchosha mume anapokataa kutoa ruhusa Binti huchomoka kimyakimya na kwnda kwao bila taarifa na mume akiwa mkali mke analalamika eti mume anamdharau mama mkwe!
Kama IPO sababu ya msingi ya kwenda kusalimia sidhani kama Kuna mwanaume atakataa Huo with wa mke kwao lakini isiwe too much!
 
kwani wakiume wazaz wake hawamghalamikii mkuh
Yan Kuna taratibu fulani mi mwenyewe huwa zinanipa shida sana..hasa kuhusu hawa mabinti zetu..yan utakuta binti umepambana naye kuanzia awali hadi chuo kikuu umemsomesha Kwa mbinde hadi anafanikiwa anapata kazi..sasa Mzee umeshachoka unataka kumpiga kirungu binti..hee anakujibu ngoja nimwambie kwanza baba nanihiii..agriiiiii!??

Halafu ukizingatia huyo baba nanihiii ni mjuba tu flani yan mjingamjinga..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom