Hii kwako unaichukuliaje?

Hii kwako unaichukuliaje?

Haya maswali yako inabidi ujiulize kwanza kabla hujaozesha binti yako. Ukiona mapicha picha mengi usiozeshe muendelee kusalimiana na mwanao hapo home daily.
Itabidi atakayemuoa binti yagu aishi kwenye boma langu
 
Umepambana kumlea na kumsomesha mtoto wako wa kike, mpaka akafikia hatua fulani ya elimu; iwe cheti, diploma, degree, masters, PhD, au u-profesa. Baada ya hapo, akaolewa na akawa na mji wake.

Changamoto: Leo hii unataka binti yako aje akusalimie nyumbani; itamlazimu mpaka aombe ruhusa kwa mumewe, na amruhusu, ndio aweze kufika, asiporuhusiwa hatokuja kukujulia hali.

Swali: Hii kwako unaichukuliaje, ukiangalia wewe ndio mzazi, uliyemlea na kumgharamikia elimu; lakini cha ajabu, leo mtu baki ndio anayempangia aje akuone ama asije kukuona?​
Ndio ujue toka zamani hawakuwa wanahangaika na mtoto wa kike, hata idadi yao haikuwa ikitajwa, yaani sensa isingewahusu kabisa. Weka akili kichwani. Ulipopokea mahari uliona utamu eeenh sasa ndio ujue ulimuuza
 
Umeozesha huna mamlaka kwa binti yako ya Nini afanye nini asifanye..kusomesha ni wajibu wako kama mzazi..ila yote kwa yote mpate tu wakwe wenye akili timamu
 
Swali: Hii kwako unaichukuliaje, ukiangalia wewe ndio mzazi, uliyemlea na kumgharamikia elimu; lakini cha ajabu, leo mtu baki ndio anayempangia aje akuone ama asije kukuona?
Unajua kwanini mkuu? wakati unamuzesha mkeo kwa mkweo nadhani hukumpa bure bure

Unayakumbuka yale masharti uliyokua ukimpa bwana mkubwa? unakumbuka yale mablanket

ya shangazi,mashuka ya mama,ng'ombe dume wa babu,nk unakumbuka yale mazaga zaga mkuu

Jamaa alikua kama boya hivi kachutama anakupa tu,vingine ilibidi hadi akakope maana mzee ulikua

umekaza kweli binti yako bila mahari flani binti hatoki,si mahari ikaletwa mkuuu,ukaipokea eeeh mkafurahi

sasa kifuatacho ITV unajua nini mkuu? Huyo binti sio wako ushamuuza bobuuu,mali ya wenyewe hiyooo

ADA ZAKO MALEZI YAKO NADHANI ULIJUMLISHA KWENYE ILE MAHARI NA UKAPEWA sasa nini tena mkuu wangu

Haya malalamiko mkuu yatakua yananoga kama TU siku ya Kuozesha hukuchukua hata senti toka ukweni

SABABU : Unawambia sichukui hata senti yenu,nawapa mwanangu mkaishi nae nikimuhitaji muda wowote

nahitaji afike hapa kwa wakati,simuuzi mwanangu kwa ng'ombe wala ndama wala chochote kile Mungu awabariki

mkawe na ndoa njema na yenye baraka, Unawabariki pale kisha haoo wanasepa na mwanao.

Ukifanya hivyo mkuu nakuhakikishia siku mkweo akikuta tu missed call yako kwa mkewe anampa nauli anakuja kukusikiliza.

Ila kama hukufanya yote hayo mzee baba,mke ataruhusiwa kuja kwako tu kama kuna special Case otherwise utapokea miamala TU utatue changamoto zako.
 
Unajua kwanini mkuu? wakati unamuzesha mkeo kwa mkweo nadhani hukumpa bure bure

Unayakumbuka yale masharti uliyokua ukimpa bwana mkubwa? unakumbuka yale mablanket

ya shangazi,mashuka ya mama,ng'ombe dume wa babu,nk unakumbuka yale mazaga zaga mkuu

Jamaa alikua kama boya hivi kachutama anakupa tu,vingine ilibidi hadi akakope maana mzee ulikua

umekaza kweli binti yako bila mahari flani binti hatoki,si mahari ikaletwa mkuuu,ukaipokea eeeh mkafurahi

sasa kifuatacho ITV unajua nini mkuu? Huyo binti sio wako ushamuuza bobuuu,mali ya wenyewe hiyooo

ADA ZAKO MALEZI YAKO NADHANI ULIJUMLISHA KWENYE ILE MAHARI NA UKAPEWA sasa nini tena mkuu wangu

Haya malalamiko mkuu yatakua yananoga kama TU siku ya Kuozesha hukuchukua hata senti toka ukweni

SABABU : Unawambia sichukui hata senti yenu,nawapa mwanangu mkaishi nae nikimuhitaji muda wowote

nahitaji afike hapa kwa wakati,simuuzi mwanangu kwa ng'ombe wala ndama wala chochote kile Mungu awabariki

mkawe na ndoa njema na yenye baraka, Unawabariki pale kisha haoo wanasepa na mwanao.

Ukifanya hivyo mkuu nakuhakikishia siku mkweo akikuta tu missed call yako kwa mkewe anampa nauli anakuja kukusikiliza.

Ila kama hukufanya yote hayo mzee baba,mke ataruhusiwa kuja kwako tu kama kuna special Case otherwise utapokea miamala TU utatue changamoto zako.
Mkuu, umeeleweka, suluhisho ni kutokupokea mahari
 
Umeozesha huna mamlaka kwa binti yako ya Nini afanye nini asifanye..kusomesha ni wajibu wako kama mzazi..ila yote kwa yote mpate tu wakwe wenye akili timamu
Itokee, mkwe wangu anamzuia binti yangu asijekuniona, hatutaelewana, kwa sababu sitachukua mahari wakati wa kumuozesha
 
Umepambana kumlea na kumsomesha mtoto wako wa kike, mpaka akafikia hatua fulani ya elimu; iwe cheti, diploma, degree, masters, PhD, au u-profesa. Baada ya hapo, akaolewa na akawa na mji wake.

Changamoto: Leo hii unataka binti yako aje akusalimie nyumbani; itamlazimu mpaka aombe ruhusa kwa mumewe, na amruhusu, ndio aweze kufika, asiporuhusiwa hatokuja kukujulia hali.

Swali: Hii kwako unaichukuliaje, ukiangalia wewe ndio mzazi, uliyemlea na kumgharamikia elimu; lakini cha ajabu, leo mtu baki ndio anayempangia aje akuone ama asije kukuona?​

Huna chako
 
Ili ndoa idumu na taasisi madhubuti ya familia ijengwe vyema basi ni lazima iwe hivyo.

Kila mtu angejiamulia atakalo kungekua na mvurugano sana.
Sasa hivi hii 50/50 tu inaleta mkanganyiko balaa, sembuse mwanamke kujiamulia akitaka kutoka na atoke tu .
 
Ndoa na iheshimiwe na watu wote jamani. Haikubagua mtu yupi na yupi Equation x iko ivo yani. Sasa nikwambie wewe ukiwa kama baba hautakubali mtoto wako aolewe na lofa unga unga. Ungependa aolewe na mtu mwenye akili timamu hata kama kipato chake kidogo basi awe na akili ya utafutaji na kujisimamia kama mwanaume

Sasa mkweo kama anajitambua hatakubali kuoa kwenye familia isiyopokea mahari. Mahari ni tamaduni nzuri ya heshima tena. Ilimradi isiwe ya kukomoana iwe ya wastani ambayo vijana na wazee wao wanaweza kuafford.

Wewe kama mume wa mama yake ulikua na sheria zako na mkweo lazima atakuwa na sheria zake. Usimpangie at all. Na ndivyo maisha yanavyokwenda. Ukimheshimu mwanaume mwenzako atawapenda wazazi wa mke wake na utashangaa atakuwa anamruhusu mkewe reasonably. Unless you accept this then well...utajiju
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom